Amla Products

Amla Products

Share

AMLA PRODUCTS🍀
HAIR CARE
BODY CARE
AMLA FRUIT POWDER MAFUTA ASILIA YA NYWELE KWA AJILI YA KUKUZA NA KUJAZA NYWELE, KUTIBU MBA NA MIWASHO.

28/12/2025
25/12/2025

Wishing you ALL a Merry Christmas and a Prosperous New Year❤️

13/12/2025

AMLA inajulikana k**a tunda la UJANA na MAISHA MAREFU.

Inaaminika/Imethibitishwa kitaalamu kwamba vyakula vilivyo na VITAMIN C k**a vile tunda la AMLA vinaweza kuwasaidia Wanaume wanaokabiliwa na upungufu wa nguvu/mbegu za uzazi.

✅AMLA ina Vitamin C ambayo Inasaidia kuongeza mwendo (speed) na uzalishaji wa mbegu za kiume kwa wale wanaokabiliwa na kiwango kidogo cha mbegu.

✅AMLA ina madini mengi ya Chuma (Iron) na Zinki (Zinc) ambayo husaidia kuongeza ubora (quality) wa mbegu za kiume.

✅AMLA Inasaidia kuongeza stamina na hamu hivyo kumuwezesha mwanaume kudumu katika tendo la ndoa kwa muda mrefu.

✅AMLA Inasaidia kudumisha zaidi halijoto bora kwenye korodani.

✅AMLA inaweza kutumika k**aTiba mbadala ya miwasho/Fangasi Uchunguzi wa kifamasia pia umethibitisha kuwa Amla ina antifungal, antibacterial, antiviral, anti-inflammatory.

🏀🏀🏀🏀TUMIA AMLA POWDER....Nusu Kijiko kidogo cha chai asubuhi kwenye tumbo tupu (empty stomach) na kijiko kimoja cha Asali au maji vuguvugu 🏀🏀🏀🏀


AMLA POWDER 200g Tsh15000



🌎DAR MASAKI📞0785440055
🌍DAR POSTA:📞0785440055
🌍DAR KINONDONI:📞0785440055
🌍DAR KIGAMBONI:📞0785440055
🌏DAR KIGAMBONI: 2📞0786523837
🌍DAR UPANGA:📞0783220488
🌍DAR MUHIMBILI:📞0785169615
🌏DAR SINZA:📞0786438947
🌏DAR MBEZI BEACH:📞0656099422
🌏DAR BAHARI BEACH:📞0656099422
🌎DAR UNUNIO:📞0656099422
🌏DAR KARIAKOO:📞0773081772


🌍DODOMA:1📞0714746278
🌎DODOMA:2📞0782167878
🌍IRINGA: 1📞0753325221
🌍MBEYA1:📞0768307793
🌍MOSHI 1:📞0652280900
🌍MOSHI 2:📞0755524996
🌏MOSHI (AMLA POWDER):📞0762996806
🌏ARUSHA:📞0752092510
🌎ZANZIBAR:📞0777848866
🌎ZANZIBAR:📞0776401753
🌍PEMBA:📞0776853855


📞0755503381

09/12/2025

☘️JINSI YA KUTUMIA UNGA WA AMLA ☘️

TUMIA kijiko kidogo cha chai cha unga wa AMLA. Koroga kwenye kikombe cha maji ya vuguvugu. Unaweza weka asali kijiko kimoja kikubwa. Kunywa mchanganyiko huo asubuhi nusu saa kabla ya kula kitu chochote (on an empty stomach) na jioni nusu baada ya chakula au kabla ya kwenda kulala.


