IJUE AFYA YAKO
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from IJUE AFYA YAKO, Health/Beauty, Lugarawa, Njombe.
LUCAS HEALTH/BEAUTY/COSMETICS , TUNATOA USHAURI NA TIBA KWA MAGONJWA MBALIMBALI YAKIWEMO MAGONJWA YA MIFUPA,MISHIPA YA DAMU, KISUKARI,MAGONJWA YA WANAKWAKE,MGANJWA YA WANAUME, MAGONJWA YA NGOZI NA N.K
I have reached 100 followers! Thank you for your continued support. I could not have done it without each of you. 🙏🤗🎉
13/11/2023
19/03/2023
Je unasumbuliwa na tatizo la homoni imbalance???..
Je unashindwa kushika ujauzito 🤰??
Je huoni siku zako au zinabadilika badilika sana??
Karibu nikuhudumie0
Hujambo Rafiki... unajua nini kuhusu nguvu za kiume 🤔🤔🤔
09/07/2022
Je unataka kupandisha kinga ya mwili wako???
Je umekuwa ukisumbuliwa na magonjwa ya mara kwa mara??
Karibu lugarawa mjini karibu na geti la chuo cha LUHETI tukuhudumie
*BAADHI YA FAIDA ZA PURE AND BROKEN GANODERMA SPORES*
1.Inaongeza kinga ya mwili kwa haraka na huongeza hamu ya kula
2.Inasaidia kuondoa madhara ya mionzi ya tiba ya saratani(chemotherapy)
3.Inaboresha mzunguko wa damu katika mishipa mikubwa ya ateri(coronary atery)
4. Inazuia na kukinga matatizo ya moyo
5.Inasaidia mishipa ya moyo, mfumo wa upumuaji nk
6. Inasaidia mfumo wa ngozi na kuondoa mzio
7.Ni imara kushindana na virusi,bacteria,fangas, na wadudu
8.Inaondoa uchovu,Inasaidia kupandisha CD4 kwa haraka sana hivyo inasaidia hata wale waathirika wa ukimwi
9.Inasaidia kwa wenye tatizo la upungufu wa damu (anemia)
10.Inasaidia wote wenye matatizo na magonjwa sugu
11.Nzuri kwa watu wenye mzio (allergy)
12.Inalinda na kurekebisha INI
13.Inarejesha nguvu ya mwili na kuleta matumaini ya maisha yenye afya nzuri
14.Ni rahisi kuyeyushika
15.Inasaidia kuondoa sumu mwilini
16.Inarejesha nguvu na kuongeza afya katika mwili
17.Inasaidia damu iliyoganda iyeyuke
18.Inalinda na kusaidia figo ifanye utendaji wake wa kawaida
Simu/whatsapp:0676321091
HEBU FIKIRI KWA KINA..
Fikiri unaamka asubuhi bila maumivu ya aina yoyote na unafanya shughuli zako,ukiwa na Nguvu,Utimamu wa mwili na Kulala usiku usingizi Murua
Fikiri kila mara ndo hali wasikia mwilini wako?
UNADHANI NI NGUMU❓
DO YOU THINK IS IMPOSSIBLE ❔
Rudia Tena Kufikiri
Kuwa na sumu nyingi mwilini huweza Kukuacha na kujihisi maumivu,Uchovu, Mzito na mwonekano Usioupenda
Lakini Pia mrundikano wa sumu huweza kuwa chanzo au Mpasuko wa Magonjwa
k**a baridi yabisi, Kansa,Kisukari,Mzio(Allergies),kuumwa kila siku, uchovu usioisha
Ndo maana Unahitaji Detox (KUONDOA SUMU MWILINI)
JE UKO TAYARI KUJIFUNZA JINSI YA KUONDOA SUMU MWILINI ???
