Happy na afya

Happy na afya

Share

BONYEZA LINK BAPO JUU KUPATA MAFUNDISHO YA BIASHARA BURE KABISA

BIASHARA MAFANIKIO 17/06/2022

http://chat.whatsapp.com/F7vONrFg09HGBpo2K5Thcf BONYEZA LINK KUPATA MAFUNZO YA BIASHARA NI BURE KABISA

BIASHARA MAFANIKIO WhatsApp Group Invite

29/05/2022

KITOVU KIKUBWA KWA MTOTO.
Ni tatizo la kiafya linalotokea baada ya ukuta wa tumbo na kitovu kuathirika.
Nini chanzo chake?
1.Kasoro ya kuzaliwa ambayo hujitokeza kabla ya kuzaliwa.Tatizo hili lipo hadi kwa watu wazima,wanawake huathirika zaidi kuliko wanaume.Tatizo hili lipo zaidi kwa watoto wa kiafrika kuliko mabara mengine.
2.Ngiri ya kitovu
Kunakuwa na shinikizo na mgandamizo wa hewa na nguvu ndani ya tumbo unaosababishwa na unene wa mjamzito kupita kiasi,kunyanyua vitu vizito mara kwa Mara,kikohozi cha muda mrefu au ujauzito mapacha.
3.Paraumbilical hernia.
Hutokea zaidi kwa watu wazima kuanzia upande wa juu kufuata mstari wa kati kuelekea tumbo.
Dalili zake ni zipi?
1.Kitovu kuwa kirefu Sana na huungana na kondo la nyuma la mama ili kupeleka lishe na hewa kwa mtoto awapo tumboni.
2.Baada ya kuzaliwa kitovu cha mtoto mchanga hutokeza kwa juu pindi aliapo na anyamazapo hurudi ndani,kiasi cha kusababisha maumivu.
Tiba ni ipi?
Kitovu hurudi chenyewe chini ya miaka 3,zaidi ya hapo upasuaji hufanyika.
NB:Strangulation ni hali itakayotokea endapo hali itakuwa mbaya zaidi baada ya tumbo na kitovu kuwa kikubwa.
Ushauri.
Mtoto asifungwe sarafu kwani ikikosewa itasababisha maambukizi ya ngozi kwenye kitovu.🙏🙏🙏🙏 0713595409

26/05/2022

NILIKUWA NADHANI HAIWEZEKANI TENA KUITWA BABA

Kitu cha kwanza huja kichwani kwa mwanaume baada ya Ndoa na wengine Bila hata ndoa ni mtoto...

Nakumbuka Sana rafiki yangu alivyo hangaika kutafuta mtoto ndani ya miaka 6 bila mafanikio k**a ndugu jambo hili linaniuma sana ...

Kwenye kutafuta Tiba rafiki yangu alikutana na NJIA mpya ambayo inayotumika kuweza kubebesha mimba mwanamke ...

Kumbe ni vitu vinavyo zunguka kila mahali ...

Nimeleza kwa ufupii namna gani unaweza kujinasua kwenye changamoto hii.K**a wewe au rafiki yako anapitia changamoto hii usipanic.

tuma Ujumbe neno kwenda whatsapp namba 0713595409 utapatiwa ELIMU BURE kabisa

26/05/2022

K**A UKO HIVI UTAACHWA NA KILA MWANAMKE

Leo nimeona niongele hili swala wanaume wengi kutodumu kwenye Mahusiano au kuachwa mara kwa mara

Kuna sababu zinaweza kuchangia lakini kuna wakati wanamke anaamuwa tu kutoka na mwanaume mwengine. Wanaume wengi huona k**a hakuna tatizo ila ni maamuzi tu ya mwanamke ila ukweli wa mambo kuna sababu moja kubwa ukiwanayo hiyo lazima mwanamke akuwache nayo ni kushindwa kurudia tendo au ukiwa mtu wa kimoja tu chali, au kuwahi haraka kufika kileleni yani hapo hapo hakuna mwanamke atakae dumu labda kubaki na familia tu.

Sasa k**a unatatizo hilo au bado hujui ila unahisi basi usipaniki nimekuandalia Elimu nzuri ya kufanya utatuwe hiyo aibu hapo hapo nyumbani kwako bila ya kwenda hospital

Katika somo hilo nimeleza jinsi ya kufahamu saikologia ya kufanya kuwa mshindi mechi zote kitandani nitumie ujumbe

Tuma ujumbe neno AFYA BORA kwenda whatsApp namba 0713595409 nitakutumia Audio ya suluhisho bila malipo yoyote.

25/05/2022

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
1)Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.

2)Kuhisi harufu mbaya, kichefuchefu mara tu baada ya Kimwaga mbegu za Kiume.