AMLA POWDER 200g Tsh15000



🌎DAR MASAKI:📞0785440055
🌍DAR POSTA:📞0785440055
🌍DAR KINONDONI:📞0785440055
🌍DAR KIGAMBONI:📞0785440055
🌏DAR KIGAMBONI: 2📞0786523837
🌏DAR SINZA:📞0758279647
🌍DAR M/NYAMALA:📞0756440055
🌍DAR UPANGA:📞0783220488
🌏DARMBEZI BEACH:📞0656099422
🌏DAR BAHARIBEACH:📞0656099422
🌏DAR SINZA:📞0786438947
🌏DAR UNUNIO:📞0656099422
🌏DAR MUHIMBILI:📞0785169615
🌏DAR KARIAKOO (AMLAPOWDER):📞0773081772


🌍DODOMA:1📞0714746278
🌎DODOMA:2📞0782167878
🌍IRINGA: 1📞0753325221
🌍MBEYA1:📞0768307793
🌍ARUSHA:📞0752092510
🌍MOSHI 1:📞0652280900
🌍MOSHI 2:📞0755524996
🌏MOSHI (AMLA POWDER):📞0762996806
🌍ZANZIBAR:📞0776401753
🌎ZANZIBAR:📞0777848866
🌍PEMBA:📞0776853855


📞0755503381

09/12/2025

✅Amla huboresha AFYA ya VIUNGO (JOINTS ) na MIFUPA kwa ujumla.

✅AMLA inajulikana kwa SIFA yake kubwa ya Kupambana na Kurekebisha seli za mifupa.

✅AMLA inapunguza na kuzuia kuvimba pamoja na kupunguza maumivu na pia kulinda na kudhibiti upotevu wa madini katika mifupa na viungo (joints)

✅AMLA pia ina madini mengi ya madini mengi ya KALSIAMU (CALCIUM) ambayo ni muhimu kwa kujenga na kuimarisha mifupa.

✅AMLA imejipatia sifa kubwa ya kupunguza maumivu, kupambana, kudhibiti na kulinda mwili wako dhini ya ugonjwa wa Baridi ya Yabisi. (ARTHRITIS ).

✅AMLA husaidia kupunguza maumivu ya viungo (joints) na kulinda ute (majimaji/fluid) kwenye viungo (joints).

✅AMLA husaidia kupunguza maumivu ya goti (KNEE PAIN).Tafiti za hivi karibuni zinaonyesha kwamba Amla inaweza kuwa Tiba Asilia kwani ina sifa za kuzuia uharibifu wa seli za mifupa, kupunguza maumivu na uvimbe na kuimarisha mifupa.


AMLA POWDER 200g Tsh15000



🌍DAR POSTA:📞0785440055
🌍DAR KINONDONI:📞0785440055
🌍DAR KIGAMBONI:📞0785440055
🌏DAR KIGAMBONI: 2📞0786523837
🌏DAR SINZA:📞0758279647
🌍DAR M/NYAMALA:📞0756440055
🌍DAR MUHIMBILI:📞0785169615
🌏DAR UPANGA:📞0783220488
🌏DAR SINZA:📞0758279647
🌏DAR MBEZI BEACH:📞0656099422
🌎DAR BAHARI BEACH:📞0656099422
🌏DAR UNUNIO:📞0656099422
🌏DAR KARIAKOO:📞0773081772


🌍DODOMA:1📞0714746278
🌎DODOMA:2📞0782167878
🌍IRINGA: 1📞0753325221
🌍MBEYA1:📞0768307793
🌍MOSHI 1:📞0652280900
🌍MOSHI 2:📞0755524996
🌏MOSHI (AMLA POWDER):📞0762996806
🌏ARUSHA:📞0752092510
🌍ZANZIBAR:0776401753
🌎ZANZIBAR:📞0777848866
🌍PEMBA:📞0776853855


📞0755503381

09/12/2025

💚💚AMLA HUDHIBITI ONGEZEKO LA SUKARI KWENYE DAMU💚💚

☘️☘️Tafiti zimeonyesha kwamba matumizi ya AMLA ya mara kwa mara hudhibiti viwango vya sukari kwenye damu na kusaidia kuzuia ugonjwa wa kisukari.

✅Hiyo ni kwa sababu chromium katika AMLA ina jukumu kubwa katika kudhibiti kiwango cha SUKARI. Inafanya hivyo kwa kusaidia katika kimetaboliki ya wanga, hivyo kuruhusu mwili kuwa msikivu zaidi kwa insulini.

