sesilia.lazaro

sesilia.lazaro

Share

Afya na jamii

02/01/2024

VYAKULA VYA KUOBGEZA NGUVU ZA KIUME.
Tatizo la nguvu za kiume, limekuwa likisumbuwa vijana wengi sana, na hii ni kutokana na namna ambavyo vijana wengi wanaishi. Miongoni mwa matendo na tabia za vijana huwenda ikawa ni sababu tosha ya kuwa na tatizo hili. Yapo mabo mengi sana yanaathiri nguvu za kiume. Pia unaweza kubadili utaratibu wa maisha unaoishi na mambo kiu wasa baada ya muda.

Je na wewe ni mwenye kukabiliwa na tatizo la nguvu za kiume. Je unaishia bao moja kisha basi, ama unacheza ndani ya dakika 3 ama hufiki kisha basi? Makala hii ni kwa ajili yako. Hapa yutakwenda kunagalia vyakula vizuri kwa kuongeza nguvu ya kuime. Pia tutaona maadui zako wanaoweza kuathiri nguvu za kiume. K**a utakuwa na maoni ama maswali zaidi, tuwachie hapoo chini:-

Mambo yanayopunguza nguvu za kiume
1.Kupiga punyeto
2.Kuwa na misongo ya mawazo
3.Kuwa na uwoga wakati wa kushiriki tendo
4.Matumizi ya vidonge vya kuongeza nguvu za kiume
5.Kuwa na maradhi k**a kisukari na presha ya kupanda
6.Umri
7.Vyakula
8.Kutofanya mazoezi

Njia za kuongeza nguvu za kiume
1.Badili mfumo wa vyakula vyakula salama kwa nguvu za kiume.
2.Fanya mazoezi ya mara kwa mara
3.Punguza mishongo ya mawazo
4.Jiamini unapoliendea tendo
5.K**a unatumia vidonge vya kuongeza nguvu za kiume, jaribu kupunguza matumizi ama kuacha
6.Wacha kujichuwa ama punguza
7.Jitahidi kudhibito kisukari ama presha ya kpanda.

Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume.
1.Maharagwe ya soya
2.Mbegu za maboga
3.Karanga
4.Korosho
5.Samaki
6.Nyama
7.Kuku
8.Matunda epo
9.Mboga za apricot na brocol
10.Kabichi
11.Karoti
12.Kitunguu thaumu
13.Mimea jamii ya kunde
14.Kitunguu maji
15.Pilipili kali
16.Viazi vitamu
17.Nyanya
18.Mayai
19.Mbegu za chia
20.Chokoleti
21.Siagi
22.Asali
23.Tangawiz
Maji

27/12/2023

Ukiona wawili tumedumu ujue nampemda ananipenda ♥️❤️

27/12/2023

Heri ya merry Christmas 🌲🌲 na mwaka mpya ?nawapenda ♥️ fancy

30/09/2023

Kuku
Chipsi
Mahundi ♥️

30/09/2023

❤️❤️❤️❤️❤️

08/07/2023

Happy

10/02/2023

*"Kazi kuu za Polysaccharides".*
*🦅INAPAMBANA na CHANZO na DALILI SIO DALILI TU 🦅*
● Inaondoa na kutokomeza tatizo la kutokwa uchafu sugu wenye harufu ukeni.
● Inaongeza ufanisi wa *mfuko wa mayai(Ovary).*● Inapunguza madhara ya mionzi (chemotherapy)
● Inaondoa milelea vyote na fangasi ukeni
● Inaongeza hamu ya tendo la ndoa.
● Inadumisha Afya ya uzazi na kukinga zaidi magonjwa mbalimbali yanayoshambulia via vya uzazi.
● Inarudisha na kudumisha kinga za mwili kwa waliougua mda mrefu.
● Inatibu na kutokomeza tatizo la PID sugu na UTI sugu. ●Polysaccharide K (PSK) and Polysaccharide Peptide (PSP) ambazo husaidia kuondoa seli zenye vimelea vya saratani na kuzuia visisambae mwilini.
● Inasawazisha homoni mwilini na inaondoa tatizo la Homoni Imbalance.
●Hufanya MWANAMKE kupata Ute Ute lakini wakati wa TENDO la NDOA.
●Hutibu na kuyeyusha uvimbe kwenye kizazi na kuweka kinga zaidi.
●Inasafisha uzazi na kufungua mirija ya faropiani.
Hii inawafaa Sana wanaotaka kusafisha uzazi.
●Hutibu tatizo la ugumba maana hukomaza mayai na kusawazisha acidi ya uke.
●Hutibu tatizo la maumivu ya kiuno, tumbo na mgongo wakati wa hedhi.
● Inatibu tatizo la maumivu wakati wa TENDO la ndoa.
● Inabolesha Muonekano wa Ngozi yako.
● Hutuliza homa ya typhoid
Viungo vyake.
● Polysaccharides

