IJUE AFYA YAKO

IJUE AFYA YAKO

Share

Tunatoa vipimo kwa 20,000/= tu na suluhisho ya magonjwa yote.

21/07/2023

Karibuni kumaliza suluhisho la ugonjwa wako

20/07/2023

IJUE AFYA YAKO~0693656547
Dalili za ugonjwa wa miguu kuwaka moto
Ugonjwa huu una dalili nyingi zikiwemo:
- Kuhisi ganzi,
- kuhisi kuchomwa na kitu chenye ncha Kali miguuni,
- kuhisi miguu kuwa na majimaji kwa ndani,
- joto Kali miguuni,
- kuhisi k**a unaungua miguuni,kushindwa kushika au kubeba vitu na maumivu makali.

Vitu/ mambo yanayoweza kupelekea mtu miguu yake kuwaka moto
Kuna mambo mengi sana yakiwemo:
- Uzito mkubwa wa mwili (hii husababisha uti wa mgongo kukaa tofauti na unavyostahili hivyo baadhi ya neva kukandamizwa na uzito wa mwili au misuli hivyo kusababisha miguu kupata maumivu na kufa ganzi.
- Matumizi ya baadhi za dawa zenye kemikali kwa muda mrefu au mara kwa mara mfano dawa za TB, HIV nk.
- Upungufu wa virutubusho mwilini hasa mkusanyiko wa Vitamini B
- Magonjwa ya sukari na Shinikizo la damu , magoti , mzio na fangasi
- Matatizo ya moyo
- Matatizo katika mishipa ya damu
- Ulevi wa kupindukia kwa muda mrefu

Jinsi ya kuepuka ugonjwa wa miguu kuwaka moto
- Kuwa na uzito unaoenda na na kimoja chako
- Fanya mazoezi ya mwili
- Kula chakula kinachokupatia virutubisho mwili hasa VITAMINI B
- Usafi wa viatu, sox na miguu
- Ondoa sumu au kemikali mara kwa mara mwilini

Matibabu:
- Kula vyakula vyenye mkusanyiko wa vitamini B za kutosha
- Fanya mazoezi ya mwili k**a kukimbia, Kutembea n.k pia kufanya massaging
- Punguza uzito uliopitiliza
- Tumbukiza miguu katika maji ya vuguvugu yenye chumvi
- Tibu maradhi ya sukari hakikisha sukari ipo sawa
- Ondoa sumu kali mwilini mara kwa mara
- Chua miguu yaki kwa vitu vinavyopunguza maumivu ,vinavyosaidia mzunguko wa damu kuwa Vizuri (paka Asali mbichi, shubiri na limao).

Karibuni kwa huduma na maelezo zaidi~0693656547

20/07/2023

Habari, tunafanya huduma ya vipimo ya mwili mzima kwa 20,000/= tu.
Pia tunatoa vipimo na dawa za UTI sugu,miguu kuwaka moto,pressure,kisukari,tezi dume,miwasho na matatizo ya ngozi,matatizo ya mifupa, maumivu makali sana ya kichwa(migraines),matatizo ya hedhi(kukosa hedhi,kuchelewa kwa hedhi, kua na hedhi mara mbili kwa mwezi,kupata hedhi mda wa ujauzito),harufu mbaya ukeni,maumivu kwenye uume,maumivu makali ya mgongo na viungo vingine vya mwili,matatizo ya ndoa(kutotunga mimba,kutofurahishwa na tendo la ndoa nk),miwasho sehemu za siri.
Huduma za massages, physiotherapy (mazoez ya viungo vya mwili) na ushauri zinapatikana.
Karibuni~0693656547

19/07/2023

IJUE AFYA YAKO~0693656547

HEARTBURN(KIUNGULIA)
Kiungulia kwa kitaalamu tunaita heartburn ni hali ya kukera inayosababisha maumivu makali kwenye kifua na upande wa juu wat umbo. Hali hii inaendana kwa ukaribu wa kupanda kwa tindikali(acid reflux). Kuantofauti kati ya acid reflux na heartburn, acid reflux ni kitendo cha kupanda kwa tindikali kutoka tumbo kurudi juu kwenye umio la chakula na kusababisha maumivu ya kifua ambayo sasa tunaita ni Heartburn. Kwahiyo acid reflux inaweza kusababisha heartburn. Kiungulia ni kitendo cha kawaiada kwa watu wengi na inatokea kwa kila mtu, lakini k**a tu haiambatani na maumivu makali ya kifua, k**a maumivu yakizidi kuwa makali na yanatokea mara kwa mara hapo ndipo tatizo huanza. K**a tatizo likiendelea zaidi basi hufikia hatua ya tatu na kuitwa gastroesophageal reflux disease kwa kifupi(GERD), kwa hiyo kadiri kiungulia kinachukua muda mrefu mapaka kuathiri tishu za umio tunaita GERD, GERD ni hatari zaidi kwa inaweza kusababisha saratani ya koo la chakula. Unapoona dalili hizi basi fahamu kwamba umeingia hatua ya ugonjwa kuitwa GERD. Dalili hizi ni k**a kupata shida kwenye kumeza chakula na vinywaji, kupata kikohozi kikavu chenye maumivu makali wakati fulani, kupata shida ya kupumua wakati flani, . mara nyingi dalili hizi za GERD huwa zinakuja usiku, kila siku ama kila baada ya siku kadhaa kwa mwezi.
Tatua tatizo lako sasa~0693656547

19/07/2023
19/07/2023

FAIDA YA MAFUTA YA SAMAKI 0693656547

Leo tuzijue faida chache za mafuta ya samaki katika mwili wa Binadamu kuanzia mtoto Hadi mtu mzima...
Faida zake Ni K**a ifuatavyo:-
~Ni Kinga ya mwili, inasaidia mwili kupambana na maradhi yanayoshambulia afya ya mtoto, mama mjamzito na hata unayejiona Ni mzima.
~Inaondoa tatizo la ukavu wa macho na kuimarisha afya yako ya macho.
~Huimarisha mifupa( husaidia watoto wenye matege kunyooka na kuwa sawa).
~Inaimarisha afya ya mfumo wa uzazi wa mwanamke (husaidia kuimarisha mayai ya mwanamke) na mwanaume (kuongeza afya ya mbegu na kufanya mwanaume awe na uwezo wa kurutubisha hasa kwa wenye tatizo la uzazi na wale wenye tatizo la premature ej*******on)
~Huzuia mimba kuharibika kipindi Cha ujauzito (pre mature)
~Huimarisha afya ya Ubongo wa mtoto...na ukumbuke mtoto usipompa vyakula vya kujenga Ubongo Ni shida baadae hata atakapokuwa shule. Jenga Ubongo wa mwanao Sasa kabla hajawa mkubwa maana kila kitu Ni msingi ukichelewa ndo Basi Tena.
~Husaidia kuondoa tatizo la kusahau
~Mtoto mdogo anahitaji Sana mafuta ya samaki sababu ya Uwezo wake wa kumkingana maradhi K**a ya moyo, cancer, pumu na miguu.
~Ni vyema visikose ndani kwako nasi tumekuletea mafuta ya samaki yaliyo na ubora wa Hali ya juu

Piga 0693656547

19/07/2023

Suluhisho la Magonjwa yote, Kisukari kinatibika ndani ya miezi mitatu tu na utatoa ushuhuda mwenyewe~0693656547

19/07/2023

Karibuni tunafanya vipimo vya mwili mzima kwa 20,000/= tu bila kujali ukubwa wa tatizo. Tunatoa ushauri wa afya.
0693656547

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Shinyanga?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Kahama
Shinyanga