ASILI YETU
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from ASILI YETU, Health/Beauty, Tarime.
Sisi Tunatibu Kwa kutumia MIMEA mbali mbali Na tunazo dawa za kutibu maradhi SUGU k**a
✓kisukari
✓Moyo
✓Nguvu za Kiume
✓Fangas
✓Ugumba
✓Tezi Dume
✓Vidonda VYa Tumbo NK
call/whtspp 0755920740
30/01/2025
Ukiona tarehe ya hedhi imefika au kupitiliza na una uhakika siku za hatari hukufanya tabia mbaya, we tafuta tu kitunguu maji kimoja kikubwa au viwili vya wastani... Katakata kisha tia kwenye nusu lita ya maji moto kisha kamulia limao moja k**a lina maji au mbili k**a ni limao ndogo
Chuja na kunywa glass moja asubuhi na nyingine jioni
Unaweza tia asali ili kuongeza ladha tu
Ukifanya hivyo kwa siku tatu hedhi huanza kutoka
30/01/2025
Njia Ya Kuongeza CD4 Kwa Haraka Ukiwa Nyumbani
Inawezekana wewe ni mmoja wa watu ambao CD4 zao zipo chini kitu ambacho hupelekea kuumwa magonjwa kila siku
Hapa naenda kukufundisha njia nyepesi ya kuweza kupandisha CD4 zako iwe zimeshuka kutokana na ugonjwa, stress au chochote kile
MAHITAJI:
○Malimao makubwa sita (6)
○Majani makubwa manne (4) ya Alovera
○Tangawizi ROBO KILO
○Vitunguu saumu ROBO KILO
○Karoti ROBO KILO
MATAYARISHO:
Osha vitu vyote hivi vizuri kabisa halafu vikate kate vipande vidogo vidogo sana kisha weka kwenye sufuria au chungu chenye maji lita tano (5) na uweke jikoni vichemke
Chemsha k**a unavyochemsha chai mpk itokote kabisa, baada ya hapo epua chini, ifunike na uiache ipoe
Ikishapoa, chuja na uhifadhi maji hayo kwenye jokofu (friji)
MATUMIZI:
Mgonjwa au mnywaji anatakiwa kunywa nusu kikombe cha chai cha maji hayo kutwa mara tatu kwa siku kwa siku 12-13
Baada ya hapo anaweza kuwa anarudia dawa hii kila baada ya miezi 3 au zaidi kwa kadri atakavyoona inafaa
Kwa uwezo wa MUNGU atapata matokeo mazuri sana
Kwa ushauri na tiba mbalimbali usisite kuwasiliana nasi kwa :
Simu/whatsapp: +255755920740
30/01/2025
Siku zote ukisikia miguu inawaka moto fikiria nyanya za umeme wa mwili zinazopeleka umeme kwenye miguu. Hizi nyanya tunaziita neva za fahamu. K**a hizi nyanya zikipata shida (peripheral neuropathy) unasikia maumivu k**a kuwaka moto kwenye miguu.
Kuna vyanzo vingi vinavyosababisha shida hii. Angalia hapa na gundua ambayo inaweza kuwa inakuhusu
1. KUCHOKA
Hii huwapata wale ambao wanafanya kazi ya kutembea muda mrefu, kusimama muda mrefu au kukaa muda mrefu.
2. KISUKARI
Sukari nyingi kwenye damu inapelekea kuharibu mishipa ya damu inayozilisha neva za fahamu za miguuni na hivyo hizi nyanya zinaharibika.
Wakati mwingine k**a unashida ya miguu kuwaka moto bila sababu maalumu na isiyosikia matibabu, kapime sukari.
3. SUMU MWILINI
Unaweza ukawa umeingiza sumu mwili ambazo zinaathiri neva. Unaweza ukawa umeingiza kupitia chakula, vinywaji, unachojipaka, unachovuta nk
4. UPUNGUFU WA VITAMIN
Vitamin B12 na 5 ni muhimu kwa ajili ya afya ua neva za fahamu. K**a kuna upungufu inawezakupelekea kusikia dalili k**a hizi.
5. VYANZO VINGINE
Hivi sitavielezea, lakini vitakupatia wazo kuwa huenda ikawa ndio chanzo cha tatizo lako.