Huna haja ya kujaribu kila kitu unachoambiwa kwamba kinatoa sumu wakati hakijathibitika na wataalam wa afya inaweza kuwa hatari kwa afya yako
HABARI NJEMA ni kwamba kuna bidhaa ambayo imethibitishwa na imetengenezwa kwa maharagwe ya soya ambayo imekua msaada mkubwa sana kwa wote wanaotaka kutoa sumu kwenye miili yao na kufanya miili yao iwe mbali na magonjwa mbalimbali.
Pia unaweza kuongeza na kahawa yetu itakayosaidiana na bidhaa hiyo kutoa sumu na kupandisha kinga za mwili kwa haraka sana
Kawaida mwili unatakiwa usafishwe kwa kutolewa sumu angalau mara 2 au 3 kwa mwaka, ni sawa na gari unavyolipeleka garage kufanyiwa service, je wewe umeshajifanyia service mwili wako mara ngapi kwa mwaka ???
Ni ngumu kukwepa hizi sumu katika mazingira tunayoishi kila siku. Kufanya mazoezi,kunywa maji mengi, kula vyakula na matunda inasaidia kwa kiwango fulani lakini pia tunahitaji virutubisho ili kihakikisha mwili unakua msafi kabisa
Tafakari na uchukue hatua sasa..
Kwa msaada zaidi niachie ujumbe au nitafute ili nikusaidie
Simu/whatsapp:0676321091
SOMO LA BIDHAA YA PROBIO 3
*FAIDA YA KUTUMIA PROBIO 3*
➡️1.Kila sachet moja ina kalori 2000
➡️2.Ina bacteria wa asili
➡️3.Inaongeza nguvu ya kinga pia ina vitamin K,B6,B12
➡️4.Inakuza afya ya mfumo wa utumbo
➡️5.Inakuza afya ya uke na kupigana na fangas(candida) wanaowasumbua wanawake wengi
➡️6.Inaipa ngozi afya kwa kondoa k**a chunusi nk
➡️7.Inapunguza matumizi ya antibiotics sababu ina bacteria wazuri
➡️8.Inasaidia kuondoa vimawe katika figo(kidney stones)
➡️9.Humsaidia mgonjwa mwenye kansa ya tumbo na tumbo sababu ina bacteria wazuri wengi ndani yake
➡️10.Inapigana na bacteria wanaosababisha vidonda vya tumbo
➡️11.Hii ni antibiotic ya asili inayopendekezwa kwa watoto
➡️12.Inaondoa usugu wa mwili wa kutokukubali antibiotics
Bidhaa hii ni nzuri kwa watu wenye vidonda vya tumbo, gesi tumboni ,Inazalisha bakteria wengi wazuri tumboni nk
Ipo kwenye mfumo wa k**a unga unga
*Cerebrity Trainer*
*LUCAS MSIGALA
Sim 0677321091*
03/06/2022
Baada ya hapo chukua maji ya uvuguvugu, kitaulo kisafi na sabuni ya kipande “vizuri kutumia sabuni ya MAAJABU maana haina kemikali ” tumia kitambaa kuoshea uso wako pamoja na sabuni ya maajabu (K**a huna basi karibu ofisini kwetu ili uipate)
Basi baada ya hapo umekuwa umemaliza zoezi lako la usafi wa ngozi yako
Kumbuka njia hii aina madhara yoyote na haibadilishi rangi au muonekano wa ngozi yako na unashauliwa kufanya mara kwa mara ili kukupa mvuto zaidi.
Hakikisha haukosi sabuni ya maajabu ndani kwako maana sabuni hii na somo hili nililokufundisha utapata matokeo ya haraka sana kuhusu ngozi yako na muonekano wako kwa ujumla
*Simu/whatsapp: 0676321091
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Njombe
59418
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 08:00 |
| Tuesday | 09:00 - 20:00 |
| Wednesday | 09:00 - 08:00 |
| Thursday | 09:00 - 20:00 |
| Friday | 09:00 - 20:00 |
| Saturday | 09:00 - 20:00 |