Afya kwanza

Afya kwanza

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya kwanza, Health/Beauty, Kyela, Mbeya.

Photos from Afya kwanza's post 27/05/2024

NIAMBIE K**A HUYU NI WEWE?

1.✍️ Unawahi kufika kileleni mapema. Chini ya dakika saba.

2.✍️Unashindwa kurudia tendo kwa mara ya pili au zaidi.

3✍️.Uume Unashindwa kusimama au unasimama ukiwa legelege kwa mara ya pili au zaidi

4.✍️Unashindwa kumpa mwanamke mimba Kutokana na uchache au udhaifu wa mbegu (shahawa)

5.✍️Unapata maumivu kwenye korodani au misuli ya UUME baada ya tendo

6.✍️Unakosa hamu ya kufanya mapenzi au hamu ya kurudia tendo baada ya kufanya kwa mara ya kwanza

7. Umeathirika na Punyeto ulizopiga zamani au Sasa na uume umekosa Nguvu.

8. Una magonjwa mengine nyemelezi yanakusumbua k**a vile pressure, kisukari, Tb, ini, Nk?

8.Umetumia Dawa nyingi na virutubisho lakini hujapata matokeo, umekosa Uaminifu kwenye dawa.

Tutakusaidia.

Wasiliana nasi Sasa tukupatie Tiba uweze Kumudu tendo. Tiba zetu ni asili na zinatoa matokeo haraka na kutibu tatizo kabisa. Tuambie tatizo lako tukusaidie utapona kabisaaa.

Tuwasiliane kwa namba;

Piga/ Whatsapp
0652 903 312

11/05/2024

PID NI NINI?

......ni maambukizi katika via vya uzazi kwa mwanamke....

👉Maumivu makali chini ya tumbo wakati wa hedhi au kabla
👉Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
👉Kukosa hamu ya tendo la ndoa
👉Kutokwa uchafu mweupe au wa rangi ukeni na harufu mbaya
👉Kukosa mtoto kwa muda mrefu
👉Kutoka hedhi yenye harufu kali na mabonge.
👉Kupata homa za mara kwa mara. PID inatibika na kuisha kabisa ,

ni ✍️pamoja na kukosa mtoto kabisa,
✍️Uwezekano wa kupata kansa ya shingo ya kizazi .
✍️ Uvimbe kwenye kizazi
Mirija ya uzazi kuziba
✍️Matatizo ya homoni Imbalance
✍️ mimba kuharibika mara kwa mara


🔂kukaa na UTI muda mrefu bila kuitibu kikamilifu na kuisha,
🔂Fungus za ukeni zisizoisha
🔂magonjwa ya zinaa
🔂Kutumia vitu vyenye kemikali ukeni , usipate stress na PID inatibika

FAIDA ZA KUTUMIA PACKAGE YETU YA UZAZI

➡️husafisha mirija ya uzazi na kuondosha maji machafu
➡️ Husaidia Kubalance homoni
➡️ Husaidia mimba isitoke
➡️ Kupata Ute wa ovulation
➡️ Kutibu changamoto za PID na fangas sugu
➡️ Kutibu matitizo ya hedhi
➡️ Kutoshika ujauzito
➡️ Kurudisha hamu ya tendo la ndoa
➡️ Huweka hormone sawa zilizo vurugika kutokana kutumia njia za uzazi wa mpango .

KWA USHAURI PIGA/TEXT WHATSAPP....+255652903312

10/05/2024

TATIZO LA MIGUU KUVIMBA NA KUWAKA MOTO 🔥

Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto Na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono.

Tatizo hilo kitaalamu hujulikana k**a Peripheral Neuropathy.
Matatizo haya kiafya miguu au mikono kuhisi ganzi,baridi au maumivu husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguu au mikono) na hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguu au mikono.

Dalili zinazoambatana na ugonjwa huu ni hizi zifuatazo:-
01. Mtu kuhisi ganzi

02. Kushindwa kushuka au kunyanyua kitu, kuchoka kwa misuli, n.k

03. Maumivu au kuwaka moto maeneo ya miguu/mikono.

Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi ni vizuri nazo ukajua.

1. Kupungua kwa virutubisho miwilini, hasa mkusanyiko wa vitamini B, (Vitamin B Complex)

2. Matumiz ya dawa, mfano dawa za kutibu kifua kikuu, au dawa za kupambana na virusi vya ukimwi (HIV)

3. Uzito mkubwa wa mwili

4. Ugonjwa wa kisukari (diabetes poly neuropathy)

5. Shinikizo la damu (pressure)

K**a unasumbuliwa na Hili tatizo kwa muda sasa wasiliana na mm kwa namba zifuatazo
0652903312/WHATSAPP

10/05/2024

MAGONJWA YA MENO – Aina, Chanzo, Dalili & Tiba

UTANGULIZI – YAJUE MATATIZO YA MENO

Matatizo ya meno ni shida au magonjwa yanayohusiana na meno, karibia matatizo yote ya meno yanatokea baada ya bakteria na wadudu wengine kuwepo mdomoni, hii hufanya mtu kuwa na maumivu makali kwenye meno na mpaka kupelekea kutoa damu au halufu mbaya na kuathiri meno. Matatizo mengi ya meno yanazuirika na hutibika.

