Ah care

Ah care

Share

Whatsapp: +255746248819.

Mtaalamu wa Afya ya Uzazi (Wanawake & Wanaume)
🔹 UTI sugu
🔹 PID
🔹 Fangasi ukeni
🔹 Maumivu ya tumbo la uzazi
🔹 Kuvurugika kwa homoni
🔹 Changamoto za mbegu & nguvu za kiume
✨ Afya yako ni kipaumbele—anza safari ya kupona leo!

28/07/2026

U

28/07/2026

#

28/07/2026

Pole sana. Maumivu ya kiuno wakati wa ujauzito wa miezi 5 ni ya kawaida kwa wanawake wengi, lakini yakizidi kiasi na kukuzuia kulala au kufanya kazi yanahitaji kupimwa.

Sababu zinazoweza kusababisha ni pamoja na:

Kuongezeka kwa uzito wa mimba na mabadiliko ya mkao wa mwili.

Kulegea kwa mishipa na viungo kutokana na homoni za ujauzito.

Uchovu au kusimama/kukaa kwa muda mrefu.
Wakati mwingine yanaweza kuhusiana na maambukizi ya njia ya mkojo au matatizo mengine ya ujauzito Nipgie hark 746248819 n.

28/07/2026

26/07/2026

AfyaYaUzazi .

26/07/2026

Uzazi

24/07/2026

Baadhi ya sababu kuu ni:*

Umri mkubwa wa kuanza kutafuta mtoto
Uwezo wa mwanamke kushika mimba hupungua kadiri umri unavyoongezeka, hasa baada ya miaka 35.

PCOS (Polycystic O***y Syndrome)
Husababisha mzunguko wa hedhi kutokuwa wa kawaida na kuathiri utolewaji wa mayai.

Magonjwa ya mfumo wa uzazi
K**a vile fibroids, endometriosis, na kuziba kwa mirija ya uzazi.

Maambukizi ya muda mrefu
Magonjwa ya zinaa k**a klamidia na kisonono yanaweza kuharibu mirija ya uzazi ikiwa hayatatibiwa mapema.

Mabadiliko ya homoni
Matatizo ya tezi (thyroid), prolactin kuwa juu, au matatizo mengine ya homoni.
*Kwa msaada wa tiba mbadala wasiliana na mtaalamu wetu kwa *255746248819 #

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address

Kabwe
Mbeya