Afya Healthy LivingTz

Afya Healthy LivingTz

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya Healthy LivingTz, Mwanza.

Afya Healthy Living Tz , it's a place where people get important health tips, nutrition supplements and products.

- Tunasaidia watu na program nzuri ya kupungua uzito.
- Tunasaidia watu Wenye magonjwa ya kimfumo kama vile kisukari na Pressure

Photos from Afya Healthy LivingTz's post 27/10/2020
25/09/2020

Unene uliokithiri (Obesity) unaongeza uwezekano wa kupata aina 13 za saratani:

ya ini

7️⃣Meningioma (Saratani kwenye viwambo vivyofunika ubongo)
8️⃣Multiple myeloma
9️⃣Saratani ya ovari
1️⃣0️⃣Saratani ya kongosho
1️⃣1️⃣Saratani ya tumbo
1️⃣2️⃣Saratani ya thyroid
1️⃣3️⃣Saratani ya mji wa uzazi

Ili kuepuka unene uliokithiri mtu hutakiwa ,kupunguza Kula vyakula vya wanga, sukari na kufanya mazoezi mbalimali.

Tunaprogram nzuri ya kukusaidia kuweza kuondoka na unene uliokithiri.

Kupata program hii wasiliana nasi kupitia +255622098766.

Usisahau kucomment ,like na kushare Kwa faida ya wengine.

🔗 https://t.co/I7ZoQsRKjL

22/09/2020

Pata Edmark SHAKE OFF bidhaa Bora inayosaidia kusafisha utumbo mpana na kufanya detox.
Kwa kutumia shake off;
*utaondokana na shida ya kukosa Choo
*Inaondoa lehemu mbaya mwilini
*Inasaidia kupunguza kitambi
Matokeo ni ndani ya masaa 6 Hadi 8

Whatsapp / Txt/ Call +255622098766

Photos from Afya Healthy LivingTz's post 22/09/2020

FAIDA ZA MMEA WA GINSENG.

Ginseng ,au maarufu k**a “king of herb” (mfalme wa mimea). Mmea huu umekuwa moja ya maajabu ya dunia kutokana na uhodari wake katika matibabu. Mmea huu unapatikana hasa kaskazini mwa America na Mashariki mwa Asia(hasa kaskazini mwa china,Japani na Korea) hasa maeneo yenye baridi.

Kuna aina kuu mbili za mmea huu : American Ginseng(Panax quinquefolium) na Asian Ginseng au China ginseng(Panax ginseng)

American Ginseng ni zenya asili ya ubaridi( Ying energy) na Asian Ginseng ni zenye asili ya ujoto(Yang ginseng) , hivyo basi watu wenye asili ya ubaridi au waishio maeneo ya baridi wanashauriwa kutumia Asian ginseng ili waweze kupata joto na wale wenye asili ya joto au waishio maeneo ya joto wanashauriwa kutumia American ginseng kwaajili ya kuongeza baridi katika mili yao. Vinginevyo matatizo makubwa yanaweza kujitokeza hasa kwa watu wenye shinikizo la damu .

Mbali na utofauti wote huo lakini mimea yote ina kiungo cha GINSENOSIDE, ambacho ni kiambata kikuu cha tiba. Kuna aina nyingine inaitwa Siberia ginseng ,ila sio ginseng alisi bali ni mmea mwingine (Eleutherococcus senticosus) ambao ufanana kwa ukaribu kabisa na mmea tiba wa ginseng. Mmea huu wa Siberian ginseng una kemikali ya eleutherosides badaa ya ginsenosides.

Mmea wa ginseng (Asian na American ginseng) unahistoria ndefu sana ya kukumbukwa katika uponyaji wa magonjwa mbalimbali yakiwemo magonjwa ya kawaida mpaka kansa. Nguvu ya uponyaji ya mmea huu wa ginseng inachangizwa na uwezo wake wa kuwa na asili ya viambata ambavyo uongeza kinga ya mwili mzima ,kwa kuongeza utendaji kazi wa viungo vya mwili na ubongo.

Nguvu ya uponyaji wa mmea huu wa ginseng inaufanya mmea huu kuwa na uwezo mkubwa wa kupambana na magonjwa sugu k**a uchovu wa kupindukia,kukosa nguvu mwilini,kukosekana kwa umakini mwilini,kukosa nguvu mwilini,kupoteza kumbukumbu,kukosa nguvu za kijinsia(nguvu za kiume na k**e) pia uwezo mdogo wa kupona kwa haraka magonjwa na majeraha.

