Samaki Samaki Mwanza
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Samaki Samaki Mwanza, 5656, Mwanza.
WAUZAJI WA SAMAKI WABICHI KUTOKA MWANZA
▫️Tunapokea Oda za Wenye Mabucha, Mahotelini na Migahawani
▫️ Tunasafirisha Ndoo za Samaki Kwa Ndege
▫️Piga/WhatsApp +255762606396
KARIBUNI SANA
06/09/2026
BIASHARA YA KUUZA VICHWA VYA SANGARA VILIVYOKAANGWA KWA MTAJI WA KILO 100 TU TZS 370,000/-
Biashara ya kuuza vichwa vya sangara vilivyokaangwa ni mojawapo ya biashara yenye faida kubwa na inayohitaji mtaji mdogo kuanzisha
Biashara hii ya vichwa vya sangara vilivyokaangwa inakua kwa kasi zaidi hasa kwenye mikoa yenye changamoto ya upatikanaji wa mboga kwa wingi
Mtaji wa kuanzisha biashara hii ni kiasi cha Tzs 370,000/- ambapo utapata kilo 100 za vichwa vya sangara. Mtaji huu unaweza kutoka kwa akiba binafsi,mikopo ya vikundi au wawekezaji binafsi
Kila kilo moja utachukua kwa Tzs 3700/- na kilo moja ya vichwa vya sangara hukupatia faida ya kuanzia Tzs 1500/- na zaidi kulingana na soko lako hivyo Kilo 100 zinakupatia faida ya kuanzia Tzs 150,000/- na zaidi
Mikoa k**a Manyara, Simiyu, Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro, Songea, Tabora, Katavi na Singida ni mikoa ambayo unaweza kufanya biashara hii kutokana na mahitaji ya mboga. Hii inafanya kuwa na soko la kudumu na lenye faida
Jiunge nasi kupitia WhatsApp Link group 👇
https://chat.whatsapp.com/IyfNU7G0ED91DAKf1IZ3MX
Biashara ya kuuza vichwa vya sangara vilivyokaangwa ni fursa nzuri kwa wale wanaotaka kuwezeka katika sekta ya chakula
ZINGATIA
✅ Mtaji wa kuanzisha biashara hii ni Tzs 370,000/-
✅ Faida ni kuanzia 150,000/-
✅ Tunakaanga samaki kwa mafuta safi ya kupikia
✅ Tunasafirisha samaki mikoa yote Tanzania
KARIBUNI SANA TUWAHUDUMIE
Click here to claim your Sponsored Listing.
Telephone
Website
Address
Mwanza
5656