✅AMLA husaidia kupunguza uvimbe kwenye gongosho, chombo kinachohusika na kutoa insulin. Kwa utaratibu huu, Amla husaidia kuzuia unene unaosababishwa na kisukari na viwango vya juu vya sukari kwenye damu.

💚💚TAFITI zinaonyesha kuwa matumizi ya kila siku ya unga wa Amla kwa muda wa siku 21 inaweza kupunguza glukosi kwenye damu.

💚💚JUMUISHA TUNDA LA AMLA K**A TIBA LISHE KATIKA MLO WAKO WA KILA SIKU


AMLA POWDER 200g Tsh15000


🌍DAR POSTA:📞0785440055
🌍DAR KINONDONI:📞0785440055
🌍DAR KIGAMBONI: 1📞0785440055
🌍DAR UPANGA: 📞0783220488
🌏DAR KUNDUCHI BEACH:📞0656099422
🌍DAR MBEZI BEACH :📞0656099422
🌍DAR TEGETA:📞0656099422
🌍DAR UNUNIO:📞0656099422
🌎DAR KARIAKOO 📞0773081772
🌎DAR KARIAKOO 📞0715550101
🌎DAR MUHIMBILI 📞0785169615
🌎DAR SINZA📞0758279647


🌍DODOMA:1📞0714746278
🌏DODOMA 2📞0782167878
🌍IRINGA: 1📞0753325221
🌍MBEYA:1📞0768307793
🌍ARUSHA 1:📞: 0752092510
🌍MOSHI 1:📞0652280900
🌍MOSHI 2:📞0755524996
🌍PEMBA 📞0776853855
🌍ZANZIBAR:📞0777848866
🌎ZANZIBAR 📞0776401753


📞0755503381

09/12/2025

☘️☘️TUMIA AMLA KUPUNGUZA UZITO KWA MUDA MFUPI☘️☘️

 ✅AMLA ni chakula bora zaidi cha kupunguza uzito, kwani kina vitamini C nyingi, ambayo husaidia kuongeza kimetaboliki na kuchoma mafuta mwilini.

✅AMLA ina kiasi kizuri cha nyuzinyuzi, ambayo inaweza kukusaidia kujisikia umeshiba na kupunguza hamu ya njaa, na hivyo kusababisha kupungua kwa asili kwa ulaji wa vyakula vyenye kalori (mafuta).

✅AMLA inaweza kuchoma kalori zaidi kwa ufanisi. Kwa udhibiti bora wa uzito, mara nyingi hupendekezwa kunywa mchanganyiko wa amla kwenye tumbo tupu (kabla ya kula chochote) .

✅AMLA ihusaidia katika mmeng'enyo wa chakula. Kwa usagaji chakula bora na harakati bora ya haja kubwa, kimetaboliki yako itaongezeka, na hivyo hatimaye kusababisha kuchomwa kwa mafuta ya ndani ya tumbo.

✅AMLA ina uwezo wa ajabu wa kupunguza uzito na TAFITI zinaonyesha kwamba matumizi ya AMLA k**a sehemu ya mlo wako kwa muda wa siku 45 mtu huweza kupunguza wastani wa kilo 6.8.


AMLA POWDER 200g Tsh15000



🌍DAR POSTA:📞0785440055
🌍DAR KINONDONI:📞0785440055
🌍DAR KIGAMBONI:📞0785440055
🌍DAR KIGAMBONI:📞+255627502951
🌍DAR KIGAMBONI NAIMA SALON📞0763275162
🌍KIGAMBONI SUSAN NATURALS 📞 0686773464
🌍DAR M/NYAMALA:📞075644005
🌍DAR MBEZI BEACH 📞0656099422
🌍DAR BAHARI BEACH 📞0656099422
🌍DAR TEGETA 📞0656099422
🌍DAR UNUNIO📞0656099422
🌍DAR KARIAKOO:📞0773081772
🌎DAR KARIAKOO 📞0715550101
🌎DAR UPANGA 📞0783220488
🌎DAR MUHIMBILI 📞0785169615
🌎DAR SINZA📞0758279647


