Lishe Asili
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Lishe Asili, Health/Beauty, Mwenge, Dar es Salaam.
25/04/2026
🔥 Kifua kinawaka k**a moto baada ya kula?
Usipuuze, inaweza kuwa Acid Reflux!
Pata ushauri sahihi leo👇
📞 0755354193
17/03/2026
🔥 Unapata maumivu wakati wa haja?
Usipuuzie… inaweza kuwa bawasiri!
📲 Pata msaada: 0755354193
👇 Comment “NDIO” k**a unafahamu hili
🔁 Share • ❤️ Like
17/03/2026
🔥 Bawasiri usipuuzwe!
Maumivu, damu au kuwashwa? Chukua hatua mapema.
📲 Pata msaada: 0755354193
🔁 Share • ❤️ Like • 💬 Comment
16/03/2026
DALILI ZA BAWASIRI ⚠️
✔️ Maumivu wakati wa haja kubwa
✔️ Kutokwa na damu kidogo
✔️ Kuwashwa au uvimbe sehemu ya haja kubwa
Usipuuzie dalili hizi. Pata ushauri na matibabu mapema ili kuepuka madhara makubwa.
📞 Wasiliana nasi: 0755344193
🔁 Share ili uwasaidie wengine kupata elimu hii
🔔 Subscribe / Follow page kwa elimu zaidi za afya
16/03/2026
06/03/2026
“Kiungulia, moto tumboni au uchachu mdomoni vinakusumbua kila mara?
Hiyo inaweza kuwa ACID TUMBONI. Usikae na maumivu kimya!
⚠️ Dalili zikiendelea zinaweza kuleta matatizo makubwa zaidi tumboni.
✅ Pata ushauri na matibabu mapema.
📩 Nitumie ujumbe sasa ili upate msaada wa haraka.”
02/03/2026
⚠️ Dalili zake
💫Uume kushindwa kusimama kabisa
💫Kusimama kwa muda mfupi
💫Kupungua hamu ya tendo la ndoa
💫Kushindwa kurudia tendo
☎️Wasiliana nami kwa ushauri na Tiba lishe
26/02/2026
⚠️ Dalili
Maumivu au kuungua kifuani au tumboni (hasa ukiwa hujala).
Kichefuchefu au kutapika.
Kukosa hamu ya kula.
Kuvimba tumbo.
Wakati mwingine kutapika damu au choo cheusi (hali ya hatari – muone daktari haraka).
26/02/2026
🔎 Sababu Kuu ya ulcers (vidonda vya tumbo)
Maambukizi ya bakteria (H. pylori).
Matumizi ya muda mrefu ya dawa za maumivu k**a aspirin au diclofenac.
Msongo wa mawazo uliokithiri.
Kunywa pombe kupita kiasi.
Kuvuta sigara.
Asidi nyingi tumboni.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
14113