Rayne beauty 2019
Beauty and Skin care �
Ukiwa kwenye safari ya kutunza ngozi yako hakikisha unapata kipako sahihi
✍🏽Kipako sahihi sio kilicho kwenye trends bali ni mafuta yanayoendana na aina ya ngozi yako
✍🏽Hakikisha anaekuuzia kipako ana elimu ya kutosha ya kutambua ngozi hyo moja ,akishambua ainaya ngoz yako ni rahisi sana kujua akupe kipako kipi
✍🏽Mara utapatapo kipako chako ,paka kwa usahihi k**a ulivyoelekezwa
✍🏽Wasiliana na aliyekupa kipako kwa maendeleo hasi au chanya
✍🏽zingatia ushauri unaopewa na usiwe muhama ham wa vipako hyo ni ngozi na sio nyama ya majaribio
✍🏽Tupo MWANZA Kwa huduma za ngozi
+255746161662
Hii serum ni combo ya face cream na serum at once.
✍🏽wale wasiopenda mambo mengi na wanajali ngozi yao basi hii ni suluhisho
✍🏽Umeungua na cream kali usoni
✍🏽Una weusi mashavuni au chin ya macho/miwani
✍🏽Ngozi yako imefubaa fubaa tu
Call/ watsap 0746161662
❤️ 🇹🇿
Rangi moja ya lipstick inaweza kubadilisha siku yako nzima na kuwa nzuri 👌💋
Lipstick on ,confidence up💄 ❤️
Wazee wakujiongeza matumizi Jana nmejua kunifurahisha nyie watoto mna balaa 🤣🤣🤣
✍️Jamani hii sio kilainishi wakati wa tendo ❌
✍️ Yoni ni tiba ya U.T I na P.I.D
✍️Tiba ya kuondoa miwasho na harufu mbaya Kwa 😻
✍️Inabana misuli ya 😻
✍️Inaongeza joto Kwa 😻
✍️ Inakuongezea uhuru na kujiamini ,mana Kwa nunu Kuna kuwa kizuri ,palainii k**a katoto na unajiskia freshiiii
✍️Inaongeza mnato Kwa 😻na Ute 💦
Tumia kulingana na unataka Nini ,
We unatibu au unarekebisha mandhari
Nipo hapa kukupa maelekezo less
No za ofisi 0746-161 662
Wakala wa Dar # # 0763-737 308
No free delivery 🚫
゚シ゚
Basi nikuambie hii full lishe ya ngozi ,Ina Kila aina virutubisho unavyohitaji kwenye ngozi yako
Kwanza wanakunywa jinsia zote
Sasa wewe mwenye changamoto za ngozi,umefubaa
Mafuta hayashiki mwilini
Maji unaogea ya chumvi
Uvivu kupaka lotion na oil pia ..Yan kifupi wewe hutaki kashikashi ,basi hii inakuhusuuu
Aiya wewe mwenye madoa dia usoni ,mwilini unasubria nin kuanza hii lishe
Bei 55,000
Tupo dar na mwanza
Mikoa mingine tunakutumia
Na wale wanaotaka delivery 🚚 pia ipo Kwa gharama za mteja
Mawasiliano:: 0746-161 662
Tips ✨ Ili uwe na nyayo pambe linalovutia,vuta kiti nisikilize
Kwanza uwe na scrub kufanya miguu yako kuwa na unyevunyevu,sugua hiyo miguu na scrub taratibu sio ugomvi
✨Bei ya scrub 12,000/
Hakikisha unasugulio la nyayo zako ,sugua nyayo hyo binti Msumwi 😅
✨Sugulio sh 1,000/ tu
Aiya safisha kucha zako taratibu ,toa uchafu wote pembeni ya kucha hizo
✨Kitoleo uchafu ni 1,000/ tu
Sasa ukishamaliza ukajisuuza unajikausha unapaka Nini hiyo miguu yako
✨Serum 8,000 Ili kuipa nyayo zako mngao na ulaini k**a wa mtoto mchanga
✨Oil 15,000 k**a my guu yako Ina SUGU na weusi weusi unataka ingae iwe lelele...
K**a upo zako nyumbani siku hyo basi inapendeza zaid ukivaa soksi 🥂
Tupo Dar ,Lakini tunafanya delivery tu
Na Mwanza tunapatikana ofisini
Karibuni sana
Mawasiliano pamoja na watsap ✨+255 746 161 662
❤️💞❤️
29/07/2024
Rangi zipo 3 k**a zilivyo wapenz
Bei : Tsh. 18,000/
Size : 36-41
+255746-161 662
25/07/2024
Tretinoin ni tiba ya chunusi vipenz lakini.ina namna yake ya upakaj na itumiaji ,usitumie kiholela utaharibu ngozi
Bei ni 25,000
Moisture yake ni 25,000
Sunscreen 35,000
Vyote utavipata kwetu pamoja na ushaur wa matumiz
0746161662
Tupo MWANZA
Nje ya mwanza tunakutumia mzgo wako,au mtume ndg yako oficn kwetu tutampatia mzgo wako
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |