mwanzi_tz

mwanzi_tz

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from mwanzi_tz, Health/Beauty, kilimahewa, Ilemera.

22/12/2024

NUKUU YA LEO

ishi uwezavyo kwenye maisha yako ila usisahau kuishi kwa amani,upendo na heshima kwenye jamii yako maana watakao beba jeneza lako ni wale usio wasalimia.

Fikila za mwanzi_tz

21/12/2024

NUKUU YA LEO
kwenye maisha yako hakikisha unapata watu sahihi ambao watakujali,watakuheshimu,watakupenda na kukulinda basi,haijalishi ni ndugu,jamaa ama rafiki
Kalamu ya mwanzi_tz

Photos from mwanzi_tz's post 10/12/2024

Sunsocer shule ipo kiloleli kontena mwanza,shule nzuri sana kwa malezi ya watoto wako

24/11/2024

Shule ya SUNSOCER COMMUNITY DAYCARE&PRIMARY SCHOOL itakuwa na GRADUATION siku ya tarehe 04.12.2024 pale katika ukumbi wa NAVIGERA maduka tisa karibu na mnadani hii itakuwa sherehe kubwa kwa ajili ya watoto wetu wanaotegemea kuanza darasa la Kwanza Mwakani. ASANTENI kwa kuiamini SUNSOCER COMMUNITY DAYCARE&PRIMARY SCHOOL iliyopo kiloleli kontena mwanza

19/11/2022

Kwahyo na nyie hao RUVU ni tawi lenu au ama nini.?punguzeni midomo midomo
Mpira n mchezo wa wazi YANGA akishinda kanunua Leo nyie mnashinda midomo pwaaa,acheni roho mbaya
HONGERA MTANI, Mimi si shabiki maandazi timu ikicheza vizuri na ikapata matokeo nasifia haijalishi n SIMBA au YANGA

09/06/2022

Tuishi maisha ambayo mwenyewe MUNGU katupangia maana kila siku tunapita ktk changamoto nying Ila skia uskate tamaa ishi kwenye pesa yako unayopata๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™ utayafrahia maisha yako punguza kuwa mtumwa kwa watu wasio ona samani yako
Be strong ๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช

25/01/2022

Uzao wangu nibariki baba๐Ÿ™๐Ÿ™

24/12/2021

Uzao wa kwanza wa mama yangu mzazi mwenyezi MUNGU akujalie miaka mingi

18/12/2021

Pull-up ma broh,kazi yetu n kusapot Kaz nzur wanazofanya vijana wenzetu kwa mahitaji yote ya sherehe muone mc abraham

29/11/2021

Hapa nilipo n kwa jitihada zang na ulinzi wake MUNGU pekee skuwahi fikilia tang zaman hadi Sasa nitategemea kitu toka kwa wazaz,ndugu na jamaa isipokuwa n marafiki nlioktana nao ukubwani,ndg pambana usione aibu kwa kazi ama kitu knachokfanya uonekane mtu mbele za watu.bt GOD KNOWS

@alikamwe
โค๏ธโค๏ธ

28/11/2021
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Ilemera?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Kilimahewa
Ilemera
33205