Katika maeneo mengi watu wengi wanatatizo la meno ila wanatofautiana wengine wanatatizo dogo wengine pia wanatatizo kubwa, tunawasauri watu wawe na tabia ya kuchunguza meno yao ili kujilinda na matatizo ya meno, tibu tatizo mapema ili usikuze tatizo, usipotubu tatizo basi meno uendelea kuaibika na mtu anaweza kuwa kibogoyo.

AINA ZA MAGONJWA YA MENO

Mdomo una magonjwa mengi ila meno ndio tatizo kubwa sana na ndio linaweza kuleta na matatizo mengine, aina za magonjwa ni k**a;

Meno kutoboka – Hili ni tatizo linalotokea kwenye meno kwa kuwepo kwa bakteria kwenye meno na kuharibu meno, bakteria hao wanaweza kutokana na kuwepo kwa mabaki ya vyakula hasa vyenye sukari nyingi. Mabaki yasipoondolewa bakteria huzalisha acidi ambayo ndio huharibu meno na kutengeneza vijitobo.

Meno kuvunjika – Hili ni tatizo ambalo huwatokea watu wakionekana meno yao kuna baadhi na vipande kutoonekana, jino laweza kuwa nusu au robo tatu, mara nyingi hili sio tatizo hatari halina madhara makubwa kwakuwa haliathiri fizi ila linaweza kumnyima mtu uhuru wa kucheka na pia ulimi ukigusa unahisi k**a ni kitu chenye ncha.

Meno kusagika au kupungua kimo – Hili tatizo hutokea ukiwa umelala, hata mchana ukiwa na mawazo, hasira au hisia ambapo meno hugusana na kusagana. Meno huweza kupungua kimo na kuisha hii hutokea kwa mda mrefu kidogo, meno yakisagika na kupunguwa kimo husababisha maumivu ya meno na kubadilika rangi

Tatizo la fizi – Hili ni tatizo katika fizi kuna kuwa na maumivu, k**a vidonda au kutokwa damu, kuwa na usaa au uchafu. Mara nyingi hutokana na bakteria wanaokuwa kwenye mabaki ya chakula usipoyaondoa bakteria wanaanza kuvamia fisi na kuziharibu. Mtu mwenye hili tatizo hutoa harufu mbaya.

Meno kuharibika, fizi kuachia na kulegea – Hili tatizo ni pale meno yanapoonekana sio ya kawaida; yaani yanakuwa yamebadilika rangi, fizi kuharibika, fizi kupungua, fizi kutoka damu na meno kulegea. Hili ni tatizo ambalo laweza kuwa kubwa na kutotibika.

Meno kufa ganzi na kushindwa kuhisi – Hili ni tatizo huwakuta wengi katika mazingira ya baridi sana au joto sana, pia wakila baadhi ya vyakula vyenye uchachu, vyenye sukari na vingine. Tatizo hili ni dalili za kuharibika kwa jino ndani au nje
Harufu mbaya na kupumua vibaya – Hili tatizo hutokea kwa mtu kutoa harufu mbaya mdomoni ambayo huwakela watu wengi, hii hutokea pale anavyokuwa na mabaki ya vyakula kwenye mdomo, kutofanyia usafi meno na mdomo pia, kuwa na tatizo la meno au mdomo.
Mhozo au Utando mdomoni – Hili ni tatizo ambalo mdomoni huwa na weupeweupe usioeleweka k**a ute, mara nyingi huwatotea watu wasio na kinga imara hasa wenye matatizo ya kiafya k**a kisukari, UKIMWI, Kansa (Saratani), Asthma. Hii hali huondolewa na dawa.
Meno kuwa na rangi ya njano, kaki au kahawia – Hili tatizo limeonekana kuchukua baadhi ya maeneo, ambapo idadi kubwa ya watu wameonekana wakiwa na meno yenye rangi inayoendana. Hii ni kwasababu ya vyakula na maji ya kunywa yanayopatikana maeneo hayo kuwa na uwingi wa aina flani ya madini hasa Fluoride.

CHANZO CHA MAGONJWA YA MENO

Chanzo cha magonjwa ya meno kwa asilimia kubwa ni mitindo ya maisha tukimaanisha usafi, ulaji, mazingira na tabia mbalimbali, mambo yanayoweza kukusababishia kupata matatizo ya meno ni k**a;

Kuto kusafisha mdomo pamoja na meno
Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
Kuto kupata tiba ya kisukari na ugonjwa wa moyo
Kuvuta sigala
Kuwa na magonjwa yanayopunguza kinga ikiwemo na UKIMWI
Kubadilika kwa baadhi ya homoni
Umri
Utumiaji wa madawa yenye kemikali nyingi huharibu mfumo wa vimiminika vinavyofanya mmeng’enyo
Historia magonjwa yanayoambatana na meno katika familia
Mazingira
DALILI ZA MTU MWENYE TATIZO LA MENO

