AFYA BORA maisha SAFI
It is clearly about giving education concern health, providing counselling and others
*MICHUBUKO UKENI NA HARUFU ISIYO KAWAIDA: Chanzo, dalili, madhara na TIBA YA KUDUMU.*
*Maana ya uke?.*
Uke (Vaginal or***ce); ni uwazi uliochini ya urethra. Ni moja kati ya viungo vya uzazi vya Mwanamke. Uwazi huu unatofautiana katika muonekano na ukubwa kulingana na membrani nyembamba inayoitwa h***n.
*KAZI ZA UKE*
☆Kupitisha damu ya hedhi.
☆Kuruhusu uume kufika sememu za ndani ya viungo vya uzazi vya mwanamke wakati wa kujamiana.
☆Kupokea shahawa wakati wa kujamiana.
☆Kupitisha mwili wa mtoto wakati wa kujifungua kwa njia ya kawaida (SVD).
*SABABU ZA UKE KUWA MKAVU*
Ikimbukwe ni salama kwa uke kuwa mkavu katika mazingira yasiyo ya kujamiiana. Pia sio kiafya kwa uke kuwa mkavu wakati wa kujamiana na pia wakati mwingine huwa ni tatizo la kiafya.
Zifuatazo ni sababu kuu;
♧U.T.I/PID sugu
♧Kutokukaa sawa kwa homoni (hormonal imbalance) kwa mwanamke. Homoni za k**e za oestrogen ndiyo huhusika na utoaji wa uteute unaoambatana na burudani kubwa sana wakati wa tendo la ndoa. K**a zimevurugika husababisha ukavu mkubwa ukeni na kutofurahia kabsa tendo la ndoa kwa mwanamke.
♧Kuvuta sigara
♧Uke mchafu
♧Matumizi ya dawa(sabuni) za antibiotics kusafisha uke husababisha mabadiliko ya homoni nanuke kuwa mkavu.
♧Stress kupita kiasi
♧Matibabu yanayotokana na Chemotherapy na Radiotherapy
♧Mazoezi makali
♧Maandalizi yasiyotosheleza kabla ya kujamiana husababisha uke kuwa mkavu maana mwanamke anakuwa hayuko tayari kiakili kufanya tendo la kujamiiana.
♧Kukauka kwa uke katika umri wa 50+ huwa ni kiashiria cha ukomo wa hedhi kwa mwanamke. Lakini k**a uke unakauka chini ya miaka 50+ huwa ni tatizo.
♧Fangasi sugu katika uke
♧Kutokuwa na hisia wakati wa tendo la ndoa pia kutokuwa na mapenzi na mwanaume unayeshiriki naye tendo la ndoa.
♧Uwepo wa magonjwa ya zinaa k**a vile kaswende, kisonono, pangusa n.k
♧Ufanyaji wa tendo la ndoa kwa muda mrefu.
♧Matumizi ya pedi zisizo na anions
♧Pia msongo wa mawazo kwa Mwanamke na kutokuwa interested kiakili na kimazingira na tendo lile la ndoa.
♧Pia ufanyaji mbovu wa tendo la ndoa mfano wanasema 'nje ndani nje ndani bila kuwepo na kuliwazana na kuwasiliana katika tendo la ndoa'.
*DALILI ZA UKE KUWA MKAVU*
🍉Maumivu makali wakati au baada ya tendo la ndoa
🍉Kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa
🍉Kukosa au kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
🍉Maumivu ya chini ya kitovu wakati wa tendo la ndoa
🍉Maumivu ya kiuno,mgongo,na tumbo kipindi cha hedhi.
🍉Maumivu ya mifupa na viungo
🍉Kuwa na ngozi kavu
🍉Msongo wa mawazo
🍉Hedhi kukosa mpangilio maalmu
🍉Kutofurahia tendo la ndoa
🍉Kutoshika Mimba.
*MADHARA YA UKE MKAVU*
∆Husababisha ugumba maana Homoni za Ostrojen na projesterone hushuka Sana na yai kushindwa kukomaa kila mwezi
∆ Hedhi hubadilika Sana na kupoteapotea Kwa muda
∆ Upungufu,kiwango kidogo,uwiano mbaya(HORMONES IMBALANCE)
∆ Kutoshika mimba
∆ Mpangilio mbaya wa Hedhi
∆ Nirahisi kushambuliwa na maambukizi katika mfumo wa uzazi k**a vile PID, PCOS, UTI n.k
∆Kupata michubuko na kuvimba ukeni baada ya tendo la ndoa.
∆Kutokwa na matone ya damu wakati wa tendo la ndoa
∆ Kutokufika kileleni kwa mwanamke na kukosa furaha ya tendo la ndoa.
