Bint sheikh Dua center

Bint sheikh Dua center

Share

Ni kituo Cha tiba na Dua Kwa maradhi mbali mbali
:- Ridhiki
:- Maradhi
:- Kuondosha Nusi

14/01/2026

TIBA YA JINI MAHABA
jini mahaba huyu kiumbe ukiwa naye mwilini mwako ujuwe kufanikiwa kwako ngumu kabisa utaishia kupata pesa za kula na kuvaa kwenye mahusiano uko ndio kabisa leo utakuwa na huyu kesho na yule nk

Kwa wale wanao sumbuliwa na jini mahaba basi

leo niwape faida namna yakumfukuza jini uyo,,, Namna yakumtibu,,,

Chukua

udi karaha utauwosha kisha utatafuna tafuna hasa wakati wakulala kwa muda wa wiki moja
Kisha utachukua dawa zifuatazo

Manimani,
kamuna abyadhi,
mvuje wakidonge
shubiri nyeusi,
kamuna asweed
kibiriti upele,
karafuu maiti
sandal

kisha changanya dawa izo zote zitwange ziwe unga laini kisha nunua mafuta ya n**i

(coconut 🥥 oil)

utie izo dawa ulizo zitwanga zote kwenye ayo mafuta yan**i kisha atumie kupaka kila siku Asubuhi na muda ambao unataka kulala usiku ufanye ivyo kwa muda wa siku saba,hadi 18 bila kuacha ata siku moja

Badaa hapa chujua majani ya miti hii utumie kujifusha upike nyungu

majani ya Mvunja homa
majani y Kivumbasi
majani ya Mchaichai
majani ya Mkaratusi
majani ya ndulele

12/01/2026
03/01/2026

Asalam alaykum warhamatulhah wabarakatuh
Alhamdulilah jumamosi ya Leo nipo mkaoni karibuni sana Kwa matatizo mbali mbali
+255684 798194

02/01/2026

Njachama
Kinyavu
Kitim timu

Kuku ambae ana majabu mkubwa sana katika tiba asili 👆🏽👆🏽👆🏽leo nitaeleza jins ya kugombanisha watu wale wakorof Na waume wawatu Na wake za watu twende sawa vitasa tu😂😂😂

Ukitaka kufarakanisha watu wagombane tafuta

Kitim Tim
Mfaraka
Mgombanishi
Usembe mweusi


Naam k**a unakesi kubwa sana unatak ushinde kesi au kesi ifutwe chukua kuku wako chanjama kisha chimba mizizi ya mkata kesi na mizizi ya mtula tula kausha kikauke kisha itwange upate unga na usembe wa mfunguo sembe magube Naam chukua kuku wako kisha mlishe dawa zako kwa manuiz unayo yataka na majina ya wahusika wa kesi ukimaliza chinja kuku wako mwache apupe pupe uku ukitia nia zako kuhusu kesi yako ni atar sana iyo tiba ninayo kuambia

Naam kombola ili litakuwa siri kidogo pia kuku chanjama unaweza mtumia kwenye pigo lolote kuuwa uchizi kuvunja mtu miguu nk ni atar kwa kichapo

Kwa wale wenye mashughul kutamka kuuza sare au watu wajae na wale wanaojisahulisha mitunzo wagumu kurudi kwenye mitunzo kombola hii balaa na nusu

+255684 798194

02/01/2026

Dawa Hii Inaitwa ( Shajaratul-mariyamu )

Dawa hii Kwa Mtu Mwenye Maradhi Ya Maumivu ya Kichwa Chemsha Dawa hii Na Samli Ya Ngombe Kisha Pakaa Kwenye Kichwa Mafuta Hayo Utapona Inshaalla...

Pia Dawa hii Ukiweka Kwenye Droo La Pesa za Biashara Watu Wa Kufanya Uchawi Wa Chuma Ulete hawatoweza Kutoa Pesa Zako kiuchawi

Pia ukiliweka Uwa Hili Ndani Ya Sufuria Lenye Maji Lita 2 Acha Kwa Masaa 5 uwa Hilo Litachanua Akinywa Mtu Aliye Chelewa Kujifungua Atazaa Kwa Haraka..

Pia Mwenye Kujifukiza Kipande Kidogo Cha Mti Huu Ataondoa Uchawi Mwilini..

