suluhisho_la__uzazi
SULUHISHO LA
. UVIMBE KWENYE( KIZAZI,MIRIJA)
.FUNGUS, U.T.I, P.I.D
.KUTOKUSHIKA/KUHARIBIKA MIMBA
10/02/2023
Umehangaika kushika ujauzito na umeshakata tamaa zipo sababu zinapeleke usibebe mimba 👉 maambukizi kwenye via vya uzazi
👉 Hormonal imbalance
👉Mirija kujaa maji
👉Uvimbe kwenye Kizazi
👉Kukosa Ute wa uzazi
Tunalosuluhisho kwa hayo yote, haijalishi report ya doctor imesemaje, au unamrija mmoja au cancer ya kizazi inakusumbua au dawa ngapi hazijakusaidia, sisi tutakusaidia na kufikisha ndoto zako za kuitwa mama, Kila mwanamke lazima aitwe mama kupona na kushika mimba ni lazima na uhakika.
HAYA NATAKA WATU WALIOSERIOUS NA WALIOHANGAIKA SANA NA HAWAKUFANIKIWA KABLA MWEZI HAUJAISHA TUWE TUMEFUTA MACHOZI.
Wasiliana nasi 0657228757/ 0745192092 nasisitiza njoo watsup au normal sms na call, fb nachelewa kuona txt zenu. waliopata tiba zangu wanajua sinaga utapeli kabisa na unapata dawa zako kwa muda sahihi.
13/01/2023
Haya jamani vipimo hivo vya kupima siku za danger nimeleta, wengi wanatumia dawa ila siku za danger hawazijui wanafanya kudonya tu sasa sahivi mambo chapchap uniweka mkojo hapo kikisoma red doubke line inamana wewe chap muite mr mambo yaanze
Hii itasaidia kwa wale wasiojua kuhesabu siku zao, wale wenye mzunguko haueleweki na wenye hormone imbalance
Kwa walee wanaotafuta ujauziti itawasaidia kufanya s*x siku husika na kwa wale wasiotaka mimba itawasaidia kuepuka mimba ambazo hazina matarajio na kuliko kumeza p2 kila siku.
Unashauriwa kupata zaidi ya vitano ndani maana ukipima leo haujapata matokeo keshokutwa utapima tena
Ni bei rahisi sanaa tena sanaa tsh 3000 tu kimoja, mikoani natuma pia.
Watsup/normal 0657228757/0745192092 jamani mkiona sms sijibu facebook mje watsup au normal txt
13/01/2023
Jamani wale wanaopenda kuwa mawakala sasa mnaweza tena haraka sanaa unaniambia uko mkoa gani, nini malengo ya kutaka hii biashara, jamniii tunaweza wote kutokomeza jobless mitaani, uwe umesoma au hujasoma, umemaliza chuo, mama wa nyumbani tu njoo nikusaidie upate kazi yao rasmi namba zangu 0657228757/0745192092
16/12/2022
85% ya wanawake wengi wana ugua fungus, UTI na PID zisizo kwisha kwasabab hawapati dose kamilifu ya kuuwa bacteria hawa wa baya walio dumu nao sio chini ya 5yrs mpka 10 yrs
Yes its 5yrs up to 10yrs kwasabab wengi magonjwa haya yame waandana wakiwa bording school mpka vyuo vikuu
Hatari iliyopo takwimu ya watu weny vimelea vya kansa vilivyo sababishwa na kuto kutib magonjwa k**a UTI,FUNGUS Na PID ni 75%
K**a unahitaj afya nzuri ya mifumo ya uzazi na kutokomeza aya magonjwa sugu ya UTI,FUNGUS NA PID karib tukuhudumie ushaur ni bure
16/12/2022
KUTOKWA na uchafu wenye harufu ya kisamaki ni moja ya magonjwa yanayoshambulia sehemu za siri za mwanamke na kusababisha atokwe na majimaji meupe au uchafu wenye harufu k**a ya samaki aliyeoza.
Pia ugonjwa huu huchanganya sana madaktari kwa kuwa unafanana na ugonjwa wa fangasi sehemu za siri za mwanamke pamoja na ugonjwa mwingine unaoitwa kitaalamu k**a Tricomonoassis.
