Mwasiti NA AFYA
“� Neolife | Afya na Maisha Bora
� Bidhaa za afya | Tips & promos
karibu MWASITI NA AFYA
0614901892
SIFA ZA MWANAMKE ANAYEWEZA SHIKA UJAUZITO
✅ Sifa za mwanamke anayeweza kushika ujauzito / kupata mtoto:
1️⃣ Asiwe na maambukizi
Mwanamke anatakikawa asiwe na maambukizi kwenye mfumo wa uzazi 🌸 k**a:
UTI
PID
Fangasi
Bacterial vaginosis
Magonjwa ya zinaa
2️⃣ Asiwe na mvurugiko wa homoni
Mzunguko wa hedhi 🔴 ni kipimo muhimu cha uwezo wa mwanamke kushika mimba.
Hedhi isiyokuwa na mpangilio ni ishara ya hormonal imbalance ⚖️
3️⃣ Mayai yawe yanavuka
Ishara ya upevukaji wa mayai ni kupata ute wa ovulation 💧 unaoruhusu yai kurutubishwa.
4️⃣ Mirija ya uzazi iwe safi
Mirija ya uzazi isizibe 🚫, kwani kuziba hupelekea mayai kushindwa kukutana na mbegu.
5️⃣ Asiwe na ukavu ukeni
Majimaji ya uke 💦 husaidia mbegu kusafiri kwa kasi na kufika kwenye yai kwa urahisi.
6️⃣ Asiwe na uvimbe
K**a:
Fibroids (uvimbe kwenye kizazi) 🎈
Ovarian cysts (uvimbe kwenye vifuko vya mayai)
⚠️ Tahadhari:
Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango (vijiti, kitanzi, sindano, vidonge na hata P2) huathiri vibaya mfumo wa uzazi na wakati mwingine kusababisha changamoto za kushika mimba.
KARIBU UJIPATIE TIBA SALAMA KUTOKA NEOLIFE KWA KUPITIA KWA MWASITI NA AFYA
CALL ME 0614901892
NAWAPENDA SANA
22/08/2025
karibu ujipatie mbolea safi pia kwa wafungaji wa kuku inasaidia kuku kutaga mayai makubwa
wasiliana name kupitia 0614901892
PID
TEZI DUME
BLOATED(cyst)
HORMONES IMBALANCE
ADD CD4 37%
the solution is there
0614901892
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Singida
43301