madaktari mifugo
MADAKTARI BINGWA WA MIFUGO.
Group hili ni special kwa ajili ya huduma ya moja kwa moja kwa wafugaji wa wanyama mbalimbali ,ndege,samaki,mbwa,paka,kuku,farasi,punda,ng’ombe ,mbuzi,
kondoo,na mifugo min
Chanjo chanjo kwa ng'ombe
-Cha mbavu(Black quarter)
-Kimeta (Anthrax)
-Mapele ngozi (Lumpy skin)
-Homa ya mapafu (CBPP)
Ni kipindi cha mvua kipindi hatari sana kwa afya za wanyama (ng'ombe) tunasisitiza kuwapatia chanjo tajwa hapo juu kwa bei nafuu kabisa.
Dr Henry Benjamin
Simu 0623941830 au 0658551904 au 0755560334, Tunapatikana Banana Dar es salaam k**a VetFarm Co Ltd, lakini tunaweza fika sehemu yoyote kwe mikoa ya Morogoro, Pwani na Tanga
21/11/2023
Hatimaye bango limefika ofisin
Come and grab your puppy GOLDEN RETRIEVER for affordable price
02/08/2022
Je waijua dawa ya kuzuia kupe na viroboto kwa mbwa wako karibu miafo tukuhudumie kwa mawasiliano piga simu 0755560334
02/08/2022
Wajue kupe na athari zake, zijue njia za kuzuia kupe, wasiliana nasi Miafo company limited kupitia namba 0755560334, tembelea na follow ukurasa wetu instagram miafo_tz au tovuti yetu www.miafo.com
02/08/2022
Karibu tukupe elimu pamoja na huduma kwa wanyama wako
01/08/2022
Karibu tukuhudumie kwa huduma yoyote inayo husu mifugo k**a vile chanjo kwa wanyama, huduma za matibabu, ushauri wa jinsi ya kufuga na mengine mengi
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mbezi
P.O.BOX12853