Afya bora

Afya bora

Share

KUWA NA MAISHA YENYE AFYA NA FURAHA KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO VYETU VYENYE UBORA WA HALI YA JUU.. TAFADHALI WASILIANA NASI KWA AJIRI YA USHAURI NA MATIBABU.

15/09/2024

JE, UNAYAJUA MADHARA YA PID?
K**a unasumbuliwa na PID naomba tuwasiliane kwa namba 0658039189 ili uweze kupata suruhisho sahihi.

PID (Pelvic Inflammatory Diseases), ni maambukizi ya sehemu za uzazi za wanawake, k**a vile mji wa mimba (uterus), mirija ya uzazi (fallopian tubes), na ovari. Maambukizi haya mara nyingi husababishwa na bakteria, na yanaweza kusababisha matatizo makubwa k**a vile maumivu ya tumbo, matatizo ya uzazi, na hatari za kuzaa.

Dalili za PID:
1. Maumivu ya tumbo au sehemu ya chini ya tumbo.
2. Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
3. Maumivu wakati wa kukojoa.
4. Kutokwa na majimaji yenye harufu mbaya kutoka kwa uke.
5. Homa au kuumwa na kichwa.
6. Kuonekana kwa uvimbe au maumivu katika eneo la kiuno.

Vifuatavyo ni Vihatarishi vya PID:
1. Kujamiiana bila kinga au kushirikishi tendo la ndoa na mtu ambaye ana maambukizi ya bakteria.
2. Kutokuwa na usafi mzuri wakati wa tendo la ngono.
3. Historia ya maambukizi ya ngono au PID ya awali.
4. Kutumia vifaa vya uzazi k**a vile mirija au mipira ya uzazi bila usafi wa kutosha.

Madhara ya PID:
1. Matatizo ya uzazi: Kuwa na hatari ya kutokuwa na uwezo wa kupata mimba au kuzaa.
2. Mimba za nje ya mji wa mimba: Kuongezeka kwa hatari ya mimba za nje ya mji wa mimba (ectopic pregnancy).
3. Maumivu ya muda mrefu: Maumivu ya tumbo au kiuno yanayodumu kwa muda mrefu.
4. Kuongezeka kwa hatari ya maambukizi mengine: Kuwepo kwa hatari ya maambukizi ya mara kwa mara.

Ikiwa una PID na imekusumbua kwa muda mrefu sasa tiba inapatikana na inatibu chanzo cha tatizo.

WASILIANA NAMI CALL/SMS/WHATSAPP 0658039189.

13/09/2024

JE, UTAJUAJE K**A UNATATIZO LA FANGASI SUGU UKENI?

Dawa ninayo mimi wasiliana na mimi call/ whatsApp/ Sms 0658039189.

Fangasi ukeni, au "vaginal fungal infections," mara nyingi husababishwa na fangasi aina ya Candida.
Zifuatazo ni dalili za Fangasi sugu ukeni:

1. Mwasho na Uchungu: Maeneo ya uke yanaweza kuwa na mwasho na uchungu.
2. Mchubuko: Uke unaweza kuwa na uchubuko na rangi nyekundu.
3. Maumivu wakati wa tendo la ndoa: Wakati mwingine unaweza kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa.
4. Kutokwa na Majimaji: Kutoka na majimaji yenye rangi ya mvi au nyeupe, na yenye harufu mbaya.
5. Harufu: Maambukizi mara nyingi hayana harufu kali, lakini wakati mwingine inaweza kuwa na harufu mbaya kidogo.

Kwa ushauri na matibabu wasiliana nami 0658039189, piga, tuma ujumbe mfupi au whatsApp popote ulipo huduma inapatikana.

Lakini pia natibu matatizo k**a vile UTI sugu, PID, pamoja na vibe mbalimbali kwenye via vya uzazi( Fibroids na cysts).

Call 0658039189

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma Outlying?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dodoma Outlying