Judith Gut Health Nutrition
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Judith Gut Health Nutrition, Health/Beauty, .
01/11/2023
Good Morning My gut health lovers
Leo asubuhi nimekula Yoghurt na Muesli juu nimeweka Collagen ambayo nayo mbali na kusaidia ngozi ,pia husaidia kujenga kuta za mfuko wako wa chakula .
Hivyo k**a wewe au mpendwa wako ana vidonda vya tumbo collagen ni supplement sahihi sana kwake ,Muesli ina healthy fats na vitamins za kutosha frm seeds ,nuts ,dried fruits na oats husaidia wale wenye constipation na kuweka tu uwe regular .
Yoghurt ina probiotics ambayo nao ni organisms wazuri sana kwa afya ya mfumo wako wa kumengenya chakula husaidia digestion pamoja na immunity.
Kwa maswali na ushauri karibu
31/10/2023
One of the Best tings you could do for your gut health is to feed it fibre rich foods ,Here’s my brunch today Lishe 101’s Muesli filled with Nuts ,Seeds ,Oats and flakes that will hit the spot with its great taste while giving your body much needed fibre to keep things moving 😋😋😋
23/10/2023
Moja ya njia rahisi kabisa ya kuimprove gut health yako ni kwa kula strategically vyakula ambavyo vmekua proven kuwa vinasaidia kuongeza dietary diversity
Hakikisha unakula matunda na mboga mbiga kwa wingi pamoja na vyakula fermented ili kuusaidia mfumo wako wa kumeng’enya chakula uwe on tip top shape.
Diversity for Life
15/10/2023
Matatizo ya mfumo wa chakula hutokea taratibu na kwa muda mrefu kabla hayajaanza kuonyesha dalili mfn kiungulia ,constipation na kujaa gesi vitu ambavyo huchukuliwa poa na vizazidi kujenga matatzo chronic ambayo hupelekea inflammation katika sehemu mbali mbali za mfumo huo ikowemo utumbo mpana/mdogo .
Leo nmeshare general prinicilpes zinazoweza kukusaidia kutibu hzo inflammation ili uepukane na matatizo makubwa zaidi ikiwemo Kansa.
Badili mfumo wako wa maisha sasa kwa uhakika wa afya yako
Karibu lishe 101 kwa maswali na usahrui zaidi 📲📲
10/10/2023
Gerd/Kiungulia ni tatizo linalowapata watu wengi. Inakukosesha raha na unasikia kuwaka moto kwenye eneo la kifua na kuenea hadi shingoni na kwenye koo. Ukiwa na kiungulia unaweza kusikia ladha ya uchachu nyuma ya koo. Kiungulia kinaweza kudumu kwa muda mfupi au kikaenda kwa saa kadhaa. Kiungulia huwa kikali zaidi baada ya kula au ukilala mara baada ya kula
Kiungulia kinasababishwa na stress ,ulaji mbovu (junk foods ,fried foods , ,kulala mara baada ya kula ,Utumiaji uliokithiri wa pombe na sigara , Gluten ,Kulegea kwa sphincter.
Utajuaje kuwa una kiungulia/Dalili ?? Tumbo linaweza kujaa gesi , Kichefuchefu , Kuhisi k**a kuna kitu kooni , kutapika , Kubeua ,maumivu
Ufanye nini Kutatua dalili za kiungulia ; Kula milo midogo mara kwa mara ,Badilo ulaji wako pendelea healthy foods ,subiri walau masaa 2/3 baada ya kula kabla ya kwenda kulala ,Punguza /Acha natumizi ya pombe na sigara , manage stress levels zako na usinywe maji wakati wa kula .Hakikisha ume elevate mto wako ili usilale flat kitandani na ulale walau masaa 7-8 kwa siku.
Pia Tumia Herbs / supplements zifuatazo kutatua shida hiyo ; Licorice ,Melatonin , Manjano , Alovera , Chamomile.
Kwa maswali na Ushauri zaidi karibu
07/08/2023
Happy Monday lovely people!!
