Usalama wa Mionzi
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Usalama wa Mionzi, Health/Beauty, Bugando, Mwanza.
MIONZI ITOKANAYO NA MATUMIZI YA SIMU, COMPUTER/RADIO INAWEZA KUSABABISHA MADHARA YEYOTE KIAFYA?? MFANO: CANCER!!
JIBU!! HAPANA💯
KWANINI?? KITAALAMU tuna makundi mawili ya mionzi;
01: IONIZING RADIATION: mionzi inayo umiza, mfano: x-ray, gamma rays, alpha & beta partical.
02: NON IONIZING RADIATION: mionzi isiyo umiza, mfano: mionzi ya mawasiliano ( RF signal ), na mionzi ya sauti ( Ultrasound ). nk.
TUKIANZA NA TATIZO LA CANCER.
Kwanza kabisa, cancer husababishwa na uharibifu wa DNA za seli za mwili, ambayo hupelekea ongezeko la uzalishaji wa seli zisizo za kawaida mwilini.
Uharibifu huu wa DNA unaweza kusababisha mwili uanze kuzalisha seli zisizo za kawaida ambazo ni CANCER au KUPELEKEA SELI KUFA.
ZINGATIA: Uharibifu wa DNA ukitokea seli inaweza kufa au isife. ( seli ikifa hakuna madhara yeyote yanayoweza kutokea ( kwa maana hiyo mionzi hutumika kuua CANCER ), lakini seli isipo kufa tazizo la CANCER linaweza kutokea )
KWA MANA HIYO, Kundi lakwanza: Mionzi inayoumiza ( ionizing radiation ) mionzi hii inaweza kusababisha cancer na pia inaweza kutumika kutibu cancer, hii ni kwasababu mionzi hii ina guvu ya kupenya ndani ya seli za mwili wa binadamu, na kuweza kukutana na DNA za seli za mwili ambayo inaweza kupelekea uharibifu wa DNA na mwili kuanza kuzalisha seli zisizo za kawaida ambayo ni CANCER
Ni kwa namna gani?? Itaelezewa kiundani kwenye kipindi kinachofata....
KWENYE KUNDI LA PILI mionzi isiyo umiza ( non ionizing radiation ) mfano: mionzi ya simu, redio ( RF signal ) na mionzi ya sauti ( ultrasound )
Mionzi hii hazina uwezo wa kupenya kwenye seli za mwili wa binadamu, na haikutani na DNA za seli za mwili.
KWA MAANA HIYO KUNDI HILI HALINA UHUSIANO NA TATIZO LA CANCER.
Matokeo ya kundi hili la mionzi ni kuongeza joto tu la mwili kwa kiwango kidogo sana cha 0.2°C ambayo hakuna madhara yeyote.
( HEATING EFFECT )
ZINGATIA: MAAMBUKIZI MBALI MBALI YA MAGONJWA PIAYA YANAWEZA KUPELEKEA TATIZO LA CANCER. MFANO: MAAMBUKIZI YA VIRUSI, BAKTERIA. nk.
10/03/2022
Makala ya wiki hii tutazungumzia aina mbali mbali za vyakula
ambavyo vimeundwa na chembechembe vinavyo
weza kutoa mionzi ( radiation ) ndani ya mwili wa binadamu.
Tutazungumzia kiwango na nikwanamna gani vitaanza
kutoa mionzi pindi mwili ukianza kuvisaga / kuvimeng'enya.
09/03/2022
Zijue vyanzo mbali mbali vinavyo ongeza idadi kubwa ya mionzi (radiation) kwenye uso wa Dunia na ndani ya mwili wa binadam.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mwanza