🌍DODOMA:1📞0714746278
🌎DODOMA 2:📞0782167878
🌍IRINGA: 1📞0753325221
🌍MBEYA1:📞0768307793
🌍MOSHI 1:📞0652280900
🌍MOSHI 2:📞0755524996
🌏MOSHI 3:📞0762996806
🌏ARUSHA:📞0752092510
🌎ZANZIBAR 1:📞0777848866
🌎ZANZIBAR 2:📞0776401753
🌍PEMBA:📞0776853855


0755593381

03/09/2025

☘️☘️AMLA KWA AFYA YA MOYO☘️☘️

AMLA imethibitishwa kuboresha afya ya MOYO. Amla huimarisha misuli ya moyo, hivyo huboresha mzunguko wa damu katika mwili wote.

✅Moja ya faida lukuki za AMLA ni kuweza kurejesha nyuma athari zinazosababisha matatizo ya moyo na msukumo wa damu kwa kufanya cholesterol iliyozidi iondoshwe kwa njia salama.

✅AMLA inasaidia afya ya moyo kwa kuondosha cholesterol iliyozidi ambayo inaweza kusababisha matatizo ya MOYO. Hivyo mishipa ya arteries husafishwa vizuri ili iweze kufanya kazi yake k**a inavyotakiwa.

💚💚JUMUISHA TUNDA LA AMAMLA imethibitishwa kuboresha afya ya MOYO. Amla huimarisha misuli ya moyo, hivyo huboresha mzunguko wa damu katika mwili wote.

✅Moja ya faida lukuki za AMLA ni kuweza kurejesha nyuma athari zinazosababisha matatizo ya moyo na msukumo wa damu kwa kufanya cholesterol iliyozidi iondoshwe kwa njia salama.

✅AMLA inasaidia afya ya moyo kwa kuondosha cholesterol iliyozidi ambayo inaweza kusababisha matatizo ya MOYO. Hivyo mishipa ya arteries husafishwa vizuri ili iweze kufanya kazi yake k**a inavyotakiwa.

💚💚JUMUISHA TUNDA LA AMLA KATIKA MLO WAKO WA KILA SIKU.
Tumia kijiko kidogo kimoja cha chai kwenye maji vuguvugu kila siku asubuhi kabla ya kula kitu chochote. Unaweza weka asali au ukainywa hivyo hivyo.


AMLA POWDER 200g Tsh15000

27/08/2025

Pamoja na kwamba CHUNGWA linasifika sana kwa wingi wa VITAMIN C

🌼🌼🌼AMLA inasifika kwa kuwa na wingi wa VITAMIN C mara x20 zaidi ya ile inayopatikana kwenye CHUNGWA

🪷🪷🪷AMLA inasifika pia kwa wingi wa MADINI ya CALCIUM (KALSIAMU) na IRON (CHUMA)


🍀Kinga kamili ya mwili
🍀Kuzuia mafua na kikohozi
🍀Kufufua/Kurekebisha seli
🍀Husaidia kutibu na kuzuia saratani
🍀Inasaidia matatizo ya Macho
🍀Huimarisha misuli na mifupa
🍀Kuyeyusha chakula
🍀Kupata choo kwa urahisi
🍀Kusafisha Damu
🍀Kuondoa mafuta mwilini
🍀Husaidia kupunguza uzito
🍀Huchelewesha dalili za uzee
🍀Kung'arisha ngozi
🍀Huondoa chunusi, madoa na makovu
🍀Huimarisha nywele
🍀Hupunguza kasi ya uotaji mvi
🍀Inasaidia Kushusha Sukari
🍀Husafisha Ini na kufanya kazi yake vizuri
🍀Husaidia kusafisha Figo
🍀Inasaidia katika Kumbukumbu
🍀Kusafisha mfumo wa uzazi (Fungus)
🍀Kuimarisha Afya ya Mfumo mzima wa Uzazi


AMLA POWDER 500g Tsh 20,000


📞0755503381

30/07/2025

☘️☘️AMLA NI BINGWA WA KUWEKA SAWA CHOLESTEROL MWILINI NA KUPUNGUZA SHIDA YA KIHARUSI. (STROKE) ☘️☘️

Wataalamu wa Ayurveda wanashauri ulaji wa AMLA mara kwa mara. Hii ni njia pekee inayoweza kuzuia hatari ya shinikizo la damu pamoja na hatari ya kiharusi.

