Uzima Health Clinic
Uzima Health Clinic ni kituo Cha sayansi ya tiba mbadala na utafiti wa magonjwa sugu.
14/10/2022
VIDONDA VYA TUMBO (PEPTIC ULCERS)
Ni ugonjwa wa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula. Hutokea baada ya Kuta za Tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda.[Hii hutokea baada ya kuharibika Kwa ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula ziitwazo mucus].
AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO:
1.Vidonda Vya Tumbo kubwa (gastric ulcers)
2.Vidonda Vya utumbo mdogo (duodenal ulcers)
3. Oesophagal ulcers
CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO:
1.Bacteria (H.pylori)
2.Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu mara Kwa mara
3.Msongo wa mawazo
4.Kunywa pombe na vinywaji vikali
5.Kula vyakula vinavyozalisha asidi Kwa wingi
6.Uvutaji sigara
7.Kutokula mlo Kwa mpangilio
8.Kurithi
DALILI YA VIDONDA VYA TUMBO:
1.Tumbo kuwaka moto sehemu ya juu
2.Njaa hususani nyakati za usiku
3.Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
4.Kichefuchefu
5.Kutapika
6.Kuharisha
Kutoa choo cheusi
7.Kushikwa njaa ghafla na kuhisi kutetemeka
8.Tumbo kuuma unapotumia vyakula vyenye asidi k**a maharage, njugu, dagaa, ndizi nk
MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO:
1.Kuvuja damu ndani Kwa ndani (internal bleeding)
2. Kansa ya utumbo
3. Kifo
MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO.
(a) Matibabu ya kisasa (hospitali )
Ziko dawa ambazo zinatuliza Kwa muda, wagonjwa Wachache sana hupona Vidonda Vya Tumbo Kwa dawa za kisasa.
(b) Matibabu ya tiba asili/ mbadala
Tumia dawa yetu ya ULCER CAFE, hii ni dawa ya Uhakika ya Kutibu Vidonda Vya Tumbo Kwa muda mfupi.
Dozi ni ndani ya siku 5-7 na unapona kabisa Vidonda Vya Tumbo.
Yawezekana umetumia dawa nyingi za asili, tiba lishe na dawa za kisasa lakini Bado hukufanikiwa kupona, Usikate tamaa, tunakushauri utumie dawa hii na Mungu atakusaidia utapona.
Tunazo shuhuda nyingi za watu waliopona Vidonda Vya Tumbo baada ya kutumia dawa ya ULCER CAFE.
Bei ya dozi ni Tsh. 70,000/=
Nusu dozi Tsh.35,000/=
Piga: 0762428187/0657953967
Click here to claim your Sponsored Listing.
Telephone
Website
Address
Morogoro