Boresha Nguvu za Kiume Hapa
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Boresha Nguvu za Kiume Hapa, Health/Beauty, Iyela 2, Mbeya.
Ukurasa (page) huu ni mahusus kwaajir ya kusaidiana na kutibu matatizo yote ya nguvu za kiume na tezi dume kwa kutoa ushaur na tiba kamili, karibu Sana ikiwa unachangamoto yoyote ya nguvu za kiume
19/03/2022
AFYA YA Mwanaume Medical & health
24/09/2021
*TEZI DUME SIO BUSHA,,ZIJUE DALILI ZA TEZI DUME,,*
Nini sababu za kutokea kwa tezi duma?
tezi hii hukuwa kadiri mtu anavyokuwa. Kwa baadhi ya watu inapokuwa huwa kubwa kiasi cha kuanza kuminya mirija ya mkojo na kuleta shida kwenye mfumo wa mkojo. Tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa miongoni mwa mambo yanayohatarisha uwezekano wa kupata ugonjwa huu ni haya yafuatayo:-
*1.Umri* , kikawaida tezi dume huwapata watu wenye umri kuanzia miaka 40. ni mara chache sana kuwapata walio chini ya umri huo. Pia tezi dume kwa kiasi kikubwa huwapata walio kati ya miaka sitini na kuendelea. Hususan robo tatu ni wale walio na miaka kuanzia 60,na nusu yao ni wale walio na miaka kuanzia 80.
2. *Tatizo la tezi dume pia huweza kurithiwa.* Yaani k**a baba yako ana tezi dume ama yeyote katika damu yako hapo mwanzo alikuwa na tezi dume, hivyo upo uwezekana na wewe kurithi tatizo hili.
*3.Pia inaonakana kuwa baadhi ya rangi huathiriwa sana na tatizo la tezi dume* . Tafiti zinaonesha kuwa watu walio katika bara la Asia si sana kupatwa na tezi dume kuliko watu weusi na wazungu. Hata hivyo kwa watu weusi upo uwezekano wa kupatwa na tatizo hili katika umri mdogo kuliko wengine.
*4.Maradhi,* tafiti zinaonyesha kuwa kuna baadhi ya maradhi huweza kupelekea kupatwa na tatizo la tezi dume. Kwa mfano watu wenye maradhi ya sukari, na maradhi ya moyo wapo hatarini kupatwa na tezi dume ukilinganisha na watu wengine.
*5.Staili za maisha* . Tafiti pia zinaonyesha kuwa watu wenye kiribatumbo na wasiofanya mazoei wapo hatarini kupatwa na tatizo la tezi dume.
*Ni zipi dalili za ugonjwa wa tezi dume?*
Dalili za tezi dume zinaweza kuwa kali ama hafifu kutoka mtu hadi mtu. Ukali wa dalili hizi hautegemei ukubwa wa tezi. Inaweza kuwa tezi ni kubwa lakini dalili zisiwe kali. Miongoni mwa *dalili za tezi dume ni:-*
1.Kukojoa mara kwa mara, ama kuhisi kukojoa mara kwa mara
2.Kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku
3.Kupatwa na uzgumu kutoa mkojo
4.Mchirizi wa mkojo kuwa dhaifu
5.Mkojo kukatakata unapofika karibu a mwisho
6.Kujichafua wakati wa kukojoa
7.Kushindwa kumaliza mkojo kabisa.
8.Damu kwenye mkojo
9.Kushindwa kukojoa kabisa.
10.Kupata mkojo mchache sana
Kuwa na dalili tajwa hapo juu pekee hakuwezi kukupa uhakika kuwa una tatizo la tezi dume. Kwani dalili tajwa hapo juu zinaweza *kuambatananna shida nyingine za kiafya kwa* mfano:-
1.Maambukizi ya UTI
2.Kuvimba kwa tezi
3.Kupunguwa ukubwa wa mrija wa mkojo
4.Kuwepo na vijiwe kwenye kibofu
5.Kuwa na shida kwenye mfumo wa neva ambazo hudhibiti ufanyaji kazi wa kibofu
6.Kuwa na saratani
7.Kama upasuaji katika kibofu haukufanyika sawa.
