Afya na Lishe
NAWASAIDIA WATU KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIAFYA NA MFUMO WA CHAKULA KWA KUTUMIA TIBALISHE
31/07/2023
Unaweza kujiuliza Kuna mara unakula mara 3 kwa siku na kwanini hupati choo kikubwa ? ....yapo madhara mengi unaweza kuyapata k**a hutapata choo kwa sababu Kila unachokula kinachakatwa na kuchuja uchafu na sumu sasa jiulize hayo mabaki Huwa yanakwenda wapi ?
Ukiacha kwa Muda mrefu matokeo yake ni BAWASIRI,NI SARATANI AIDHA YA UTUMBO AU YA NJIA YA HAJA KUBWA ,
na Huwa na mateso makubwa sana kabla hatujafikia huko
AFYA CLINIC Tunatoa vipimo vya afya kwa mwili mzima kwa gharama nafuu sana ya shs 20,000 tu kujua chanzo Cha tatizo
Na TIBA INATOLEWA Kwa kile kitakutwa ni Changamoto
21/07/2023
UJUE UGONJWA WA BAWASIRI
Ugonjwa wa bawasili ni ugonjwa ambao waathirika wengi hupata aibu kuuzungumzia kutokana na mahala ugonjwa huo ulipo. Lakini kuna msemo usemao mfinya maradhi mauti humuumbua. Huu ni ugonjwa k**a yalivyo magonjwa mengine, unahitaji kutibiwa kwa haraka kabla haujaleta madhara makubwa kiafya.
NINI KINASABABISHA BAWASILI?
√Miongoni mwa visababishi vya bawasir ni;
√Tatizo sugu la kuharisha
√Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu
√Uzito kupita kiasi (OBERSITY)
√Ngono ya njia ya haja kubwa (A**L S*X)
√Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika tumbo.
√Kukaa muda mrefu bila kwenda haha kubwa
DALILI ZA BAWASIRI
√Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa myujisaidia
√Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
√Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
√Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
√Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
√Bawasiri kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
TIBA YA BAWASIRI
Suluhisho pekee la kudumu ni maisha ya afya. Watu wengine wanaweza kuwa na bawasiri ya mara kwa mara hata baada ya upasuaji. Kwa hivyo tu ikiwa tunafuata maisha ya afya na lishe, tunaweza kujikinga na athari k**a kwa tibalishe na kupona tatizo lako
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Mbeya