*TIBA YA KUTOKOMEZA NI NINI SASA MAANA NIMETESEKA MIAKA MINGI BILA KUPONA 😭😭??*
*MAAJABU MAKUBWA YA REFINED YUHINZ TOFAUTI NA TIBA ZINGINE ZOZOTE*
👉Hutibu na kuangamiza bacteria wa UTI sugu.
HUTIBU na kutokomeza tatizo la ukavu ukeni. Huondoa tatizo la maumivu wakati WA tendo la NDOA.
👉HUTIBU MADHARA yatokanayo na MIONZI ya chemotherapy pamoja na Radiotherapy.
Huondoa uvimbe kwenye kizazi(fibroids au ovarian cyst)
👉Hutibu na kuweka kinga Kwa Fangasi sugu.
👉Inaondoa na kutokomeza Miwasho ukeni.
👉HUTIBU TATIZO LA MAUMIVU YA NYONGA, TUMBO NA KIUNO WAKATI WA HEALTH.
👉Huondoa tatizo la ugumba sugu na Mimba kuharibika.
👉Inaondoa na kutokomeza Harufu mbaya ukeni.
👉Inaondoa kutokomeza uchafu wenye harufu unaotoka ukeni.
👉Inasafisha na kuzibua mirija ya uzazi.
👉Inafanya MWANAMKE awe na uteute mzuri wakati WA S*X na kumfanya afurahie SAANA tendo(apate burudiko KUBWA)
👉Inakurinda usipate UTI na Fangasi
👉Inaufanya uke unakuwa msafi na kuvutia muda wote
👉Inaongeza joto la uke.
👉HUTIBU na kutokomeza magonjwa ya NGONO.
👉Inabana Kuta za uke zilizo legea nakuirudisha uke kua mdogo nawenye kubana.
👉Inakonaza mayai yasiyopevuka na huondoa ugumba.
👉Inafanya MWANAMKE apate hamu ya tendo la ndoa
👉Inapunguza Maumivu makali wakati wa Hedhi.
👉Inarudisha ute ute ukeni
👉Inazibua mirija ya UZAZI iliyoziba
👉Inatibu PID sugu ikitumika na Fermicare.
👉Huondoa tatizo la Homoni imbalance na CHANGO LA uzazi.
Tunapatikana karibia kila mkoa hapa Tanzania Arusha Dar es salaam, Mwanza , Dodoma, Mbeya Morogoro nk.
*Haya yote ninayofundisha yanaweza kupatiwa dawa au tiba endapo utawahi kupata tiba kabla hayajawa sugu unaweza kuwasiliana nami kwa njia ya whatsaap/call 0753747535 au tukawasiliana moja kwa moja kwa 0675966206👏👏👏*
*BF SUMA WE CARE AND VALUE YOUR HEALTH*
11/04/2023
TUNATOA USHAURI NA TIBA YA KUDUMU KWA MAGONJWA SUGU*
*Tumejikita kuwasadia Watu Wenye changamoto Zifutazo-:*
1.👉Magonjwa ya Mfumo mzima wa Uzazi WA MWANAMKE K**a-:
▪️Ugumba.
▪️ PID.
▪️ Fangasi sugu
▪️ Miwasho Ukeni.
▪️ UTI sugu.
▪️ Mirija ya kizazi kuziba.
▪️Saratani ya shingo ya kizazi.
▪️ Vimbe Aina zote.
▪️ Hormones Imbalance.
2.👉Pia tunatibu na kutokomeza Magonjwa sugu K**a, 🍃*Bawasiri,* 🍃Matatizo ya meno, *🍃MIGUU NA MIKONO KUFA GANZI,* 🍃MIGUU KUWAKA MOTO, *🍃Maumivu sugu ya mgongo,kiuno, shingo na mabega*, 🍃presha, *🍃Uzito mkubwa*, 🍃Vitambi na Minyama uzembe, *🍃Sukari,* 🍃kufeli Kwa figo, Ini, *🍃Vidonda vya Tumbo sugu,* 🍃Allege, *🍃meno kutoboka, 🍃meno YENYE RANGI, 🍃meno kufa ganzi, 🍃meno kutikisika, 🍃fizi kutoa harufu*, 🍃Hamu ya Tendo la Ndoa, *🍃chunusi sugu, 🍃MAGONJWA YA NGOZI* nk.
*3.👉Pia tunasaidia wanaume wenye upungufu wa nguvu za kiume, kuwahi kileleni, kushindwa kurudia TENDO na Wale walioathirika na Punyeto, na wagumba*
*KARIBUNI SANA AFYA BORA MAISHA SAFI.*
🍃TUNAJALI NA KUTHAMINI AFYA YAKO🍃
KWA MAWASILIANO TUPIGIE KWA
0753747535/ 0675966209
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dodoma