*Ni zipi athari za tezi dume k**a haitawahi kutibiwa?*
Tezi dume ni k**a maradhi mengine, inatibika bila wasi. Hata hivyo endapo matibabu yatachelewa athari zifuatazo zinaweza kupatikana:-
1.Kushindwa kabisa kukojoa
2.Kupatwa na maambukizi ya UTI
3.Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu
4.Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea
5.Figo inaweza kuharibika
KARIBU KWA SWALI NA USHAURI,,,
18/09/2021
Ni muhimu kutambua na kuthamini ndoa yako katika maisha.
Kuna mambo yanaweza kukufanya ukakosa amani na furaha ndani ya ndoa yako.
Mojawapo Ni kukosa mtoto hii inatokana na kushindwa kuzalisha mbegu Bora za kiume
Jambo lingine Ni kushindwa kumridhisha mwenzi wako kwa kukosa hamu ya tendo la ndoa, au unawahi kufika kileleni na kushindwa kuhimili tendo kabsa.
Hii inapelekea kupata fedheha na kufanya ndoa nyingi kuvunjika
Baadhi ya mambo hayo husababishwa na kujichua kwa mda mrefu au kutumia dawa za kuongeza maumbile ya kiume.
Sasa ili kujenga familia yenye furaha Ni Bora tukatambua kuwa Kuna virutubisho asilia ambavyo ukivitumia vitakusaidia kuondoa changamoto zote zinazohusiana na afya ya uzazi.
Virutubisho hivyo Ni pamoja na ARGI+, Multimaca na Aloe vera gelly.
Aidha unawahi kufika kileleni, unakosaje hamu ya tendo la ndoa, au uume umeregea na mengineyo.
Tumia dawa hizo zitakusaidia Sana
+2556297962 Watsapp
12/09/2021
MATATIZO YA TEZI DUME, MIGUU KUWAKA MOTO, JOINTS, VIUNO
Je, Uko Tayari Kuungana Na Sisi Tuwasaidie Wazee Wetu..?
Tunatambua adha mbali mbali wanazokumbana nazo Wazee,hususani kuhusiana na Afya zao..
Wazee wetu, wamekuwa wakikabiliwa na wakati mgumu sana sana pindi wanapo ingia kwenye umri wa utu uzima kuanzia miaka 40+++
Wazee wetu wanapofikia umri huo wa utu uzima huwa kwenye hatari ya kukumbwa na magonjwa k**a;
-Saratani Ya Tezi Dume...
-Matatizo Viungo(Jionts),sambamba na miguu au mwili kuwaka moto, Kwa akina Mama na Wababa..
-Matatizo Ya Mifumo Mbali Mbali Mwilini, Mfumo Wa Upuaji Na Mfumo Wa Fahamu, ikiwemo kupooza kwa viungo vya Mwili...
-Mfumo Wa Mzunguko Wa Damu, Vikiambatana Na Matatizo Sugu Ya Moyo,Figo Na Kibofu Cha Mkojo.. Nk.
-Kuvurugika Kwa Mfumo Wa Ulaji(Mmeng'enyo Wa Chakula)..
Matatizo yote hayo nirahisi kukomeshwa Ikiwa mimi na wewe mapenzi na mfuatiliaji wa AfyanjemaTz tukiwa tayari kuhakikisha kuwa wazee wetu wanapata:
Chakula Bora
Wana Kunywa Maji Yakutosha
Wanafanya Mazoezi Kwa Kiasi..
Vile Vile,Kuwaonesha Fursa Ya Kutumia Virutubisho Kuajili Ya Kuimalisha Afya Zao Zaidi..
Tunaamini umezungukwa na ndugu na Jamaa, majirani na marafiki..
Sasa niwakati wako kuonesha kuwa unajali, hata kwa kuwapa taarifa ama kuwashauli chochote kutokana na mafundisho yetu ili kuokoa Afya za Wazee Wetu...
Kwa Msaada Na Ushauli Zaidi Wasiliana Nasi.
Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda
Whatsapp 0629796254 au piga simu usaidiwe mapema.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mbeya