Dkt kimamla

Dkt kimamla

Share

napatikana yombo kilakala

09/06/2025
26/06/2022

ASSALAM ALAYKUM LEO NAWALETEEN SOMO LAKUFUNGUA VIFUNGO KUTUMIA N**I

uwo ndio mfano ukiataka kumfungua mtu alio fungwa vifungo vya kichawi

Upate n**i 7 alafu upate kucha nywele mchanga wakisisila n**i moja utandika alamnashirah kwa kufarakanisha mana yake moja moja kisha utaitoboa utaingiza ndani nywele kucha naule mchanga kisha utaziba nanta n**i ingine utandika abjadi uta rudia mara 3

Utasoma yasini 7 yasini sita utasoma yote ile yasaba ukifika kilamubinu utachukua n**i utaisomea alamnashrah kimi 11 kisha unuiya uta pasua ile n**i ulio andika alamnashirah ndio ita kua yamwisho

Kwauwezo wa allah vifungo vyote vyakichawi vita funguka

Wako babu jafaly kwamaswali wasap namba njoo inbox 0787778859/0712008833

24/06/2022

ASSA LAAM ALAYKUM VP HALI ZENU

LEO NITAWALETEA KAFALA LAMFALAKA KUMFARAKANISHA MTU NAMTU AU MTU NABOSI WAKE

1. chukua zafarani nye kundu changanya na maji yanajisi yakalo lachoo cha nganya nazafalani ndio ufanye wino wakuandikia

Andika katka karatasi nyeupe 3 siku yajuma mosi saa 7:30 adi saa 8:30 kisha baada yakua ndika chukua haltiti / kibiliti upele/ manyoya yapaka/ manyoya yapanya / changanya zote kiasi weka katika karatasi ufunge k**a ilizi au azima
Dawa ulio bakisha ndio ufanye fusho lakufushia

Kipindi unafusha utasoma surati idha zulzilati mwisho ashtata utarudia mara 3
na utaisomea suraiyo mara 21 k**a uwezi kusoma utatia niatu au manuizo yako uyatakayo

Kisha karatasi

1. Moja kazike kabulin
2. Yapili kazike jalalan
3. Kazike jikoni ambapo moto mudaote unapatikana

Usisaau kuandika jina unae mkusudia
Aitopita wiki watakimbizana kwa uwezo wa allah ukishindwa muone babu jafali

Kwamawasliano

0787 778859/ 0712008833

20/06/2022

ASSALAAM ALAYKUM VIP ALIZENU AMJAMBO JAMANI LEO NAWALETEENI SOMO LA MWIZI AKIIBA AUTO TOKA MBAKA ARUDISHE ALICHO KIIBA UZIKE MAHALI ALIPO IBA

andikasiku yajumanne au juma mosi saa yadhohali au saa yakifungo andika kwakutumia wino mweusi au kwapeni nyeusi kisha fukiza kwa ubani shali naubani maombi pindi unafusha una somea tabatiada mara 21 kwa manuizo wako babu jafaly kwama wasliano

0787778859 / 0712008833

19/06/2022

ASSALAAM ALAYKUM VP HALI ZENU NDUGU ZANGU LEO NA WALETEENI AZIMA KUBWA SANA AKIVAAMTU AWEZI KUPATWA NACHOCHOTE ATAK**A AKITILIA UCHAWI KWENYE CHAKULA UKIMEGATU SAHAN AU BAKULI INA PINDUKA AU INA MWAGIKA

andika muda wazohali siku ya jumanne saa 4 asubuhii au saa 6 mchana au juma mosi saa 1 asubuhi au saa 8 mchana

11/06/2022

ASSALAAM ALAYKU NDUGU ZANGU WAPENDWA VIPI HALIZENU LEO NA WALETEEN SOMO KWA WALE WANAO SUMBULIA NAWAPENZI WAO UMEKIMBIA AU KUMVUTA MTU ALIE MBALI AWE MUME AU MKE UNA TONGOZA UNA KATALIA BASI NJIA NYEPESI SANA NARAHISI

1. Kiandike kitarasimu ichi chachin kili cho kua k**a msitali kiandike kwa pen nyekundu au zafalani nyekundu au maka pen nyekundu ukisha andika tayali uta zungushia jina la mtu unaemtaka kumvuta najina lako na manuizi

Kisha uta somea surat fatih 7 surati nnasi 7 surati lfaraqi 7 utafusha naubani zuhura naudi wavijiti kwasababu sulahizi zinauwezo wakuvunja vipinga mizi navifungo

UKisha maliza kufusha uweke katika kibatali kipiya uwe ndio utambi wake uweke ndani yake vijiwe 7 vya chumvi mawe

Piya unga wamlipu
Unga wamvuto

Kisha ikifika saa 6 usiku utakiasha icho kibatali kwamanuwizo yako uya takayo

Utaona maajabu
Wabillah taufiQi wako babu jafaly

10/06/2022

ASSALAM ALAYKUM ABALI ZASAIZI NDUGU ZANGU MNAOMFATILIA BABU JAFALY

LEO NAWALETENI HILIMUHIMU SANA

1. K**A MTU ANASUMBULIA NAKOSI MWILIN AU NUKS AIZA UNAKIMBIA NAMKE AU MPNZ UNAKATALIA UWOLEWI KILA UNAE KANAE UNA KIMBIA UNACHUKIA NAWATU

