madaktari mifugo

madaktari mifugo

Share

MADAKTARI BINGWA WA MIFUGO.

Group hili ni special kwa ajili ya huduma ya moja kwa moja kwa wafugaji wa wanyama mbalimbali ,ndege,samaki,mbwa,paka,kuku,farasi,punda,ng’ombe ,mbuzi,
kondoo,na mifugo min

13/01/2024

Chanjo chanjo kwa ng'ombe
-Cha mbavu(Black quarter)
-Kimeta (Anthrax)
-Mapele ngozi (Lumpy skin)
-Homa ya mapafu (CBPP)
Ni kipindi cha mvua kipindi hatari sana kwa afya za wanyama (ng'ombe) tunasisitiza kuwapatia chanjo tajwa hapo juu kwa bei nafuu kabisa.
Dr Henry Benjamin
Simu 0623941830 au 0658551904 au 0755560334, Tunapatikana Banana Dar es salaam k**a VetFarm Co Ltd, lakini tunaweza fika sehemu yoyote kwe mikoa ya Morogoro, Pwani na Tanga

Photos from madaktari mifugo's post 21/11/2023

Hatimaye bango limefika ofisin

03/10/2022

Come and grab your puppy GOLDEN RETRIEVER for affordable price

02/08/2022

Je waijua dawa ya kuzuia kupe na viroboto kwa mbwa wako karibu miafo tukuhudumie kwa mawasiliano piga simu 0755560334

02/08/2022

Wajue kupe na athari zake, zijue njia za kuzuia kupe, wasiliana nasi Miafo company limited kupitia namba 0755560334, tembelea na follow ukurasa wetu instagram miafo_tz au tovuti yetu www.miafo.com

02/08/2022

Karibu tukupe elimu pamoja na huduma kwa wanyama wako

01/08/2022

Karibu tukuhudumie kwa huduma yoyote inayo husu mifugo k**a vile chanjo kwa wanyama, huduma za matibabu, ushauri wa jinsi ya kufuga na mengine mengi

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mbezi?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address

Mbezi Luis
Mbezi
P.O.BOX12853