Niza collection
C. E. O Niza beauty & Niza_collection
TUNAUZA BIDHAA MBALIMBALI KWA BEI YA JUMLA NA REJAREJA PIA TUNAAGIZA BIDHAA MBALI MBALI KUTOKA NJE YA NCHI KWA UAMINIFU KARIBUNI TUNAPATIKANA MOSHI KILIMANJARO TANZANIA
Eid Mubarak
Alhamdulillah mashallah
Happy women's day to my beautiful customers 💜
Umejizawadia nini siku ya Leo?
Mteja wangu kajizawadia
Skincare na Hair package🎁👌
Tuambie na wewe bajeti yako tukushauri
Allah awabariki wateja wangu Amin.
Haya
Face set yako simple k**a hii
Inakupa
1. Glow
2. Softness
3. Unyevuunyevu
4. Inaondoa madoa
5. Inaondoa mikunjo ya uzee
60000 tu
Tunapatikana moshi
+255756805845
Mashallah🥰
Alhamdulillah
Mashallah
Ftari ya nyumbani huwa na baraka zake 🥹🤲
Leo nikaamua niipikie familia yangu ftari ya ndizi za samaki 🍌🐟✨
Huku moyoni nikitarajia “malipo” kwa kuwapikia waliofunga 🤲
Hapo ndipo amani halisi inapopatikana 💛
👇 Share hii video kwa mtu unayependa mle ftari pamoja💌
😂 Leo nimeamua kuwa chef wa chai ya kukaanga…
Matokeo yake? 👇
Chai ya kukaanga ❌
Chai ya vitunguu vya tangawizi😀 ✅🔥
Tangawizi imeelea juu k**a niko jikoni napika pilau ya Ijumaa… na leo ni Ijumaa kweli 😂
Harufu ya chai ☕✔
Muonekano ✔
Ladha yake? Alkasus edition ☕😂 ✔
Confidence jikoni: 100%
Experience: bado nasoma 😭🔥
👇 Comment “CHEF” k**a na wewe huwa unapika kwa majaribio
😂 Tag yule rafiki anayejiona MasterChef lakini kila wiki anaunguza kitu
📲 Share hii nijue siko peke yangu duniani
Umechora kuukaribisha mwezi?
Niza Beauty tupo kukupendezesha
💃💃Feedback
Unachangamoto ya chunusi usisite kuwasiliana nasi upate suluhisho 😘
ALHAMDULILLAH