Mariam Omari
06/05/2026
ndo mana mimi ukiniletea pgo za unafki spoi nakuambia hapo hapo na kam kukukomesha hapo hapo
penda sana mtoto wangu wapekee zakia ❤️
mtu unatembea k**a unavutwa!
yan hamn ki2 nachukia kam kuwa na rafiki mnakfi
10/04/2026
Nashukur mungu nakalibia kufka nilipokuwa napakimbilia wenzako tunapambqmia maisha we unapambamia umbea nani kaachwa nani kaolewa we mbona ndoa zako za kushnda. SASA NDOA TUNAZO NA KAZI TUNAZO HUTAKI AU
yan wa6u ni wanafki wanataman kukuona unadhuka kimaisha. mungu sasa anazid kunipandisha eeh mungu nakuomba uwaweke wanafki wangu ili waone mafanikio yangu
Laha ya shobo kushobokeana swz mshobokea mtu anajiskia iko ivo ukiniona wa nini mi nakuona wakaz gan uupoo
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Tanga
21