NINI MAANA YA UGONJWA HUU?
Ni maambukizi ya vijidudu mbalimbali vinavyoshambulia sehemu za siri za mwanamke, vijidudu hivi kikawaida huishi sehemu za siri za mwanamke bila kumletea ugonjwa.
💥Kwa kawaida sehemu za siri kuna aina mbili za wadudu, moja ni wadudu wanaolinda wenye madhara wasiingie sehemu za siri, hawa huitwa wadudu wazuri.
💥Lakini wapo wadudu wanaoingia na kushambulia mwili ambao huitwa ni wadudu wabaya.
Wadudu wanaosababisha ugonjwa huu wa kisamaki huanza taratibu sana bila hata mwanamke kujijua na huendelea kukua na kushambulia sehemu za siri mpaka mama anakuja kugundua harufu baada ya kupita muda mrefu .
Kwa hiyo inatakiwa kuwa na mlingano (balance) kati ya wadudu wabaya na wazuri k**a wadudu wabaya watazidi nguvu wadudu wazuri, ugonjwa hujitokeza.
Vifuatazo ni vitu vinavyochangia maambukizi ya vijidudu.
💥Kuwa na uhusiano wa kimapenzi na zaidi ya mtu mmoja,
💥wavutaji wa sigara kuvuta kupita kiasi
💥na wale wanaojisafisha sehemu za siri kwa kutumia madawa makali k**a Strong Ditto.
Dalili kubwa ya ugonjwa huu wa kisamaki ni
💥kutokwa uchafu ambao unaweza kuwa majimaji au uchafu mzito mweupe au wa njano ambao una harufu ya kisamaki na mara nyingi harufu hii huwa kali baada ya kumaliza tendo la ndoa.
Utafiti unaonesha kuwa asilimia 50 ya wanawake huwa wamepata maambukizi..
Njoo upate suluhisho la kudumu nipigie or Whatsapp 0657228757
16/12/2022
Hivi unaanzaje kuvumilia hii Hali??imagine umependeza mwenyewe kumbe huko chini unatoka Uchafu wa namna hii..na upo hapo unauvumilia..Hali inazidi kubwa mbaya…Uke mkavu,hormone zinavurugika..Mirija inaziba…MWANAMKE JITUNZE PID INA MADHARA MAKUBWA SANAA..k**a umehangaika na huu ugonjwa kwa muda mrefu Bila suluhisho nitafute Nikupe Ushauri zaidi 📞0657228757
16/12/2022
UGOJWA WA 🅿🆔
Pelvic Inflammatory Disease
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili..
Dalili za PID
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
Ushauri na tiba
#0657228757
16/12/2022
Pid Ni maambukizi ya bacteria kwenye via vya uzazi.
K**a unatokwa na uchafu usio wa kawaida Ukeni
Wakati mwingine Uchafu unaweza ukawa na harufu au usiwe na Harufu
Matokeo yake ni kansa ya shingo ya kizazi
Suluhisho Ni kuanza dose mapema
Tupigie au watsap 0657228757
16/12/2022
Futa machozi inawezekana ata kwako pia ,hilo tatizo linatibika
Wasiliana nasi kwa tiba ya uhakika 0657228757
16/12/2022
Posted • Uchafu Wa hivi kwa Mwanamke,Hutokea kwenye TUNDU la UKE,Yaan VAGINA,ni sehemu tofaut KABISA,na kitundu cha MKOJO.
Unakuta mtu kaja hospital au INBOX,anasema Ninatoka uchafu Mweupe,nina washwa sana nina UTI sugu🤣🤣.
Kutoka Uchafu wa Hivyo yaweza kuwa FUNGUS,Bacterial vaginosis,PID au mchanganyiko wa mbili kati ya HIZO.
Kwa kumweleza tu Dr Rangi,harufu,hali ya kuwasha,anaweza Jua nini shida.
Je unasumbuliw sana na kutoka uchafu Usioacha?? Umetumia dawa za kudumbukiza na kuchoma sindano lakin shida haiachi??? Hii MATOKEO NI KANSA YAKIZAZI AU SARATANI YA KIZAZI..
Ebu nipigie Kwa ushauri na tiba
0657228757
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dodoma