Sasa hebu tutazame uwezo wa mmea huu wa ginseng katika kutibu magonjwa mbalimbali:

1. Inapunguza Msongo wa Mawazo.

2. Kutibu ugonjwa wa sukari.

3. Inaongeza kinga ya mwilini

4. Kuondoa mafuta mabaya mwilini.

5. Uwezo wa kuondoa uchovu mwilini.

Pata Ginseng Coffee kwa kuweka order yako hapa +255 622098766

Whatsapp / txt / Call +255622098766

16/07/2020

Shinikizo kubwa la damu huweza kuathiri moyo wako na kusababisha Ugonjwa wa moyo.

Unaupenda moyo wako?

👉Dhibiti Shinikizo la Damu Kwa kufanya yafuatayo:
🍽️ Dhibiti chumvi
🍟 Epuka vyakula vyenye mafuta mengi
🏃🏼Fanya mazoezi
⬇️ Dhibiti uzito
🚭 Acha Sigara
🍺 Dhibiti pombe.

wa.me

08/06/2020

KIHARUSI (Stroke)🧠

👉Tatizo la dharura la kiafya ambalo ni moja ya magonjwa yanayoongoza kusababisha vifo.

🔵 Mitindo ya maisha na Lishe ni vitu vinavyochangia idadi ya wagonjwa wanaopata stroke kuongezeka

🔵Kiharusi huacha ulemavu au kifo
KIHARUSI hutokea pale seli za ubongo zinapokufa kutokana kuziba au kupasuka kwa mishipa ya damu kwenye ubongo hivyo kukosa hewa ya oksijeni na virutubisho.

🔵Kiharusi kikihusisha mshipa wa mkubwa wa damu kwa wastani mgonjwa hupoteza seli za ubongo (neuroni 1.9) kila dakika.

KUNA AINA KUU MBILI ZA KIHARUSI🧠

1️⃣Kiharusi kinachotokana na kuziba kwa mishipa ya damu ya damu ya ubongo

2️⃣Kiharusi kinachotokana na kupasuka kwa mishipa ya damu ya ubongo

🔵 80% ya watu wanaopata kiharusi hutokana na kuziba kwa mishipa ya damu kwenye ubongo.

Vitu ambavyo huchangia watu kupata kiharusi

1️⃣Ugonjwa wa Shinikizo kubwa la damu
2️⃣Ugonjwa wa kisukari
3️⃣Lehemu kuzidi kwenye damu
4️⃣Uvutaji sigara
5️⃣Magonjwa ya moyo
6️⃣Uzito uliopitiliza
7️⃣Unywaji wa pombe uliokithiri
8️⃣Kutokufanya mazoezi

Shinikizo kubwa la damu huchangia watu wengi kupata kiharusi. Msukumo mkubwa wa damu kupasua mishipa ndani ya ubongo na kupelekea kiharusi

🔵Pima presha yako mara kwa mara ili k**a una presha uanze tiba mapema.

Unene uliopitiliza na kitambi huchangia watu kupata kiharusi

🔵Unene husababisha mrundikano wa mafuta kwenye kuta ya mishipa ya damu ambayo ni kihatarishi cha kuziba kwa mishipa kwenye ubongo

Kupunguza uzito ni njia mojawapo ya kudhibiti kiharusi.

💡Ili kujiepusha na stroke ni vizuri watu tukabadili jinsi tunavoishi na kuanza Kula vyakula vyenye afya, kufanya mazoezi, na pia kupunguza uzito wa mwili ili kuepukana na ugonjwa huu.

Kwa ushauri na program nzuri ya Kusaidia kupunguza uzito fuata link hizi👉🏿 https://m.me/azyzah.juma

https://wa.me/255738237093

08/06/2020

Unene uliokithiri (Obesity) unaongeza uwezekano wa kupata aina 13 za saratani:

1️⃣Saratani ya matiti
2️⃣Saratani ya utumbo mpana na puru
3️⃣Saratani ya koo (adenocarcinoma)
4️⃣Saratani ya mfuko wa nyongo
5️⃣Saratani ya figo
6️⃣Saratani ya ini

7️⃣Meningioma (Saratani kwenye viwambo vivyofunika ubongo)
8️⃣Multiple myeloma
9️⃣Saratani ya ovari
1️⃣0️⃣Saratani ya kongosho
1️⃣1️⃣Saratani ya tumbo
1️⃣2️⃣Saratani ya thyroid
1️⃣3️⃣Saratani ya mji wa uzazi

Pata program ya kupunguza unene uliokithiri , ilikuepuka Kupata madhara makubwa ya saratani.