Leo nimeona ni bora tukumbushame kwanini Inatupasa kuwa makini na afya ya mfumo wetu wa kumeng’enya chakula !
Gut health ina mahusiano na mifumo mbali mbali kwenye mwili na iko responsible kwa ajili ya Energy levels zako , Kwa wale vibinhe wenzangu hata kupungua kwako kunahusiana na afya ya mfumo wako wa kumeng’enya chakula .
Wale warembo pia yatupasa tuglow from the inside out na zaidi kabisa for our mental health ni lazima tuhudumie afya ya akili zetu kwa kuwa na afya bora kabisa ya mfumo wetu wa kumeng’enya chakula.
Stay here na tutashare tips na tricks za kuhakikisha unakua na tip top shape .
Have a Great week ahead .
23/05/2023
Healthy eating inawezekana ni swala la kujipanga tu ,here having a bowl of yoghurt pamoja na granola a simple yet filling lunch .
23/05/2023
Hata tukiwa mbali na nyumbani tunaweza kuendelea kula healthy , Hapa nakula mixed fruits ; Nanasi ,Tikiti ,Avocado ,Ndizi na Karanga kidogo (Nimepata plant points 5 👯👯👯) nikiendelea hvi by the end of the week ntakua nmefikisha 30 pp or more😀😀😀 na mfumo wangu wa kumeng’enya chakula utakua unanishukuru kwa kuutendea haki 👯👯👯
22/05/2023
Ni rahisi sana kuanza kutrack ulaji wako na kuhakikisha unapata 30plant points hapo pichani ni
Bakuli la matunda ;Papai , Seamoss gel , Granola (Oats ,sunflower seed,pumpkin seeds , almonds ,cashewnut) mixed spices jumla ni k**a 7 plant pints kwenye mlo mmoja tu .
Nitaendelea kushare sample meals na points zake tujifunze pamoja kwa ajili ya kuboresha afya zetu ,kuimarisha kinga na kuhakikisha mfumo wetu wa kumeng’enya chakula unakua healthy na digestion inakua vizuri kabisaaa.
18/05/2023
Hello wana Lishe 101 leo nna wapa tip rahisi sana ya kukusaidia kupunguza constipation na kukupa routine nzuri kwenye swala zima la kwenda haja 🙂🙂Hivi umewahi kuangalia utofauti wa asubuhi unayokua juuu juu na ile unayokua umetulia?
Miili yetu inapenda routine na utulivu Ukiwa umetulia Utaona hamu ya kwenda haja kubwa inakuja ila ukiwa in a hurry asubuhi itapita na usipokua makini siku zitapita hujaenda haja kubwa mwisho upate constipation.
Hivyo jitahidi kupunguza haraka , tulia ,kuwa na muda wa kutosha asubuhi na mdumo wako wa kumeng’enya chakula utakushuru!!
19/01/2023
January ni mwezi wa kuisherekea nafaka ya Oats.
Hapa Tanzania Imezoeleka sana kuliwa k**a chakula cha watoto kwenye mfumo wa uji.
Kuna varieties tofauti za oats ikitegemea na level ya processing inaanza steel cut ambazo zina minimal processing na hupikwa kwa masaa mpaka 3mpaka instant ambazo ndio common zinapikwa kwa 3 mins tu
Kwenye Gut health oats ni muhimu inasaidia digestion ,ina fibre nyingi inasaidia pia kutatua constipation na kupunguza risk ya Colon Cancer.
Kwa wasiopenda uji waweza kula k**a Overnight oats ,Granola ,Muesli ,Granola Bars etc.
For the rest of the month nitashare sweet and savoury Oatmeal recipes .
Follow us for more tips and tricks on improving your guthealth na karibu DM k**a una hitaji ushauri zaidi.
11/11/2022
Hello heri ya ijumaa , kwa wale wenye matatizo ya mfumo wa kumeng’enya chakula leo ninashare tips kwa ajili ya kutatua Constipation .
Share with friends na jaribuu i believe utaoata suluhu .
Follow us for more