Ugonjwa wa figo
Athari za matibabu ya saratani (chemotherapy)
VVU/UKIMWI
Neva kubanwa sehemu (tarsal tunnel syndrome)
Kwa kuwa vyanzo ni vingi, ni muhimu kujua chanzo ni nini kabla ya kujaribu kutibu.
Chakula hai “chakula kinachotokana na mmea katika uasili wake” hakijawahi kumtupa mtu. Anza leo, wakati ukifuatilia kujua chanzo na kukitibu au/na kukiondoa. 0755920740 Dr George GRM HERBAL CLINIC
30/01/2025
wanavyofikiria.
Zipo sababu za kukosa choo, k**a ifuatavyo
Kupenda kula saana vyakula vilivyokobolewa k**a vile ugali wa sembe, mikate.
Ukosefu wa mbogamboga za majani na matunda ya faiba k**a machungwa huongeza tatizo hili,
kila mtu unatakiwa kula matunda aina mbili na mboga za majani aina mbili kila siku.
Matumizi makubwa ya pombe na sigara.
Unywaji mdogo wa maji, Kila mtu anapaswa kunywa maji kwa kiwango cha chini lita 3 kila siku na usinywe maji wakati unakula, kunywa maji nusu saa kabla au baada ya kula.
Matumizi mabaya ya madawa. Mfano dawa za presha, aleji n,k.
Kuugua kisukari au ugonjwa wa misuli.
Kansa ya utumbo mpana.
Yafuatayo ndiyo madhara yatokanayo na kokosa choo;
Unaweza kuugua saratani ya utumbo mpana.
Unaweza kupata tatizo la tumbo kujaa gesi.
Figo yako inaweza isifanye kazi vizuri.
Unawezasababisha magonjwa ya moyo.
Unaweza pata tatizo la kukak**aa mishipa ya damu ambapo utasababisha miguu kuwaka moto na ganzi miguuni au mikononi
Unawezasababisha magonjwa ya ini
Unawezapata kisukari NK
Whtspp 0783052340
30/01/2025
UKWAJU NA FAIDA ZAKE
Ukwaju ni tiba ya magonjwa mbali mbali
Mfano.
•majani ya ukwaju yanatibu fangasi, kusafisha kibofu cha mkojo, na kutibu maumivu ya viungo .
•Magome na mizizi .
Yanatibu tatizo la kukosa choo,
Matatizo ya tumbo na tumbo kujaa gesi.
•Tunda la ukwaju
Huondoa kemikali sumu au lehemu mwilini na kutibu tatizo la mmeng'enyo pia inaua bacteria na kuzuia wadudu wasikae katika ngozi.
•Ukwaju
Hutibu homa za mara kwa mara
•Matumizi
kunywa juisi ya ukwaju iliyowekwa unga kidogo wa binzari ya manjano.
•Wenye Kutibu. Ngiri/Hernia
Chemsha majani ya ukwaju kunywa kutwa mara tatu kwa siku sita utapona.
•Maumivu ya sikio
Weka.
Vitone viwili vya juisi ya ukwaju maumivu yatakata.
•Kuwasha kwa mwili au vipele mwilini.
Ponda Ponda .majani ya ukwaju.
Matumizi paka sehemu yenye matatizo utapona..
•Mwili kutoa harufu mbaya.
Chukua ukwaju ulainishe vizuri kisha paka kwapani, sehemu za siri na sehemu zozote zinazotoa harufu au mwili mzima.
•Kupunguza uzito na unene
Kunywa glass mbili za juisi ya ukwaju kila asubuhi nawe utapunguza uzito na unene.
•Upungufu wa nguvu za kiume
Kunywa juisi ya ukwaju glass moja asubuhi na jioni kwa majuma kadhaa
Mimea ipo kwa ajili ya chakula na dawa, endelea kujifunza, endelea kujitunza na hakika utafanikiwa ukiweka umakini.
K**a una changamoto ya uzazi au umejaribu kutafuta ujauzito (mtoto) bila mafanikio niandikie katika comments hapo chini, au inbox au km ni siri sana basi zungumza nami kwa simu au WhatsApp 0755920740
30/01/2025
JITIBU UTI, FANGASI NA PID KWA JUISI YA LIMAO.
Uwe na vitu vifuatavyo
LIMAO moja
Vitunguu Salumu punje 3 mpaka 5 uvikatekate
Andaa bakuli kamua maji ya LIMAO weka kwenye bakuli kisha changanya na hizo punje za kitunguu swaumu baada ya kuziponda na kulainika.
