Dauda Herbs
Tunahusika na Tiba Asili Lishe na Virutubisho
17/02/2026
16/02/2026
Nasubiria comment yako nikujibu papohapo.
Jinsi ya kutibu Vidonda vya tumbo na Acid Reflux kwa tiba hii ya asili.
Wasiliana nasi kwa
+255653190699
01/02/2026
🌿 MORINGA: Mti wa Muujiza wa Himalaya 🌱
Kirutubisho cha asili chenye nguvu kwa mwili wako
Mwili wako unaomba virutubisho hivi!
✅ Sababu 7 za kutumia Moringa leo:
🛡️ Huimarisha kinga ya mwili
→ Ina zinki, chuma na vitamini C
⚡ Huongeza nguvu mwilini
→ Bila kuchoka au kushuka ghafla
❤️ Husaidia kusawazisha kolesteroli
→ Hulinda afya ya moyo
💪 Huimarisha mifupa
→ Ina kalsiamu mara 4 zaidi ya maziwa
🌏 Ina historia ndefu ya matumizi
→ Hulimwa katika udongo wa Himalaya kwa zaidi ya miaka 4,000
🔥 Hupunguza uvimbe na maumivu
→ Dawa ya asili dhidi ya uchochezi
✨ Huboresha ngozi na nywele
→ Vitamini A na E kwa mng’ao wa asili
🌱 Husaidia afya ya tumbo
→ Hupunguza gesi na huboresha mmeng’enyo wa chakula
📌 Faida ya ziada:
🍃 Majani ya moringa yana amino asidi 9 zote muhimu kwa mwili wa binadamu.
👉 Jinsi ya kutumia:
Ongeza unga wa moringa kwenye:
Smoothie
Chai
Saladi
🌿 Moringa ni multivitamini ya asili — inakusubiri!
19/01/2026
Faida 10 za Kiafya za Kitunguu Saumu
Faida za kitunguu saumu
Kitunguu saumu au kwa jina jingine huitwa kitunguu thumu (kwa jina la kisayansi: Allium sativum) ni aina ya tunguu la kulika ambalo hupandwa mahali pengi duniani. Kitunguu saumu kwa kiingereza: garlic.
Licha ya kwamba neno: “sativum” humaanisha “ya pori”, mimea ya spishi hii ambayo inamea porini pia inaoteshwa mashambani na bustani. Matunguu ya saumu hayako chini ya ardhi tu; mengine humea juu ya shina.
Kitunguu saumu kitiba kina matumizi mbalimbali. Kitunguu saumu kinatibu maradhi arobaini (40). Maradhi hayo kwa uchache ni k**a yafuatayo: shinikizo la damu, baridi yabisi, kuondoa sumu mwilini, kisonono, minyoo, bawasiri, maradhi ya mgongo, kichocho, malaria, homa za matumbo na kadhalika.
🧄Vitunguu saumu ni viungo ambavyo vinatumika sana jikoni katika mapishi kwa karne nyingi. Mimea hii ina faida nyingi za kimatibabu kwa sababu ya asili yake ya antibacterial na antiseptic. Moja ya faida yake hasa kubwa ya vitunguu saumu ni kwa sababu ya kuwa na, Allicin. Imesheheni madini k**a fosforasi, zinki, potasiamu, na magnesiamu. Vitamini C, K, Folate, niacin na thiamine pia hupatikana kwa wingi kwenye vitunguu saumu. Zifauatazo ni faida za vitunguu saumu:
1. Huondoa kikohozi, mafua na shida za masikio
Vitunguu saumu vina uwezo wa kuzuia kikohozi na maambukizo ya mafua. Kula karafuu mbili za vitunguu saumu tumbo likiwa tupu ina faida kubwa.
Kwa upande wa matatizo ya sikio, vitunguu saumu na mafuta ya vitunguu saumu ni tiba ambayo unaweza kujitibia nyumbani kwa magonjwa ya masikio. Kitunguu saumu kimesheni "antibacterial." Viambato viliomo ndani kitunguu thumu (kitunguu saumu) vina uwezo mkubwa wa kuzuia bakteria mbalimbali zinazohusika na maambukizi ya sikio.