✅AMLA ina Vitamini C nyingi, madini mengi pamoja na virutubisho vingi ambavyo huweza kusaidia kwa kiwango kikubwa kupunguza hatari ya KIHARUSI (STROKE)

✅Wale ambao wana presha, uzito mkubwa na shida za moyo wanapaswa kutumia AMLA kwa lengo la KUJIKINGA dhidi ya maradhi mabaya.

✅AMLA husafisha mafuta mabaya mwilini, huzibua mishipa ya damu iliyoziba ambayo hupatikana kwenye ubongo na sehemu muhimu mwilini hufanya ufanisi zaidi wa damu kutembea vizuri kwenye viungo hivyo na kurejesha nyuma viini vinavyopelekea kutokea kwa kiharusi

💚💚JUMUISHA TUNDA LA AMLA K**A TIBA LISHE KATIKA MLO WAKO WA KILA SIKU 💚💚


AMLA POWDER 200g Tsh15000

27/07/2025

☘️☘️TUMIA AMLA KUPUNGUZA UZITO KWA MUDA MFUPI☘️☘️

 ✅AMLA ni chakula bora zaidi cha kupunguza uzito, kwani kina vitamini C nyingi, ambayo husaidia kuongeza kimetaboliki na kuchoma mafuta mwilini.

✅AMLA ina kiasi kizuri cha nyuzinyuzi, ambayo inaweza kukusaidia kujisikia umeshiba na kupunguza hamu ya njaa, na hivyo kusababisha kupungua kwa asili kwa ulaji wa vyakula vyenye kalori (mafuta).

✅AMLA inaweza kuchoma kalori zaidi kwa ufanisi. Kwa udhibiti bora wa uzito, mara nyingi hupendekezwa kunywa mchanganyiko wa amla kwenye tumbo tupu (kabla ya kula chochote) .

✅AMLA ihusaidia katika mmeng'enyo wa chakula. Kwa usagaji chakula bora na harakati bora ya haja kubwa, kimetaboliki yako itaongezeka, na hivyo hatimaye kusababisha kuchomwa kwa mafuta ya ndani ya tumbo.

✅AMLA ina uwezo wa ajabu wa kupunguza uzito na TAFITI zinaonyesha kwamba matumizi ya AMLA k**a sehemu ya mlo wako kwa muda wa siku 45 mtu huweza kupunguza wastani wa kilo 6.8.


AMLA POWDER 200g Tsh15000

26/07/2025

#

🍁🍁Amla ni TUNDA la AJABU lijulikanalo kwa kuwa na faida nyingi za kiafya ikiwemo ya kuzuia ugonjwa wa SARATANI.

✅AMLA inauwezo mkubwa wa kuzuia ukuaji wa seli za saratani.

✅AMLA inaweza kubadilisha na kufufua seli zilizoharibiwa/shambuliwa na saratani na kuwa seli za kawaida ambazo ni salama bila kuathiri seli zisizo na saratani.

✅TAFITI zinaonyesha uwezekano wa AMLA kuzuia saratani ya ovari, saratani ya matiti, saratani ya ini, saratani ya shingo ya kizazi, saratani ya utumbo mpana na saratani ya mapafu.

✅AMLA ina antioxidants na Vitamin C nyingi ambazo ni kinga imara.

✅AMLA husaidia kuboresha kinga yako na kuhakikisha mwili wako una kinga imara ya kupambana na saratani.

🍁🍁MATUMIZI ya mara kwa mara ya AMLA ndio KINGA pekee dhidi ya SARATANI na Mashambulizi ya Seli na kudhibiti kuenea kwa Saratani na kupata AFYA BORA 🍁🍁


AMLA POWDER 200g Tsh15000

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam