Watu Maarufu
β¨ Yanayoendelea kwenye Page za Watu Maarufu
Updates za mastaa bila kupitwa na chochote π₯
Trends | Drama | Highlights
π Story za mastaa kila dakika!
09/12/2025
Muigizaji wa bongo movie Wema Sepetu amepost kwenye ukurasa wake wa istagram picha ya Raisi wa tanzania huku akiitakia heri ya siku ya uhuru nchi yake "Happy Independence Tanzania....... Rais wangu, Mama yangu"
Post hiyo ni Miongoni mwa post nyingine nyingi zinazo onesha hari ya ukaribu na mahusiano mema kati ya dada yetu na raisi
Nini maoni yako juu ya post hiyo?
Follow Watu Maarufu Kupata taarifa mbalimbali za watu maarufu uwapendao.
09/12/2025
Masaa machache yaliyopita msanii wa muziki tanzania aishie marekani amepost kwenye ukurasa wake wa istagram picha yenye ujumbe huu "Afande Teremsha Bunduki"
Nini maoni yako juu ya ujumbe huo?
Follow Watu Maarufu kupata taarifa mbalimbali za watu maarufu uwapendao.
07/12/2025
Mwanamuziki na mbunge wa kanda ya magharibi Kigoma BABA LEVO, ameanza ujenzi wa nyumba yake itakayo gharimu Bilioni4 Hadi kukamilika, Baba levo amewataka wanakigoma kuiga kwake na kurudi kuijenga Kigoma
Follow Watu Maarufu kwa taarifa mbalimbali za watu maarufu uwapendao.
06/12/2025
Mwana habari na muandaaji wa Maudhui mtandaoni Alpha Jonas amechapisha kwenye ukurasa wake wa Facebook "Unaweza ukaipoteza almasi iuliyonayo mikononi mwako wakati unaitafuta Dhahabu usiyojua mahali ilipo" Chapisho hilo limetokana na maamuzi ya JUX kuachana na mpenzi wake wa awali na kufunga ndoa na
Nini maoni yako juu ya maamuzi ya kumuacha na kumuoa ?
Follow Watu Maarufu kupata taarifa mbali mbali za watu maarufu uwapendao.
γviralγ·fypγ·γ
πΉπΏπΉπΏ
06/12/2025
Msanii wa muziki nchini tanzania amepost kwenye ukurasa wake wa istagram picha yenye π§ huku akiwa ameambatanisha back music wimbo wa Diamond Platnumz ft Fally Ipupa na kuandika caption ya
Nini maoni yako juu ya post hii?
Follow Watu Maarufu, kwa taarifa mbalimbali za watu maarufu uwapendao
05/12/2025
πππππππ πππππππ πππππππ πππππ ππππππ πππ
ππππ ππππππππ ππ πππππππ πππππ ππ ππππππππ
Baada ya uchaguzi na maandamano yaliyotokea nchini, kulikuwa na kampeni ya βUnfollowβ dhidi ya baadhi ya wasanii wadogo na wakubwa ambao walionekana kuunga mkono serikali au kukosa msimamo wa wazi kuhusu vurugu.
Diamond Platnumz alikumbwa na hasira kutoka kwa mashabiki wake mtandaoni baada ya kuweka machapisho ya kumuunga mkono rais mteule β na baadaye alilazimika kufuta machapisho hayo.
Taarifa zinaeleza kwamba idadi ya wafuasi wake ilikuwa imeshuka β ilisemekana kuanza kutoka takriban 18.8 milioni hadi 18.7 milioni.
Wasanii wengine walio athirika kwa kiwango kikubwa dhidi ya kampeni hiyo ni Harmonize, Alikiba na Zuchu
05/12/2025
Msanii wa nchini tanzania Nurdin Bilal Shetta achaguliwa kua Mstahiki Meya wa jiji la Dar es salaam
Msanii wa muziki nchini tanzania Bruce Africa kupitia ya Clouds FMametoa ufafanuzi wa kauli yake aliyo post Instagram story "Mifumo ya mziki bongo kuanzia music distributor na washiriki wake majomba ni waizi laana," Amesema kua mambo yanayoendelea kwa upande wake na wasanii wengine hayaelewi juu ya music distributors, atatafuta mwanasheria na kufatilia kwa undani jambo hilo"
Mfanya biashara Niffer awaombea dua watanzania wote baada ya kuachiwa huru na kesi yake kufutwa na mahak**a
03/12/2025
Msanii wa muziki nchini tanzania JUX ameshusha(amefuta) wimbo wake kwenye mtandao wa YouTube baada ya Wimbo huo kupata watazamaji elf8 tu ndani ya masaa24 kitu ambacho si jambo la kawaida kwa msanii huyo
Juma Jux ameyafanya hayo kwenye mtandao wa YouTube licha ya kushika namba moja ITUNE nchini Nigeria, Ghana na Botswana.
Unadhani sakata la linahusika juu ya Ngoma ya Juma Jux kua na Viewers wachache? Niachie maoni yako
Follow kwa taarifa zaidi k**a hizi na nyinginezo.
γviralγ·fypγ·γ
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
45601