ELIMU YA AFYA Dr.WADEYA
Mtalaam wa afya na tiba Asijili
27/08/2023
😭 MADHARA YA KUTOA MIMBA.
By Dr.Wadeya
♂️ Kutoa mimba ni nini? Hii ni hali ya mwanamke kwa hiari yake mwenyewe kuharibu mimba iliyoingia ndani ya kizazi chake.
Hebu tuyaangalie madhara ya kutoa mimba k**a ifuatavyo…
1️⃣Ugumba kwa wanawake wengi:
Miaka hii ya karibuni wanawake wengi ambao wanalia kutopata watoto wana historia za kutoa mimba miaka iliyopita, na wengi wao nao wanajuta sana kwa maamuzi yao. Hii inatokana na madhara makubwa waliyoyapata kwenye mfuko wa uzazi baada ya mimba kutoka.
2️⃣Mimba kutunga nje ya kizazi:
Mfuko wa uzazi una utando maalumu amaboa hufanya mimba iliyotungwa kwenye mirija iitwayo fallopian kuwezesha yai kushuka hadi kwenye mifuko ya uzazi. Lakini utoaji wa mimba huambatana na magonjwa ya mirija hiyo na kupoteza utando huo na kusababisha mimba kukulia huko.matibabu ya tatizo hili ni kukata mrija husika tu hivyo kuongeza hatari ya ugumba.
3️⃣Kuzaa watoto wasio na akili nzuri:
Utoaji wa mimba kuharibu mlango wa mfuko wa uzazi kushindwa kushika vizuri na matokeo yake mwanamke huyu hujikuta akizaa kabla ya mda husika akibeba mimba nyingine. Lakini pia watoto hawa wanaozaliwa kabla ya muda maalumu na viungo ambavyo havijakomaa hupata shida ya ubongo na kua wagonjwa wa akili maisha yao yote.
4️⃣kansa ya mlango wa uzazi.
Wanawake wanaotoa mimba wana hatari kubwa ya kupata kansa ya mlango wa uzazi kuliko wengine ambao hawajatoa mimba. Hii ni kwasababu ya kusumbuliwa kwa mlango huo kwa dawa za kutoa mimba, vifaa vya kutoa mimba na mabadiliko ya ghafla ya homoni za uzazi.
5️⃣Kuathirika kisaikolojia;
Hakuna mwanamke ambaye hatakaa ajutie maamuzi yake ya kutoa mimba siku za usoni hata k**a hakupata madhara yeyote hii itamfanya aishi k**a ana deni Fulani maisha yake yote na itakua inamuumiza usiku na mchana. Zingine ni kukosa hamu ya kula, kusikia sauti ya mtoto anayelia wakati hayupo,
👉 NB: kumbuka kila mwaka wanawake takribani 70000 duniani wanakufa kwa kutoa mimba.
😭 maumivu ya kukosa mtoto ni makali sana kuliko aibu ya kutoa mimba.
Wasiliana na MTALAAM WA Afya usaidiwe+255759685609
Je mwanao anakula vizuri ,Kuna virutubisho vinavyompa mtoto hamu ya kula ,na lishe Bora Kwa ushauri zaidi na Nini ukifanye tuwailiane +255685685609 au pigs simu
20/12/2022
*🔥CHANGO LA UZAZI KWA MWANAMKE* 👉🏾ni maumivu makali ya tumbo na kushindwa kupata ujauzito, au mimba kuharibika kila zinapoingia.
Zipo aina nyingi za chango ambazo zinaweza kujitokeza kila moja peke yake au zikajikusanya na kujitokeza kwa pamoja, mkusanyiko huu ndiyo unaitwa Ovulation Disorder (O.D).
*CHANZO CHA TATIZO*
Matatizo ya chango la uzazi, inatokana na vifuko vya mayai ya uzazi (ovaries) kutokuwa na uwezo wa kuzalisha mayai na kufanya yakue kwa wakati muafaka. Mwanamke mwenye matatizo haya hushindwa kuwa na siku za hatari za kunasa ujauzito na k**a zipo basi huwa hazina mpangilio unaoeleweka.
*DALILI ZA CHANGO LA UZAZI*
👉kupata maumivu makali wakati anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi,
👉kuhisi maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa,
👉kujisikia homa kali anapokaribia siku zake za hedhi pamoja na kujisikia uchovu mkubwa anapokaribia siku zake za hedhi
👉kurugika kwa mzunguko wa hedhi ni dalili nyingine ambapo mwanamke anaweza kuwa na mzunguko mrefu wa hedhi wa takriban siku 35,
👉kubadilikabadilika kwa siku za hedhi au kuwa na mzunguko mfupi wa hedhi chini ya siku 21
👉mwanamke kuwa na hasira kali anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi,
👉kupata michubuko kwenye sehemu zake za uke,
👉kuchukia kushiriki tendo la ndoa,
👉kupata uvimbe kwenye kizazi na mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi.
