Wekeza kwenye AFYA

Wekeza kwenye AFYA

Share

we care for your health

Photos from Wekeza kwenye AFYA's post 22/10/2021

Rudisha heshima yako

08/09/2021

KWA NINI UTUMIE FOREVER SUPERGREENS

🦚Ina Vit C na E kwa wingi sana Ambazo ni very Strong Antioxidants (kuondoa free radicals damage)
🦚Inapunguza Acidity mwilini na Tumboni na kuongeza alkalinity ambayo ni muhimu sana kupambana na Magonjwa Mengi yasiyoambukizwa
🦚 Inaboresha kinga yako ya Mwili.
🦚Inaboresha Afya ya Mmeng'enyo wa Chakula(Constipation)
🦚Ina Magnesium kwa wingi sana ambayo Inatunza Afya ya Nevu za Fahamu na Kubalance Mood.
🦚 Inasaidia kuweka uwiano Mzuri wa Sukari Mwilini
🦚Inasaidia kuupa Mwili nguvu Zaidi
🦚 Inaboresha Afya na recovery ya Misuli ata kwa wanaofanya Mazoezi
🦚 Inasaidia wanaopata shida ya kulala vizuri ( insomnia) ana wenye Depression (Mawazo)🦚Inapunguza maumivu ya Muda Mrefu au yanayoambatana na hedhi .

NB ;Hivi ni Virutubisho kwa order yako na Maelekezo zaidi Call/watsap 0753872669

03/09/2021

Kwa wale wenye matatizo ya meno,ni nzuri inatibu,ni nzuri kwa watoto haina florida,umetengenezwa kwa asali na alovera

01/09/2021
28/08/2021

Anza safari yako ya Detox

28/08/2021

your health is an investment not expenses
invest in your health

Photos from Wekeza kwenye AFYA's post 25/08/2021

*ALOE HAND SOAP*
Ni sabuni ya maji yenye Aloe vera inayofaa kuoshea uso, mikono na kuongea.
Ninzuri sana kwa kuogeshea watoto kwakuwa haitoi machozi na hufanya ngozi ya mtoto iwe laini na yenye unyevu unofaa.
Husaidia matatizo ya ngozi k**a *pumu ya ngozi (eczema) Psoriasis, Dermatitis.*
Haiwashi inafaa sana kwa ngozi aina zote kwakuwa ina PH sawa na ngozi nahii husaidia kupenya kwenye ngozi na kutoa uchafu wote ulio jificha.
Ninzuri kuoshea sehemu za siri huzuia miwasho na harufu mbaya.
*KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA: 07
53872669

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Kariakoo?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam Kariakoo
Kariakoo