Kunywa asubuhi na jioni alafu utaleta majibu.
28/01/2025
VIAZI MVIRINGO unaweza tumia juisi yake kuondoa au kupunguza asidi au gesi tumboni + kuzibua mirija na kupunguza ukubwa wa uvimbe kwenye kizazi.
Juisi ya viazi mviringo inaweza kusaidia kupunguza matatizo ya figo, kisukari, unene au kitambi na wanawake wenye shida ya mirija kuvimba au kujaa maji unaweza kuitumia.
It's very simple katika maandalizi
Chukua viazi mviringo vinavyotosha kwa juisi.
Andaa kwa kuviosha na kumenya kisha katakata vipande vidogo kwa ajili ya kuvisaga kwenye blenda. Saga ili upate juisi uliyoikusudia, unaweza kutia sukari kidogo k**a huna asali.
Kunywa muda wowote unaojisikia, japo wengi wanapendekeza iwe asubuhi na usiku pia within three 3 weeks fanya check up juu ya tatizo ulilokuwa nalo
24/01/2025
DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️
1.🖇️ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.🖇️ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.🖇️ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.🖇️ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.🖇️ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.🖇️ Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.🖇️ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.🖇️ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.🖇️ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.🖇️ Kupata kikokozi kisichoisha
11.🖇️ Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.🖇️ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.🖇️ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.🖇️ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.🖇️ Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.🖇️ Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.🖇️ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.🖇️ Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.🖇️ Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.🖇️ Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.🖇️ Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.🖇️Kichefuchefu na kutapika.Nk
K**a Una dalili nilizozitaja hapo Juu Anza tiba ya Dawa yetu ya Gastric Powder Itamaliza kabisa Hali hiyo
Wasiliana nasi sasa uweke Oda Call/WHTSP/0740008940
23/01/2025
🎯MIZIZI YA MKUNDE PORI NA FAIDA ZAKE
✓Inasafisha kizazi
✓Inazibua mirija iliyoziba
✓ Inaondoa sumu kwa wale waliotumia sindano za uzazi/vidonge vya uzazi.
✓Inakomaza mayai kwa wale wenye tatizo la mayai kutokukomaa na kusababisha mayai kutokupevuka
✓ Inasogeza kizazi karibu kwa wale ambao vizazi vyao vipo mbali
✓Inatibu PID, Kubalance Homone, na kuondoa uvimbe Aina zote
✓Hutibu UTI na Fangas Sugu.
✓Miwasho SEHEMU za Siri na Kutokewa uchafu ukeni.
✓Maumivu wakati wa tendo la ndoa
✓Matatizo yote ya Hedhi NK
• Dalili mojawapo itakayokufanya ujue dawa hii ya mkunde pori inafanya kazi ni kwenda haja ndogo mara nyingi kuliko kawaida.
• Dalili nyingine ni tumbo kuvuta sana chini ya kitovu.
Usipoona dalili hizi usiogope maana ukubwa wa tatizo unatofautiana.
Chuma Mizizi au Unga wake kunywa asbh na Jioni
K**a utakosa Muda WA kuiandaa dawa hii, utaipata Kwa mawakala wetu,, Kopo moja NI elfu 25000 Dozi yake INATEGEMEANA na tatizo lako, Na daw yetu ya Mkunde Pori Imechanganywa na Zaid ya Dawa Aina nane ili kutibu tatizo kwa haraka
NB: KOPO MOJA SIO DOZI KAMILI
JIUNGE na Group LETU Kwa MAFUNZO zaidi.
https://chat.whatsapp.com/EAqpb1qsO2lHWCmltpwr2V
WHTSPP 0755920740
🎯UNAESUMBULIWA NA MSHIPA WA NGIRI.
👉 chukua dawa hizi changanya pamoja kunywa asubuhi na jioni kwa siku 28 atajalia utapona na utakua Safi kabisa
DAalili za Mshipa WA Ngiri
✓Korodani kuuma
✓Uvimbe kwenye kinena
✓Korodani kuvimba na kujaa Maji
✓Utumbo kushuka kwenye Korodani
✓Jogoo kunywea na kuwa mdogo
✓Maumivu Wakati WA kushiriki Tendo la Ndoa nk
dawa
👉 muchangoko kijiko kimoja
👉mlundalunda kijiko kimoja
👉 mkumbi kijiko kimoja
👉 mpingi kijiko kimoja
👉 kisaka uchawi kijiko kimoja
👉 mkunde Pori kijiko kimoja
👉mwifu kijiko kimoja
👉 changanya pamoja dawa zote hizi kunywa ujazo wa kijiko kimoja kwenye maji Moto au uji au chai utapona na utakua Safi
Ukikosa Muda WA kuiandaa , IPo Kwa mawakala wetu Kopo Moja NI elfu 20000/= Na kumbuka Kopo moja sio Dozi kamili,
Dozi kamili inategemeana na Hernia au Mshipa WA Ngiri yako iko katika Hali gani.