3)Mwili kuchoka sana baada ya tendo la Ndoa huambatana na usingizi mzito.

4)Kuhisi maumivu kwenye korodani baada ya kumaliza tendo la ndoa.

5)Mwili kukinai na kuhisi ganzi mwili nzima.

Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za Kiume k**a umeziona moja ya dalili hizo usipuuze, na K**a unamfaham mtu mwenye Changamoto hizo usipuuze mpatie taarifa hii atakushukuru, kumbuka hilo tatzo likiwa sugu utapata shida Sana kurejea ubora wa mwanzo itakuwa ngumu sana na utadhalilika. Jenga Afya yako sasa hivi kwa nini usubiri kesho?

Jaribu kuangalia performance yako ya tendo kwa miaka mitatu iliyopita.Alafu lingalisha na performance yako ya sasa, utagundua tofauti kubwa.

Tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda wassap 0713595409 au piga simu usaidiwe haraka

25/05/2022

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI JANGA KUBWA AMBALO LINAWAKERA WATU WENGI.
BASI LEO TUANGALIE NN CHANZO NA HASARA ZAKE
FUATANA NAMI

Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha.

Tatizo hili linawakabili mamilioni ya wanaume duniani na limekuwa na athari nyingi k**a vile kuvunjika kwa mahusiano na hata
ndoa.

Mwanaume mwenye tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume anakuwa hana uwezo wa kumtosheleza mwanamke kwenye tendo la ndoa.

CHANZO CHA TATIZO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Kwa ufupi sana, mambo yafuatayo ndio vyanzo vikuu vya tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume:-

i. Upigaji punyeto wa muda mrefu.
ii. Msongo wa mawazo.
iii. Ugonjwa wa kisukari na shinikizo la damu (pressure).
iv. Kupooza kwa mwili.
v. Kuugua ugonjwa wa ngiri.
vi. Kuugua chango la kiume.
vii. Ulevi uliokithiri.
viii. Kuwa na wasiwasi wa kumudu kutekeleza tendo la ndoa.
ix. Woga wa kufanya tendo la ndoa.
x. Uzoefu wa kukatisha tamaa wa siku za nyuma.
xi. Ulaji mbovu wa vyakula haswa vyenye mafuta mengi/kupita kiasi.
xii. Mazingira yasiyoridhisha wakati wa tendo la ndoa.

JE KUNA ATHARI GANI ZA KUPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME / UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Kutokuwa na nguvu za kiume huleta madhara na athari nyingi sana kwa muhusika. Baadhi ya athari hizo ni pamoja na:-

1. Kuvunjika kwa mahusiano ya kimapenzi.
2. Kuvunjika kwa ndoa.
3. Kujiua.
4. Ulevi kupita kiasi.

KUTOKANA NA MADHARA /HASARA ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME WATU WENGI WAMEKUWA WAKIHANGAIKA HUKU NA KULE KUTAFUTA SULUHISHO LA TATIZO HILI BILA MAFANIKIO.

USHAURI WANGU NI HUU TUMIA KIRUTUBISHO HIKI KIITWACHO
ARGI +
AMBACHO HAKINA MADHARA YOYOTE LAKINI INAKUPA VIRUTUBISHO AMBAVYO VITAREJESHA TENA UWEZO WAKO KWA 100%

Tuma ujumbe neno AFYA kwenda WhatsApp number 0713595409au Piga Simu usaidiwe Mapema

24/05/2022

KWA NINI UTUMIE MULTI-MACA? ANAELEZA:
MULTI-MACA (100% NATURAL) NI KIRUTUBISHO MUHIMU NA MAALUM KWA WANAUME NA WANAWAKE.
HUSAIDIA:
1. Kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume bila kuchoka
2. Ku-balance homoni
3. Kuboresha msukumo wa damu ambayo ni muhimu kwenye nguvu za kiume
4. Kupunguza madhara ya menopause (kukoma kwa hedhi)
5. Kuzuia ukuaji wa tezi dume
6. Kuongeza stamina pamoja na nguvu za kiume
7. Kuongeza idadi, kasi na ubora wa mbegu
8. Kutatua tatizo la vaginal dryness kwa kumuwezesha mwanamke kuwa mnyevu wakati wote wa tendo la ndoa na kulifurahia bila kuwa na mawazo ya michubuko na maambukizi ya magonjwa ya zinaa
9. Kupunguza athari za msongo wa mawazo kwenye mwili
10. Inarutubisha mayai na kuweka sawa afya ya uzazi kiujumla
Tuma ujumbe neno AFYA kwenda whatsapp namba 0755280169au piga simu usaidiwe mapema.0713595409

NI BIDHAA SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI, ZIMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA MAKUBWA YA VYAKULA NA LISHE DUNIANIK

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Morogoro?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address

Morogoro