Kupata program , Piga/ WhatsApp/ Message Namba +255622098766.

🔗 https://t.co/I7ZoQsRKjL

04/06/2020

Nini hutokea mtu akinywa maji ya Moto asubuhi mara kwa mara?

Mafuta yaliyo has mwilini huyayuka na mgandamano uliopo kwenye mfumo neva huvunjika vunjika. Hili husaidia kuboresha mzunguka wa damu na kutoa sumu mwilini.

What more tips on weight loss?
Wataka vidokezo zaidi kwenye kupunguza uzito? Gusa link 👉🏿👉🏿 https://m.me/azyzah.juma

Photos from Afya Healthy LivingTz's post 28/05/2020

FAIDA ZA MMEA WA GINSENG.

Ginseng ,au maarufu k**a “king of herb” (mfalme wa mimea). Mmea huu umekuwa moja ya maajabu ya dunia kutokana na uhodari wake katika matibabu. Mmea huu unapatikana hasa kaskazini mwa America na Mashariki mwa Asia(hasa kaskazini mwa china,Japani na Korea) hasa maeneo yenye baridi.

Kuna aina kuu mbili za mmea huu : American Ginseng(Panax quinquefolium) na Asian Ginseng au China ginseng(Panax ginseng)

American Ginseng ni zenya asili ya ubaridi( Ying energy) na Asian Ginseng ni zenye asili ya ujoto(Yang ginseng) , hivyo basi watu wenye asili ya ubaridi au waishio maeneo ya baridi wanashauriwa kutumia Asian ginseng ili waweze kupata joto na wale wenye asili ya joto au waishio maeneo ya joto wanashauriwa kutumia American ginseng kwaajili ya kuongeza baridi katika mili yao. Vinginevyo matatizo makubwa yanaweza kujitokeza hasa kwa watu wenye shinikizo la damu .

Mbali na utofauti wote huo lakini mimea yote ina kiungo cha GINSENOSIDE, ambacho ni kiambata kikuu cha tiba. Kuna aina nyingine inaitwa Siberia ginseng ,ila sio ginseng alisi bali ni mmea mwingine (Eleutherococcus senticosus) ambao ufanana kwa ukaribu kabisa na mmea tiba wa ginseng. Mmea huu wa Siberian ginseng una kemikali ya eleutherosides badaa ya ginsenosides.

Mmea wa ginseng (Asian na American ginseng) unahistoria ndefu sana ya kukumbukwa katika uponyaji wa magonjwa mbalimbali yakiwemo magonjwa ya kawaida mpaka kansa. Nguvu ya uponyaji ya mmea huu wa ginseng inachangizwa na uwezo wake wa kuwa na asili ya viambata ambavyo uongeza kinga ya mwili mzima ,kwa kuongeza utendaji kazi wa viungo vya mwili na ubongo.

Nguvu ya uponyaji wa mmea huu wa ginseng inaufanya mmea huu kuwa na uwezo mkubwa wa kupambana na magonjwa sugu k**a uchovu wa kupindukia,kukosa nguvu mwilini,kukosekana kwa umakini mwilini,kukosa nguvu mwilini,kupoteza kumbukumbu,kukosa nguvu za kijinsia(nguvu za kiume na k**e) pia uwezo mdogo wa kupona kwa haraka magonjwa na majeraha.

Sasa hebu tutazame uwezo wa mmea huu wa ginseng katika kutibu magonjwa mbalimbali:

1. Inapunguza Msongo wa Mawazo.

2. Kutibu ugonjwa wa sukari.

3. Inaongeza kinga ya mwilini

4. Kuondoa mafuta mabaya mwilini.

5. Uwezo wa kuondoa uchovu mwilini.

Pata Ginseng Coffee kwa kuweka order yako hapa

https://wa.me/255738237093

28/05/2020

Maajabu ya Splina.

# 0738237093.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address

Mwanza

Opening Hours

Monday 09:00 - 20:00
Tuesday 09:00 - 20:00
Wednesday 09:00 - 20:00
Thursday 09:00 - 20:00
Friday 09:00 - 20:00
Saturday 09:00 - 20:00
Sunday 09:00 - 21:00