🎯JIUNGE NA Group LETU kwa MAFUNZO Za Zaidi
https://chat.whatsapp.com/EAqpb1qsO2lHWCmltpwr2V
Mawasiliano yetu
0755920740 au 0783052340
🎯DAWA YA BAWASILI.
kuna ya Kunywa na Ya Kupaka.
Tuanze na Ya Kunywa.
MAHITAJI
✓Unga WA Mizizi ya Mkunde Pori vijiko viwili
Habart Soda Vijiko viwili
✓Unga WA mbegu za parachichi vijiko viwili
✓Mjafari vijiko viwili
Unachanganya pamoja dawa zako, kisha unatumia kwenye maji Moto Nusu kikombe cha chai dawa kijiko kimoja cha chai, weka na Asali vijiko viwli tumia kutwa mara Mbili yaan asbhi na Jioni .
🌀DAWA YA KUPAKA KWA WENYE BAWASILI
MAHITAJI
✓Mafuta ya Mzaituni vijiko viwili
✓Mafuta ya Mlonge vijiko viwili
✓mafuta ya Kitunguu saumu vijiko viwli
✓Mafuta ya Tangawizi vijiko viwili
Kibiriti upele vijiko viwili
✓Unga WA Mafuu ya N**i vijiko vitatu
Unachanganya pamoja kisha utakuwa unapaka eneo Hilo kutwa mara Mbili
Whtspp 0755920740
TIBA YA KISUKARI NA DALILI ZAKE.
Tuangalie dalili za kisukari
✓Ganzi miguuni na mikononi pamoja na Miguu Kuwaka moto
✓Mwili kuchoka na doofika
✓ Kukojoa mara kwa Mara hasa Usiku
✓Kidonda Ndugu
✓Macho kuona Ukungu nk
NAMNA YA KUTENGENEZA TIBA YAKE.
✓Unga WA Majani ya ✓Mlonge vijiko vitatu
✓Uwatu vijiko vitatu
✓Unga WA Majani ya Mwembe bmvijiko vitatu
✓Unga WA Majani ya. Msafali vijiko viwili
✓Mjafari Vijiko viwili
✓Unga WA mbegu za Parachichi vijiko viwili
✓ Mkanda Chuma Vijiko vitatu.
Changanya pamoja dawa zako kisha utakuwa unatumia ASUBHI NA jioni kwenye Maji Moto Nusu Kikombe cha Chai , kijiko kimoja cha chai.
NB: Utakuwa unapima Sukari yako kila BAADA ya siku kumi na Moja , lakini kumbuka Kabla ya Kuanza tiba Pima Sukari yako ndipo uanze tiba
Tiba hii NI Kwa ajili ya Kisukari cha kushuka na cha Kupanda pamoja na magonjwa mengine.
Ukikosa Muda WA kuiandaa dawa hiyo IPo Kwa mawakala wetu karibu.
Whtspp 0755920740.
🎯FAHAMU ZAIDI KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO NA DALILI ZAKE (PUD)
Ugonjwa wa vidonda vya tumbo ni hali inayosababishwa na kutokea kwa vidonda kwenye ukuta wa tumbo au kwenye sehemu ya juu ya utumbo mdogo (duodenum).
Visababishi vya Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo:
Maambukizi ya Bakteria: Bakteria aina ya Helicobacter pylori (H. pylori) ni moja ya sababu kuu ya kutokea kwa vidonda vya tumbo.
Matumizi ya Dawa: Matumizi ya dawa zenye nguvu k**a vile NSAIDs (Nonsteroidal Anti-Inflammatory Drugs) k**a vile aspirin na ibuprofen yanaweza kusababisha uharibifu kwenye ukuta wa tumbo.
