Mkeka Tiba
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mkeka Tiba, Health/Beauty, Dar es Salaam.
Foot Massager Kubwa
Ni mkeka uliotengenezwa na teknlogia ya kisasa, unachosaidia kuchochea misuli kwenye miguu na kutoa massage yenye manufaa kwa afya ya miguu.
Tsh120000
0757101625
Kifaa hiki kinasaidia
• kupunguza maumivu,
• kuimarisha misuli,
• kuboresha mtiririko wa damu,
• kuondoa miguu kuwaka moto
• Miguu kufa ganzi
• Miguu kujaa na
• kusaidia kupumzisha misuli ili kuondoa msongo wa miguu na kusaidia kupata usingizi.
Kifaa hchi ni husaidia makundi mbali mbali ikiwemo:
• Watu wanaotumia mda mrefu Kusimama au Kukaa
• Watu wenye matatizo ya miguu k**a plantar fasciitis, soreness, neuropathy, or poor circulation na mengineyo
• Watu wa Mazoezi
• Watu wanaosafiri
• Watu wanaojali afya zao na kutaka kurelax baada ya mda mrefu wa kazi
Hairuhusiwi kwa
• Wanawake wajawazito
• Watu wenye vidonda vibichi kwenye miguu
• Watu wenye upasuaji wa hivi karibuni kwenye miguu yao
Matumizi
• Weka massager kwenye sehemu inayofaa k**a sakafu.
• Weka miguu yako kwenye massager
Tunapatikana kariakoo Mtaa wa NFoot Massager Kubwa
Ni mkeka
• kuboresha mtiririko wa damu,
• kuondoa miguu kuwaka moto
• Miguu kufa ganzi
• Miguu kujaa na
• kusaidia kupumzisha misuli ili kuondoa msongo wa miguu na kusaidia kupata usingizi.
Kifaa hchi ni husaidia makundi mbali mbali ikiwemo:
• Watu wanaotumia mda mrefu Kusimama au Kukaa
• Watu wenye matatizo ya miguu k**a plantar fasciitis na soreness.
Tunapatikana kariakoo Mtaa Wa Ndanda na Agrey.
Karibuni sana
Click here to claim your Sponsored Listing.