Pia Likiwa Kwenye Ndoo Ya Maji Kwa Muda Wa Masaa 5 litachanua Ukioga Maji Hayo Utatoa Mikosi Ya Mwilini

Pia Dawa Hii huliwa Baada Ya Kuponda Na Kupata Unga Wake inafaida Ya Kupoza Tumbo Kuuma Kula Kijiko 1 Kidogo

02/01/2026

MLANGAMIA
Huu ni mti wenye kambakamba nyingi unaota ktk mti wowote na kuutambaa. Mti huu hauna shina linaloonesha mti ulipoota.
Ni mti wenye kazi nyingi Sana kwasababu unapoota mti huu lazima kuwe sehemu salama kwa mizimu.
Leo tutazungumzia majani au hizo kambakamba zake na siku Nyingne nitawapa Faida ya kiazi Cha mmea huu wa mlangamia.

Faida za mlangamia
👉Kuondoa uchawi mwilini
Chemsha au saga vizur mlangamia uchuje unywe kikombe kidogo kwa watoto wadogo wapewe kijiko kimoja.

👉Upele, ukurutu
Andaa maji kidogo na mlangamia usage vzuri Kisha ujipake mwilini

👉Mtoto aliebemendwa
Chemsha mlangamia umnyweshe kijiko kimoja. Pia maji mliochemsha baba na mama wa mtoto mkishamaliza tendo tumieni kunawa mikono. Kisha muogesheni mtoto maji hayo...

👉Mjamzito aliepitiliza mda wa kujifungua
Chemsha mlangamia au usage vizur Kisha Tumia kwa kunywa kikombe kidogo
Wakati unakunywa simama Katika kizingiti Cha mlango wako ukimaliza kiachilie kikombe kianguke chini.

👉Ukitumia mlangamia, majani ya mbaazi na kifumbasi kuchemsha na kuogea kunaondoa nuksi

👉Tumbo kuuma
Chemsha mlangamia unywe kikombe kimoja asubuhi na jioni kwa siku 5 Utakua vizuri

👉Msisahau kufollow page ya Bint sheikh Dua center kwa elimu zaid

ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU

01/01/2026

KUOTA UNAKUFA AMA KUZIKWA
________________________________________________

kuota unambiwa kufa au kuona umekufa na unaenda kuzikwa ndoto hii ni miongioni wa ndoto mbaya au kuota umebeba jeneza unaenda kuzika au kuzikwa
✍️ iwapo utaiota ndoto hii jijue una madui hatari mno kwani kinachofanyika wakati ule unaona
unambiwa kufa kufa
huwa ni nyota yako ya mafanikio wameipata kupitia jina lako
na pale ndio wanataka kuyazima mafanikio yako kupitia kiumbe fulani kitachosimamaishwa k**a wewe mara nyingi hutumia kondoo mweusi au mbwa mweusi wanamzika akiwa hai

✍️wewe utaona un**ikwa ukiwa hai na roho inakuuma lakini huna la kufanya

✍️kwa mauizo yao kuwa nyota yako ife wakati mwingine humchinja huyo mbwa au kondoo kwa manuizo yale yale na baada ya tukio hilo wewe kauli zako zitapuuzwa k**a mbwa na kondoo wanavyopuuzwa katika wanayoyahitaji hali hii itapekea marafiki wapenzi ndugu na jamaa na wafanya kazi wenzako kukugeuka ghafula

✍️na kukuona wewe mtu mbaya sana kwani kuzikiwa mbwa ni kitu kibaya sana mno unaweza kutabika zaidi ya miaka 5 hadi 10. na kuzidi ila unatafuta mafanikio lakini huyaoni na watu wanakuangalia tu unavyotaabika kumbe wanajua kilichotokea

✍️ unatumia nguvu kubwa Sana kutafuta riziki pesa zako zinaenda K**a upepo huu uchawi mbaya mno

✍️uchawi upo sikia tu kwa mwezako usiombe ukupate utajuta. halafu unakuta mtu anasema uchawi hakuna

✍️ukiwai tatizo hilo ukaenda kwa mganga utake tiba siku mbili upone uwezi kupona maana tiba za kichawi sio k**a kuosha vyombo unywe dawa MUDA huo umepona ngumu utamaliza waganga ata 20 maana yake huna subira

✍️tulia sehemu moja kwanza Kwa ajili ya matibabu

✍️WhatsApp +255 684 798194

01/01/2026

VIDONDA VYA TUMBO
Wenye kusumbuliwa na vidonda vya tumbo poleni sanaa. Asili ipo kwaajili ya kuwasaidia na utakua vzur tu
Andaa vitu vifuatavyo
👉 VIFUU VYA N**I
👉ASALI