Hata hivyo, kuweka kitunguu saumu au mafuta ya kitunguu saumu kwenye sikio lako kunaweza kusababisha athari ya ngozi yenye uchungu na inapaswa kutumiwa kwa tahadhari.
2. Nzuri kwa afya ya moyo
Allicin, kompaundi inayopatikana kwenye kitunguu saumu inazuia vioksidishaji vya LDL (cholesterol mbaya). Hii hupunguza kiwango cha cholesterol na inaboresha afya ya moyo. Matumizi ya vitunguu saumu mara kwa mara hupunguza matukio ya kuganda kwa damu na kwa hivy
VISUNZUA – DALILI NA VISABABISHI
Visunzua ni vijivimbe vidogo laini vinavyoota juu ya ngozi, mara nyingi katika maeneo yenye msuguano k**a shingo, kwapani, mapajani na chini ya matiti. Hivi vijivimbe si hatari, lakini huongezeka kadri muda unavyopita.
Dalili za Visunzua
Uwepo wa vijivimbe vidogo laini vinavyoning’inia juu ya ngozi.
Vinaweza kuwa na rangi ya ngozi au kahawia.
Haviumi, lakini vinaweza kuwasha au kuuma endapo vimebanwa, vimekwaruzwa au kusuguliwa.
Huongezeka kwa idadi au ukubwa taratibu.
Mara nyingi hutokea katika makundi kwenye shingo au kwapani.
Visababishi vya Visunzua
Msuguano wa ngozi kwa ngozi, hasa kwa watu wanene au wanaovaa nguo zinazobana.
Mzio wa sukari mwilini (insulin resistance) – watu wenye kisukari wako kwenye hatari zaidi.
Mabadiliko ya homoni, hususan kwa wajawazito au watu wenye matatizo ya homoni.
Urithi wa kifamilia – k**a wazazi wana visunzua, watoto nao wanaweza kupata.
Kuongezeka kwa umri – visunzua hutokea zaidi kwa watu wazima.
Uzito mkubwa au unene kupita kiasi.
07/12/2025
Mteja wetu amelipia nasisi tumemtumia Mziho wake mzigo unaingia Nairobi Leo
Popote ulipo tutakufikia ndani na nje ya Tanzania
06/12/2025
*SEMINA MAALUM KWA SIKU TATU ONLINE*
NINSEMINA YA MAFUNZO YA TIBA YA KUREFUSHA NA KUNENEPESHA UUME
UTAELEKEZWA HATUA MOJA MPAKA YA MWISHO YA JINSI YA KUANDAA TIBA HIYO KUPITIA ONLINE
KUJIUNGA NA SEMINA HIYO UTALIPIA ELF 45000 TU YA KITANZANIA
ELIMU YA MIMEA NI URITHI BORA NJOO NIKUPE URITHI HUU KWA NJIA RAHISI
DR DAUDA
0789887790
WhatsApp/Normal Call
Join Group now👇
https://chat.whatsapp.com/Hvho9cN6FbY36wprL904sY?mode=hqrc
05/12/2025
*Kuna haka kamzizi wazee ni balaa k**a hujawahi kwenda mwendo wa dakika 30-45-60 hebu leo kachukue nitakuonjesha kwa elf 7000 tu*
Hii ni kwa wale wanaotaka shoo kali shoo za kuvunja chaga💪💪🔥🔥
Full kurudia Round bila uchovu ni balaa 💪💪🔥🔥🔥
Achana na ma vi**ra na ma vicks rudi kwenye mizizi yenye nguvu za kutosha
03/12/2025
https://wa.me/message/NPZN23WSJ2UJN1
Nimeamua leo niwape offer ya punguzo la zaidi ya asilimia 35
💪🍆Hii ni offer ya Nguvu za kiume na ile ya Kurefusha na kunenepesha uume.
*Bonyeza hiyo link ili kupata offer yako*
K**a hupo serious na offer usiguse link hiyo plz
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Tanga