2. CHUKUA N**I
3. UNGA WA MFUNGUO
4 UNGA WA MCHEKEA
5. UNGA WA MVUTO
6. UNGA WA MWEZYA
7. UNGA WA KACHILI
8. KITAMBAA MITA CHEUPE2
9. KITAMBAA ROBO CHEUPE

sasa unisikilize k**a unae mfanyia dawa ni mwa namke chukua kifuu jike kile kina macho matatu k**a unae mfanyia ni mwanaume chuka kifuu dume ambacho kinancha

uki pasua maji yake uta yakinga katika chombo
Alafu utachukua kifuu kimoja utakikuna k**a nilivyo ele keza apo☝
utacha nganya nadawa izojuu pamoja nayale machicha
kisha chukua kitambaa chamita 2 ukitandike chini uvuwe nguo zote ukae katika kitambaa
Kisha chukua ayo machicha ulio changanya nadawa uji sugue mwili mzima ukisha maliza chukua tambaa charobo uji futie zile taka
Ulizo jisugua kisha vitambaa ivyo uvikunje pamoja kisha chukua dawa ulizo bakisha ucha nganye namaji ukaoge kisha vile vitambaa katupe jalalani ukitupa usi geuke nyuma
Insha allah utaona majabu na mwili wako utakua msafi

ASANTEN SANA KWAKUNIFATILIA BABU JAFALY KWA MSAADA ZAID WASLIANA NAMI
KWA 0787778859 / 0712008833 NAMBA ZOTE ZIPO WASAP

10/06/2022

ASSALAAM ALAYKUM NIPO KIMIY SANA MAJUKUMU YAMENI TINGA

LEO NAWALETEENI TARASM LAMAPENZI KU MVUTA MKE AU MUME KWA WALE WALIO KIMBIA AIZA NAWAPENZI WAOO

ANDIKA TARA SIMU HIIYO KWA WINO MWEKUNDU AU PENI NYE KUNDU UPATE KIBATARI KIPYA NDANI YAKE UWEKE VIJIWE SABA YACHUMVI YAMAWE NAUNGA WAMLIPU NA WAMVUTO KISHA UPATE KITAMBAA KILICHO BAKI KATIKA KUOSHEA NDIO UTAMBI WAKE

IYO TARASIMU UTANDIKA KATIKA KITAMBAA NAJINA LAMTU UTAKAE KISHA UTAWEKA MAFUTA UTAKUA UNAKIWASHA KUANZIA SAA 6 USIKU KWAMANUIZI UYATAKAYO UTAONA MAAJABU

K**A UKUFANIKIA BAAI UJUE UYO MTU ANAKIFUNGO AU WEWE MWE NYEWE UNAKIFUNGO

KWAMA WASLIANO AIDHA MSAADA ZAIDI WASLIANA NA DKT BABU JAFALY

KWANAMBA 0787778859 AU 0712008833

NAMBAZOTE ZIPO WASP

ASANTENI SANA

22/05/2022

ASSALAAM ALAYKUM NAPATA MASWALI MENGI SANA KUHUSU MTU AKIBIA ILI MWIZI ARUDISHE JE UFANYAJE ALICHOIBA KIRUDI

1. Soma yasini sita yasaba kila mubinu utafungia utumbo ukimaliza fukia katikati yanjia panda hakika kili cho ibia kitarudi kwauwezo wa allaha

15/05/2022

ASSALAAM ALAYKUM NDUGU ZANGU MNAONIFATILIA BAJAFY NAPATA MASWALI MENGI SANA KUHUSU WATU WANAODAIWA LAKIN AWALIP MADENI JE TUFANYAJE SULUHISHO NIHILI LATATIZO LAKO

KUMTUMA KHUDAM AU JINI KWENDA KWAMTU UNAYO MDAI FANYA HIIVI

1.andika tarasimuhii katika karatasi nyeupe na utaisomea mara 1000 utafusha naubani jawi naudi kisha baada ya kukamilisha uta uweka uwo upete chini yakichwa chako utalalia

Hakika wakhudamu atatoka kwenda kwa yule umtakae watasema kumwambia
Sisi ni khudamu ( fulani katutuma) kwako mkidhie haja yake au deni lake lasivyo tuta kuuwa wala hatutorudi kwake mbaka utua hidi k**a utamlipa deni lake k**a utotimiza ahadi yako tuna kuua hii ndio dua utakayo isoma

شمیح شویخ یاریخ یانوخ باشوخ وءنت یانورش اذھبوا کذآ ھذہ اللیلۃ ادخلو اعلیہ وزلزلوہ وارعبوہ حت یقض حاجت وھی کذآ ویکون العمل فی محل خال من الناس وفی ءی وقت ولاتبح بہ لایاآحد من الجھال وھذا ھو

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Temeke?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Kilakala
Temeke
TIBAASILI