Kusanya vifuu vya N**i vyakutosha K**a mfuko mmoja sio vya kuokota
Vichome sehem ambayo haviwezi kuingia mchanga viungue chukua jivu lake linalotosha kujaa ktk Lita 1. Ndiomaana nkasema uandae vifuu vingi

Changanya jivu lako na asali yako upate asali Original kiasi Cha Lita Hadi Lita moja na nusu

TUMIA KWA KUNYWA KILA SIKU ASUBUH KABLA HUJALA KITU CHOCHOTE KIASI CHA VIJIKO 3 ASUBUHI NA VIJIKO VITATU MCHANA NA VIJIKO VITATU USIKU
KWA SIKU 21.
UTAIONA NGUVU YA ASILI KTK HILI

Usisahau kufollow page yangu
Bint sheikh Dua center
kwa elimu zaidi
+255684 798194
ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU

01/01/2026

🌙✨ DUA NA DAWA✨🌙

Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu, Qur’an Tukufu na maarifa ya tiba za kiasili, mimi ndiye mtibabu wa tiba na dawa za kiasili

Nimebobea katika:
✅ Tiba za Qur’an kwa shida za kiroho na maisha
Mahusiano Ndoa na Mapenzi

✅ Dawa za asili na tiba za jadi zenye ufanisi
Uzazi kwa kina mama na nguvu za kiume
✅ Kuwasaidia wenye matatizo ya ndoa, biashara, mapenzi na afya
Kurejesha ndoa mahusiano yaliovunjika na migogoro ya Mara kwa Mara
Kumfunga mke mume au mpenzi umpendae

✅ Kurejesha nguvu za maisha na kufungua njia zilizofungwa
Riziki na dawa za biashara pamoja na mvuto

🌿 Kila tiba na dawa ninayotoa ni ya uhakika na halali, kwa njia sahihi na salama.
Hakuna tatizo kubwa mbele ya Qur’an na hekima za jadi, kila giza lina mwangaza wake.

👉 Ukihitaji msaada wa kweli, wa kihakika na wenye baraka, Bint sheikh ndiye suluhisho lako.

📞 Wasiliana nami leo uone tofauti ya maisha yako. +255 684 798194

01/01/2026

Asalam alaykum
Dawa za mvuto wa mapenzi
Dawa za mvuto wa biashara
Dawa za kutafutia kazi
Dawa za kukubalika

Naam twende sawa tafuta dawa zako izi kisha fuatia vile naelekeza zitakupa msaada katk majambo yako unayo yaitaji

Kasela ya bara ya unga
Itinginya ya unga
Mweunge ya unga
Msalasi ya unga
Kasuku ya unga

Naam k**a unaitaji kumvuta mwenza wako tafuta dawa zako izo kicha changanya pamoja na chumvi ya mawe baruti ya chenga kashi kashi mauwa na panga nati

Kisha utatumia kuchoma kwa manuizi unayo itaji ya kumvuta uyo mtu asubh na jion

Naam katika biashara changanya dawa zako kisha tumia kuoga kwa manuizi ya kuvuta wateja dawa ingine changanya na mafuta yafuatayo

Mafuta ya miski nyekundu
Mafuta ya mvuto
Mafuta ya mkaratusi
Mafuta ya mkun**i

Utatumia kupaka asubh na jion Kwa mda wa siku 14

Kwa maelezo zaidi au mengineyo njoo oficn kwangu
Chamazi Kwa mzala
0684798194

31/12/2025

Dalili za mtu mwenye nuksi/mikosi katika mwili wake.
Kuna dalili nyingi ambazo zinaweza kujitokeza baada ya mtu kupatwa na nuksi mojawapo kati ya hizo tulizo zitaja hapo juu, miongoni mwa dalili hizo ni pamoja na;

Mtu kuchukiwa bila sababu/kwa sababu za kawaida zisizo na msingi wowote.

Kukwama kwa mambo yako ghafra bila kujua unakosea wapi.

Kushindwa kujisaidia mwenyewe hata kwa changamoto ndogondogo za kimaisha.

Kujihisi unamapungufu wewe mwenyewe na kujiona k**a una kasoro mbele ya watu-kupoteza kujiamini.

* Kuachwa ghafra,

Kusimamishwa kazi pasi na sababu ilio sawia.

* Kufa kwa mawasiliano na watu wako wa karibu n.k
*
Njoo upate dua mujarrab kutoka kwa Bint sheikh

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Kwa Mzara, Chamazi
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Wednesday 08:00 - 18:00
Thursday 08:00 - 18:00
Saturday 08:00 - 18:00
Sunday 08:00 - 18:00