*MADHARA YA CHANGO LA UZAZI KWA MWANAMKE*
Yapo madhara mengi kwa mwanamke mwenye tatizo hili lakini kubwa, huwa ni vigumu kupata ujauzito na hata pale anaponasa ujauzito, huharibika na kutoka kwa rahisi na kushindwa kufurahia tendo la ndoa ambapo huwa vigumu sana kwa mwanamke mwenye tatizo hili kufika kileleni wakati wa tendo.
Kwa Tiba sahihi salama na ya kuaminika Tuwasiliane.
*🐰 Whatsapp+255685685609 au piga simu 0693654485
*KUPONA KABISA TATIZO LA CHANGO NI WEWE TU KUAMUA LEO KUTUMIA HUDUMA ZETU KWA MATIBABU ZILIZOTHIBITISHWA KISHERIA*
🍃🍃🍃🍃🍃🍃🍃🍃
20/12/2022
Njia Rahisi Ya Kutokomeza Harufu Mbaya Ukeni Ndani Ya Kipindi Kifupi.
Hakuna kitu kinakera kwa wanawake k**a kutokwa na harufu Mbaya ukeni
Tatizo hili limewafanya wanawake wengi kushindwa hata kujumuika na wenzao kwenye masherehe, harusini na hata misibani.
Mbaya Zaidi limewaondolea hari ya kujiamini kwa wenzao na kujiona k**a ni wanawake wasiokamilika.
Cha kusikitisha zaidi endapo tatizo hili litaambatana na uchafu kutoka ukeni, wengi wanashindwa kufurahia tendo la ndoa na hata kuhatarisha usalama wa mahusiano yao.
Kubwa Zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suruhu ya kudumu bila mafanikio.
Wengine wamekuwa wakipata tiba ya antibiotics hospitalini inayoua hata bakteria walinzi wanaolinda uke na ndomana baada ya Muda mfupi tatizo hujirudia tena.
K**a na wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo
Basi Nina habari Nzuri kwako.
Nimekuandalia Video Maalum itakayokuonyesha njia rahisi na salama hatua kwa hatua jinsi ya kutokomeza tatizo hili kwa kipindi kifupi tu, hata k**a ushahangaika kwa muda mrefu bila mafanikio.
Na hii Video Nitakutumia kwenye WhatsApp yako.
Ili kupata video hii Sasahivi kwa urahisi save hii namba (0685685609) kwenye simu yako kisha tuma ujumbe WhatsApp (Video) na utatumiwa video yote Bila gharama yeyote.
P.S Tangazo hili halitokuwepo hewani Muda wote, Ili upate njia rahisi na salama ya kutokomeza tatizo la harufu ukeni Sasahivi Save namba hii +255685685609 kwenye simu yako Kisha tuma ujumbe WhatsApp (Video) na utatumiwa video mala moja.!
Au Piga simu 0693654485
20/12/2022
Welcome
20/12/2022
_*DR COW SMART GUMMIES*_ Ni kirutubisho kilichotengenezwa katika mfumo wa p**i ndani yake kina mafuta ya SAMAKI, MAZIWA, MATUNDA YENYE MCHANGANYIKO WA VITAMINI C, kwa matumizi ya watoto na watuwazima.KAZI ZAKE:
▶️ Inaongeza hamu ya kula.
▶️ Husaidia ukuaji wa ubongo na mfumo wa fahamu kwa watoto.
▶️ Husaidia watoto wenye matatizo ya macho, kwani ina Vitamic C kwa wingi ndani yake.
▶️Husaidia kuondoa matatizo ya gesi tumboni na kupata choo kigumu
▶️ Huongeza kumbukumbu hasa kwa watoto walioko mashuleni.
▶️ Humsaidia mama mjamzito kukuza vizuri kiumbe tumboni kutoka a na madini ya chuma yaliyomo ndani yake. USISAHAU KUA HII NDIO TIBA PEKEE PIA YA WATOTO VIKOJOZI PIA WATU WAZIMA WANAOJIKOJOLEAKWA USHAURI KARIBU INBOX +255685685609
CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;
Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
Kuvuta sigala na unywaji wa pombe
Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
Kisukari
Kuwa na mawazo na wasiwasi
Matumizi ya madawa mbalimbali
Umri hasa wazee
Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
Kuwa na tatizo la kibofu
Tabia za kujichua kwa mda mrefu
Kutopata usingizi kamili
Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni k**a;
Kuwahi kufika kileleni
Kukosa hamu ya mapenzi
Kushindwa kurudia tendo la ndoa
Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji
JINSI YA KUEPUKANA NA KUPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME
Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku
Kula vyakula asilia na usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
Tibu magonjwa yako yanayokuweka hatarini k**a kisukari, moyo, punguza unene na mengine
Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol) au mafuta yaliyozidi
Balansi usito wako
Usivute sigara
Punguza au acha kunywa pombe
Punguza mawazo
Kula vizuri vyakula bora
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Kinondoni