TIBA ASILI na Bibi KOKU
Bibi KOKU ni MAMAmtaalamu wa magonjwa na matatizo mbali mabli anatibu na kushauri binadam kuusu afya
Somo la leo na Bibi KOKU
+255746831832
KUCHEZA KWA MWILI.
Hii ni hali ambayo humtokea mtu kwa kutembea au kucheza au kutikishika baadhi ya sehem zake za mwili.
Nahii husababishwa na hali tatu.
1)Majini.
Wapo watu ambao sehem zao za mwili huwa zinatingishika kutokana na Majini waliyo nayo ndani ya miili yao.
Wengiwao watu wenye tabia huwa na walimu kisha majini waovu wakawa wapo kwenye mbinu za kutawala miili yao.
Na hili linatokana na uimara wa mwili wa muhusika unakuwa hauko imara hivo kupelekea majini waovu kuvaa mwili wao.
2)Sikhri mwilini.
Nawengine huwa ni uchawi ulotawala ndani ya miili yao baada ya kulishwa mavitu ya kichawi na mwili kupoteza kinga ya kujilinda na hatimae kutokea hayo.
3) Taarifa.
Wengine huwa ni taarifa ambayo wanapewa juu ya ishara flan ya jambo flani ila watu aina hii ni wachache sana wengiwao ni uchawi na majini.
Maelezo ni mengi kuhusu kucheza kwa mwili ila tutosheke na hayo nitajibu maswali yatayo ulizwa.
Allah aalam
03/02/2023
MMEA WA MGAGANI.
1.DAWA YA KUONGELEA KILA JAMBO NA KUDAI MADENI YAKO NA KUPATA KAZI KWA HARAKA ZAIDI,,Chimba mizizi ya mgagani Kisha pondaponda na uanike juani halafu ikikauka saga pamoja na sukari nguru na pesa ya noti ya kupewa bila kuomba.
MATUMIZI.
Tenga mafungu mawili hiyo dawa Yako fungu la kwanza utachanganya kwenye MAFUTA YA MVUTO halafu utakuwa unajipaka mwili mzima halafu fungu la pili utakuwa unaweka mdomoni Kwa manuizi uyatakayo hakika Kwa matatizo tajwa hapo juu utafanikisha Kwa urahisi sana.
2.ZINDIKO LA MJI,,Utaunguza mizizi ya mgagani pamoja na mti uliopigwa radi na mfupa digidigi na macho ya bundi pamoja na kifaranga cha ndege ambacho bado hakijaanza kuona Kisha utasaga.
MATUMIZI.
Ukitaka kuzindika mji wako utachanganya na mafuta ya Simba hiyo dawa Yako halafu utaweka kwenye chupa tano zile ndogondogo halafu utafukia Kona nne na katikati za mji wako Kwa manuizi ya kwamba mchawi akija asione mji wako.
FAIDA YA MBEGU ZA MABOGA
Jitibu ama kuzuia baadhi ya maradhi kwa njia ya asili kabisa ya utumiaji wa mbegu za maboga
Kwa ushauri na tiba za asili karibu sana
1.Kibofu cha mkojo.Mbegu hizi hutibu kibofu cha mkojo na imetumika kwa muda mrefu sana ktk swala hili has a kwa wanaume.
2. Kinga ya mwili.Kutokana na wingi wa madini ya zinc mbegu hizi husaidia kinga ya mwili ,husaidia ukuaji na kuondoa homa za Mara kwa Mara. Pia huleta usingizi kwa wenye tatizo la kukosa usingizi pia hufanya mwili kutochokachoka .
3.Nguvu za kiume.Habari iliyothibitika mbegu hizi ni zaidi ya supu ya pweza kwenye swala hili.
Mbegu hizi huongeza nguvu pamoja na manii kwa mlaji.pia hutibu nguvu hata k**a mlaji ana sukari nyingi kwa sababu mbegu hizi hushusha na kusawazisha kiwango cha sukari mwilini halaka sana.
4. Hutibu moyo.Watu wenye matatizo ya moyo ,presha zote mbili mbegu hizi ni tiba kubwa sana ya kutibu,kuimarisha na kusafisha moyo pamoja na mishipa yake.
5.Afya kwa Mtoto mchanga na mama mjamzito.
K**a chakula cha Mtoto kitasagwa pamoja na mbegu hizi basi Mtoto hataumwaumwa,atakuwa na afya,nguvu na kunawili. Pia husaidia Mtoto kupata usingizi .kutokana na kirutubisho cha omega 3 fat basi mbegu hizi
Huzuia pia mama mjamzito kuzaa Mtoto njiti ama asiye na afya.
6.Kinga ya saratani.
Mbegu hizi hukinga saratani zote mwilini.
7. INI na moyo.Ulaji wa mbegu hizi hutibu magonjwa ya moyo na INI na kuimarisha afya ya viungo hivyo muhimu sana.
8. Hutibu kisukari.
Kwa Mwenye kisukari akila kila siku mbegu hizi basi sukari itakaa vizuri na itashuka.
9.Tiba ya usingizi.
Kwa wanaokosa usingizi wajitahidi kula mbegu hizi.
10. Hupunguza KITAMBI na uzito.
Ulaji wa mbegu hizi ndani ya miezi mitatu itakuwezesha kupunguza kilo 20 hadi 30 pia hupunguza KITAMBI kwa njia salama na ya afya.
Matumizi
Hakikisha unatafuna robo kikombe cha chai kila siku.
Waweza kuzikanga kwa moto hafifu japo kufanya hivyo huonda mafuta ambayo ni muhimu sana kwa afya yako.
Pia waweza nunua ya unga ukawa unatumia
Somo la leo na Bibi KOKU
+255746831832
KUCHEZA KWA MWILI.
Hii ni hali ambayo humtokea mtu kwa kutembea au kucheza au kutikishika baadhi ya sehem zake za mwili.
Nahii husababishwa na hali tatu.
1)Majini.
Wapo watu ambao sehem zao za mwili huwa zinatingishika kutokana na Majini waliyo nayo ndani ya miili yao.
Wengiwao watu wenye tabia huwa na walimu kisha majini waovu wakawa wapo kwenye mbinu za kutawala miili yao.
Na hili linatokana na uimara wa mwili wa muhusika unakuwa hauko imara hivo kupelekea majini waovu kuvaa mwili wao.
2)Sikhri mwilini.
Nawengine huwa ni uchawi ulotawala ndani ya miili yao baada ya kulishwa mavitu ya kichawi na mwili kupoteza kinga ya kujilinda na hatimae kutokea hayo.
3) Taarifa.
Wengine huwa ni taarifa ambayo wanapewa juu ya ishara flan ya jambo flani ila watu aina hii ni wachache sana wengiwao ni uchawi na majini.
Maelezo ni mengi kuhusu kucheza kwa mwili ila tutosheke na hayo nitajibu maswali yatayo ulizwa.
Allah aalam.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Tanga