Sababu Zingine: Mambo k**a msongo wa mawazo na mfumo wa maisha usio na afya, k**a vile ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi au vyakula vyenye viungo vikali, vinaweza pia kusababisha vidonda vya tumbo.
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
Gesi tumbo, tumbo kuunguruma, Kichefuchefu, tumbo kuuma na kuwaka k**a moto, Choo kigumu, kukosa choo, kukosa hamu ya kula, Kiungulia sana, na kutapika Damu NK
Njia za Kuepukana na Vidonda vya Tumbo:!
Kubadilisha Mtindo wa Maisha: Epuka matumizi ya dawa zenye athari kwenye ukuta wa tumbo k**a NSAIDs, punguza ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na viungo vikali, na jitahidi kudumisha lishe yenye afya.
Kuepuka Vitu vya Hatari: Epuka uvutaji wa sigara na unywaji wa pombe.
Kudhibiti Msongo wa Mawazo: Kupunguza msongo wa mawazo na kujenga mbinu za kukabiliana na hali ngumu kunaweza kusaidia kupunguza hatari ya kutokea kwa vidonda vya tumbo.
Matibabu ya Mapema: Kupata matibabu sahihi mara tu dalili za ugonjwa huu zinapoanza kuonekana ni muhimu kuzuia matatizo makubwa zaidi ya kiafya.
🎯TUANDAE DAWA YETU YA VIDONDA VYA TUMBO na ACID KUPANDA KOONI (ACID REFLUX) ( GASTRIC POWDER)
✅Asali Mbichi robo lita
✅Unga wa alkasus vijiko vitatu vya chakula
✅Unga wa habbat souda vijiko viwili vikubwa
✔️Unga wa Mbegu za Parachichi vijiko viwili.
Changanya vyote hivyo na hiyo ndo dawa.
MATUMIZI
Chota vijiko viwili vya dawa, changanya kwenye maji moto kisha subiri ipoe halafu kunywa. Tumia mara mbili kwa siku hadi dawa yako iishe
Dawa hii ni kwa ajili ya wale wenye
Gesi nyingi tumboni
Gesi ya kupanda kooni (Acid reflux✅)
Maumivu ya tumbo ya mara Kwa mara
Figo
Ini
Miguu kuwaka K**a Moto
UTI na Fangas sugu NK
DALILI ZA GESI KUPANDA KOONI
(ACID REFLUX)
✓Vidonda kooni
✓Moto kuchoma kooni
✓Kitu Kubana kooni
✓Kukohoa Makohozi mazito
✓Ulimi kuwa wanjano
✓Tumbo kukaa Gesi na Kuwaka k**a Moto kifuani.
Ukihitaji ilioandaliwa IPO, Kopo Moja ni elfu Elfu 20000 dozi ni Kopo Nne (4) tu kwa tatizo la Gesi ya kupanda kooni, kwa matatizo mengine wasiliana nasi utapangiwa dozi kamili kulingana na tatizo lako.
Jiunge na group letu Kwa mafunzo zaidi
https://chat.whatsapp.com/EAqpb1qsO2lHWCmltpwr2V
Jiunge na group letu ujifunze zaidi.
🎯TUANDAE DAWA YETU YA DETOX POWER
KAZI yake
✓Kuondoa Sumu Mwilini
✓Kupunguza Kitambi na uzito
✓Kuondoa Minyama UZEMBE nk
Mahitaji
Unga wa Sanamaki vijiko viwili
Unga wa Tangawizi vijiko viwili
Unga wa Mbegu za Parachichi vijiko viwili
Unga wa mdalasini vijiko viwili
Changanya pamoja Unga wako
MATUMIZI
Chota vijiko viwili vya dawa, changanya kwenye maji moto kisha subiri ipoe halafu kunywa. Tumia mara mbili kwa siku hadi dawa yako iishe.
Msomaji wangu ukihitaji DETOXY iliotengenezwa tayari IPO na gharama yake ni elfu 20000 tu dozi ni kopo tatu.
Kwa WALE WANENE Yaani WENYE mwili mkubwa, PIA KWA AKINAMAMA WENYE MATUMBO MAKUBWA, Dawa hii inaondoa kabisa Minya uzembe NA KUONDOA VITAMBI , dozi yake ni kopo tatu tu (60000).
Kwa matibabu ya vidonda vya tumbo na Magonjwa mengine tupigie kwa namba 0755920740 au 0783052340.
21/01/2025
Click here to claim your Sponsored Listing.