Mara nyingi dalili hujionesha wazi wengi hujijua kuwa tayari wanatatizo na mara nyingi huwa haiitajiki vipimo, zaidi huhitajika uchunguzi kujua chanzo, dalili zake ni k**a

Meno kuuma wakati wa kula au mda wa baridi au joto
Kutokwa na damu kwenye fizi
Meno kuanza kulegea na kuachana na fizi
Kutoa harufu mbaya mdomoni, hii huonesha kuna tatizo
Meno kubadirika rangi mfano nyeusi, njano, kahawia na rangi zingine zisizo za kawaida
Fizi huwa nyekundu k**a damu ikiwezekana kuna na vidonda
Mdomo kuwa mkavu
Meno kufa ganzi
Meno kuchomoka au kutikisika
JINSI YA KUEPUKA MAGONJWA YA MENO

Ondoa mabaki ya chakula kwa kusukutua mdomoni na maji baada ya kutoka kula pia Kunywa maji mengi dakika 30 baada ya kutoka kula
Safisha meno yako hata mara mbili kwa siku
Punguza mawazo
Usivute sigara
Punguza au acha kunywa pombe
Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali, vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
TIBA YA MATATIZO YA MENO

Matatizo ya meno linatibika kufuatana na mda wa tatizo, mara nyingi wagonjwa wamekuwa wakizalau dalili za tatizo la meno na kudhani kuwa hakuna madhara makubwa.

Tuna dawa ya kutibu Meno ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa. Dawa hiyo hutibu kwa mda kulingana na mda wa tatizo, tatizo halirudi tena maana huondoa chanzo pamoja na ugonjwa sio kituliza maumivu, ukianza kutumia ndani ya wiki moja huanza kutibu na huonesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa autumie kwasababu kuna mtindo wa maisha unaendelea kuongeza tatizo pia kuna mtindo unapunguza hatari ya ugonjwa.

Tunamshukru Mungu kwa uumbaji wake na kutupa dawa ambazo alizileta ili kutuimarisha na kutuponya, Mungu hakuumba dawa nyingine zaidi ya mimea na vitu vingine vya asili, japo wengi hudharau. Mungu tunaomba utuokoe na kutuponya.

10/05/2024

NIAMBIE K**A HUYU NI WEWE?

1.✍️ Unawahi kufika kileleni mapema. Chini ya dakika saba.

2.✍️Unashindwa kurudia tendo kwa mara ya pili au zaidi.

3✍️.Uume Unashindwa kusimama au unasimama ukiwa legelege kwa mara ya pili au zaidi

4.✍️Unashindwa kumpa mwanamke mimba Kutokana na uchache au udhaifu wa mbegu (shahawa)

5.✍️Unapata maumivu kwenye korodani au misuli ya UUME baada ya tendo

6.✍️Unakosa hamu ya kufanya mapenzi au hamu ya kurudia tendo baada ya kufanya kwa mara ya kwanza

7. Umeathirika na Punyeto ulizopiga zamani au Sasa na uume umekosa Nguvu.

8. Una magonjwa mengine nyemelezi yanakusumbua k**a vile pressure, kisukari, Tb, ini, Nk?

8.Umetumia Dawa nyingi na virutubisho lakini hujapata matokeo, umekosa Uaminifu kwenye dawa.

Tutakusaidia.

Wasiliana nasi Sasa tukupatie Tiba uweze Kumudu tendo. Tiba zetu ni asili na zinatoa matokeo haraka na kutibu tatizo kabisa. Tuambie tatizo lako tukusaidie utapona kabisaaa.

Tuwasiliane kwa namba;

0652903312/WHATSAPP

10/05/2024

𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗨𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜 (𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗡𝗔 𝗡𝗝𝗘) 👇

𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜 (𝗛𝗘𝗠𝗢𝗥𝗥𝗛𝗢𝗜𝗗𝗦/𝗣𝗜𝗟𝗘)
👉 Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

𝗖𝗛𝗔𝗡𝗭𝗢 𝗖𝗛𝗔 𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜
(𝗛𝗘𝗠𝗢𝗥𝗥𝗛𝗢𝗜𝗗𝗦)
✓ Tabia ya kukaa sehemu moja kwa muda mrefu mfano (Madereva/Mafundi kushona)
✓ Tatizo sugu la kuharisha
✓ Ujauzito
✓ Uzito wa mwili kupita kiasi
✓ Kufanya ngono Kinyume na Maumbile (kulawitiwa)
✓ Kupata Choo Kigumu
✓ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
✓ Kunywa pombe
✓ Kula sana nyama nyekundu
✓ Vidonda vya tumbo (Ulcers)
✓ Ngiri (Chango/Hernia)
✓ Kula sana pilipili
✓ Kunyanyua vitu vizito

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜
(𝗛𝗘𝗠𝗢𝗥𝗥𝗛𝗢𝗜𝗗𝗦)
✍️ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
✍️ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
✍️ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu La Haja kubwa
✍️ Kupata kinyesi chenye damu
✍️ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
✍️ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
✍️ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kus
KWA MSAADA PIGA AU NJOO
WHATSAPP 0652903312.

10/05/2024
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Kyela
Mbeya