musaada kutoka juu mbinguni
prech
08/03/2026
KUOTA NDOTO UKO JALALANI NI ISHARA YA ROHO YA KUCHAFULIWA,YANI KUKOSA KIBARI KWA WATU,NUKSI,MIKOSI,PIA ROHO YA KUCHANGANYIKIWA,KUWA MWEHU,MWENDAWAZIMU, UCHIZI INAKUFATILIA.ROHO YA UMASIKINI,KUKATALIWA NA ROHO YA MAUTI.
07/03/2026
MATAMBIKO NI IBADA ZA KIMILA ZINAZOWAKILISHA KUZIMU,WATU WENGI WANACHUKULIA KAWAIDA KWANI HUJUA KUWA WANAFANYA IBADA ZA KIMILA TU,LAKINI UKWELI NI KWAMBA UNASUJUDIA KUZIMU NA MIUNGU YA GIZA,AMBAYO KIONGOZI WAKE NI SHETANI, KWAHYO UNAKUA UNAMANISHA KUA SHETANI NI BORA KULIKO MUNGU WA MBINGUNI ASIYESHINDWA NA CHOCHOTE,PIA UNAKUA UMEMKANA MUNGU KWA KUINGIA MAAGANO MAZITO NA SHETANI.
THERE IS POWER IN THE MIGHTY NAME OF JESUS
Mamake Sturridge
22/02/2026
Ukiona mtu kiburi na dharau imezidi,jua Kuna anguko kubwa mbele yake,au Kuna mauti mbele yake.kama alikua na Mali atafirisika,kama ni cheo kinaenda kukoma au kupoteza cheo,kama anajivunia ndoa inaenda kupotea.
16/02/2026
Matendo ya Mitume 16:16
Ikawa tulipokuwa tukienda mahali pale pa kusali, kijakazi mmoja aliyekuwa na pepo wa uaguzi akatukuta, aliyewapatia bwana zake faida nyingi kwa kuagua.
Matendo ya Mitume 16:17
Akamfuata Paulo na sisi akipiga kelele, akisema, Watu hawa ni watumishi wa Mungu aliye juu, wenye kuwahubiria njia ya wokovu.
Matendo ya Mitume 16:18
Akafanya hayo siku nyingi. Lakini Paulo akasikitika, akageuka akamwambia yule pepo, Nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke huyu. Akamtoka saa ile ile.
UKIONA KANISANI MTU NI KIHEREHERE KUPITA KIASI,KUJIFANYA ANAJUA MAMBO YA MUNGU KULIKO,ANA WIVU,MJUAJI, HYO NI AJENTI ,kuwa makini sana ataharibu maisha yako.
16/02/2026
With Masum Khan Mahin β I just got recognized as one of their top fans! π
16/02/2026
With Kantlal Saini β I just got recognized as one of their top fans! π
16/02/2026
With Abola Tiger Base β I just got recognized as one of their top fans! π
16/02/2026
With Mamake Sturridge β I just got recognized as one of their top fans! π
16/02/2026
With ThΔ Mvtt β I just got recognized as one of their top fans! π
14/02/2026
Luka 1:37
kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu.
KUMBE YOTE KWA MUNGU YANAWEZEKANA USIOGOPE MUNGU ATAKUSHIKA MKONO UTAVUKA, HAIJALISHI UNAPITIA MAMBO GANI IWE NI MAGONJWA, UCHUMI,NDOA,N.K WEWE MUONE MUNGU UTAOMBEWA NA UTAKAA SAWA KILAHISI KABSA
0740635072 AU 0612685072
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
Dar Es Salaam