Afya Kwanza

Afya Kwanza

Share

Huduma zetu. Tunatibu Tatizo la
1.Uvimbe kwenye kizazi
2.Saratani ya Kizazi
3.Hormonal Imbalance
4.Kutokwa na Uchafu Ukeni
5.UTI &Fangasi Sugu
6. PID
7.

UGUMBA
8. Bawasiri
https://wa.me/message/MH5XTJJFRXNTP1 Huduma zetu kwa wanausumbuliwa na
1.Uvimbe kwenye kizazi
2.Saratani ya Kizazi
3.Hormonal Imbalance
4.Kutokwa na Uchafu Ukeni
5.UTI &Fangasi Sugu

Na changamoto nyinginezo za Kiafya ikiwemo Kisukari, Mzunguko wa Hedhi usio sawa, Pressure,Vidonda vya Tumbo,Stroke,Ganzi Bawasiri

21/08/2021

HELLO!
Kila mwanamke anastahili kupata MTOTO ..
lakini ili upate Mtoto lazima mimba itungwe!

Bahati mbaya baadhi yenu hushindwa kupata Ujauzito.

Hizi Ndo Sababu Zinazokufanya Usipate Ujauzito/Kukosa Kizazi

✍🏻Ili mwanamke apate mimba, sehemu zote za mwili wake zinazohusika na uzazi zinatakiwa zifanye kazi inavyotakiwa na katika hatua zote. Hatua katika utengenezaji wa mimba ni k**a zifuatazo:

1️⃣Moja kati ya ovari mbili za mwanamke kuachia yai lililokomaa
2️⃣Yai hii kusafirishwa na mrija wa uzazi (fallopian tube)
3️⃣Mbegu za mwanamme kusafiri hadi kwenye cervix, kupitia tumbo la uzazi (uterus) hadi kwenye mrija wa uzazi, kulifikia yai na kulipevusha.
4️⃣Yai lililopevushwa kusafiri kupitia mrija wa uzazi hadi kwenye tumbo la uzazi (uterus).
5️⃣Yai kunata kwenye ukuta wa uterus na kukua.

✍🏻Ugumba wako unaweza kutokana na dosari katika hatua yoyote katika hizo tulizozitaja na mara niyingine kutokana na dosari katika hatua zaidi ya moja.

✍🏻Pamoja na kuwa kuna sababu nyingi zinazokuzuia kutopata mimba, lakini sababu kuu tatu ndizo zinazohusika zaidi k**a tutakavyozielezea hapa chini.

➡️Kushindwa Kuzalisha Mayai (Anovulation)

*Chanzo cha tatizo huwa ni moja ya yafuatayo*
👉🏿Matatizo Ya Homoni
👉🏿Makovu Kwenye Ovari
👉🏿Kukoma Hedhi Mapema.

➡️Mirija Ya Uzazi (Fallopian Tubes) Kushindwa Kufanya Kazi Vizuri

*Matatizo yanayopelekea kuziba kwa mirija ya uzazi ni k**a yafuatayo* :

👉🏿Maambukizi Ya Wadudu
👉🏿Magonjwa ya Tumbo k**a appendicitis na colitis
👉🏿Upasuaji. Upasuaji wa kwenye maeneo ya kinena na tumbo kusababisha uharibifu utakaozuia upitaji wa yai.
👉🏿Mimba Ndani Ya Mirija Ya Uzazi (Ectopic Pregnancy) huleta uharibifu kwenye mirija hiyo hata k**a tahadhali ya juu itachukuliwa kuziondoa.
👉🏿Matatizo Ya Kuzaliwa Nayo k**a kuwa na dosari katika mirija yake ya uzazi.

➡️Endometriosis

Endometriosis ni kuota kwa seli (endometrial cells) zinazofanana na zile zinazotanda ndani na nje ya mfuko wa uzazi (uterus) kwenye eneo nje ya mfuko wa uzazi. Endometrial cells ndizo zinazoufunika mfuko wa uzazi na seli hizi hubadilishwa kila mwezi wakati wa hedhi.

Seli hizi huweza kuota kwenye maeneo mengine yaliyo nje kabisa ya mfuko wa uzazi na huitwa endometriosis implants.

Maeneo ambayo seli huweza kuota ni kwenye ovari, mirija ya uzazi (fallopian tubes), kuta za nje za nyumba ya uzazi, utumbo, pelvis, kuma , cervix, kibofu na mara chache kwenye maini, mapafu na ubongo.

Wasiliana nasi Kwa namba hizi
0764508337

19/08/2021

Hello!
Ni usiku sas ! Poleni na majumu ya kila siku.. Matumaini yangu Hamjambo mnaendelea vizur.!

*NAOMBA USOME MPAKA MWISHO itakusaidia*

*Leo nataka Uijue Fungus Ya sehem za siri za mwanamke Na Matibabu Yake*

Fungus hutokea sehem za siri za mwanamke baada ya bacteria mzuri anae itwa lactobacillus kukosa nguvu ya kupambana na Maambukizi,

Na huyo bacteria anapatikana ukeni, hata hivyo uyo bacteria lactobacillus,

huzalisha Lactic acid ( hydrogen peroxide)
Ambayo hu ballance PH kwenye uke.

*Kinacho sababisha Fungus ukeni(Vaginal fungus)*

⛔ Candida albicans,
Huyu ndiye kisababishi kikuu Cha fungus wa ukeni,

*DALILI ZA FUNGUS UKENI*

🔴 Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa

🔴 Uke kuwashaa Sanaa

🔴 Kutoka vipele sehem ya ukeni,

🔴 Kutoa maji maji ukeni

🔴 Kutoa Ute ute wenye harufu ukeni wenye rangi nyeusi au yellow,

*VITU VINAVYO PELEKEA BACTERIA LACTOBACILLUS KUSHINDWA KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI*

💠kutumia Mara kwa mara dawa aina ya Antibiotics

💠msongo wa mawazo

💠kuto zingatia mlo kamili hasa wale wanao kula vyakula vyenye sukari Sanaa wapo hatarin,

💠ujauzito

💠kushuka kwa Kinga ya mwili

💠 ugonjwa wa kisukari,

💠 Hormonal imbalance,

*Zingatia* kuwa
Tatizo likishakuwa sugu linahitaji tiba Bora zaidi ili kulimaliza,

Suluhisho Ni *Program 1* maalumu kwa ajili ya kutatua Tatizo Hilo,

*MADHARA YAKE NI HATARI☠️☠️☠️ SANA*

CHUKUA HATUA.👂👂👂👂

Wasiliana nasi kupitia

0764508337
Au

wa.me

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address

Dodoma

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00