*Nani anaweza kutumia Polysacharides?*
● Wenye kinga ndogo za mwili.
● Wanaofanyiwa chemotherapy
● Waliougua Muda mrefu
● Wagonjwa wa saratani.
● Wenye matatizo ya homoni imbalance.
💐 Wenye tatizo la kuharibika kwa mimba
💐Huondoa uvimbe kwenye mayai(Cyst) na kizazi (fibroids/mayoma)
💐Kutibu chango la uzazi.
💐 Maumivu wakati wa period au kutopata period kabisa au kujirudia kwa period mara mbili.
💐Inasaidia kushika mimba kwa urahisi
💐Inasaidia wanawake wajawazito kujifungua salama
💐Inasaidia waliojifungua kupona haraka
💐 Inatibu kansa aina zote hatua 1&2
💐Pia inaondoa aina mbali mbali za uvimbe mwili bila kufanya upasuaji, vimbe k**a vile Rovu ( Goita/Goitre ) , Tezi Mbali Mbali na Tonses".
Fika ofisini kwetu maana kila mkoa tuna ofisi.
Mawasiliano:
Whatsap/Call

09/02/2023

*Uric acid ni nini ?*

Uric acid hizi ni chemikali ambazo hubabwajwa na figo pindi ya ucheketaji wa mkojo_hivyo hizi chemical zinapokuwa ninyingi figo hushindwa kuzichuja kwa ufasa na kufanya uric acid kupenyeza kwenye damu na hivyo kusamba kwenye joints na hapa mtu anapata gaut ya uric acid kwenye joints sijui umenielewa ?

Sasa ukweli ni kwamba !
Uric acid hii, mara nyingi huanzia kwenye tabia za maisha ya watu
*MFANO*
- Wewe una uzito kupitiliza figo nayo hupunguza uwezo wa kuchuja uric acid lazima utapata gaut.

- wewe una kisukari figo inakosa nguvu ya kuchuja uric acid lazima hapa upate gaut

- Wewe unapenda kumeza dawa za pressure au maumivu k**a Asprin lazima upatw gaut sababu zinazui figo isichuje uric acid kwa ufasaha.

- Wewe una penda kula nyama,pombe,kahawa,samaki na figo lako ni dogo haliwezi kuchuja uric acid kwa ufasaha lazima ugue gaut

- Wewe uzito umekuwa mkubwa na kitambi labda unacho figo inapungua uwezo wa kupunguza uric acid sababu linakuwa limekandamizwa na uzito au kitambi hivyo lazima upate gaut

- Wanaotumia madawa ya T.B au HIV mengi yana Sulp- hapa kupata gauti ni kawaida sana sababh sulp huwa inablock chain na kuunda ammoium zaidi kwenye figo na ndio sababu hupatwa na mawe hadi kwenye figo.

*Acha matumizi ya madawa ya hospital gout inatibiwa na virutubisho pamoja na chanzo chatatizo

08/02/2023

Karibu nikusaidie

26/01/2023

*☔KUHARIBIKA KWA MIMBA (Miscarriage)*

Kuharibika kwa mimba ni hali ambayo mimba imetungwa tayari yenye wiki 28 au chini ya hapo kuharibika au kushindwa kuishi ndani ya tumbo la mama hivyo hupelekea kiumbe kutoka nje ya kizazi, kwa kiingereza hujulikana k**a *Miscarriage*, kawaida mtoto wa umri huo hataweza kuishi nje ya tumbo la mama

Zaida ya Asilimia 80 ya mimba huharibika katika miezi mitatu ya mwanzo (wiki 12) baada ya miezi hiyo kupita hatari ya mimba kuharibika hupungua

Tatizo limezidi miaka ya hivi karibunikutokea mara kwa mara na kupelekea kupotea kwa matumaini ya kupata watoto

*🥬Mimba imegawanyika katika vipindi vitatu*

🍃Miezi mitatu ya mwanzo ambayo mtoto hujishikiza

🍃Miezi mitatu ya katikati

🍃Miezi mitatu ya mwisho

*Watalamu wa Afya katika tafiti nyingi wanaeleza kuwa mimba nyingi zaidi huharibika mapema kabla hata mama hajajua kuwa alikuwa na Mimba*

*SABABU ZA MIMBA KUHARIBIKA KATIKA MIEZI MITATU YA MWANZO*

🍃Hormone imbalance,

Kumbuka hormone ndio hufanya kazi tangu kutungwa kwa mimba, kuandaa kizazi na upandikizaji hutegemea sanaa nguvu za hormone ( oestrogen and progestrogen)

Hivyo basi mvurugiko wa hormone hupelekea kutozalishwa kwa mizizi ambayo huzalisha kondo ili mtoto kujishikiza vema hali hiyo hupelekea Mimba kuharibika

🍃Sababu za vinasaba,

Haya ni masuala ya kurithi kutoka kwa wazazi wenyewe kwa mfano shida za _rhesus_ _factor_, hizi hasa ni pale mama anapokuwa na damu negative (-) na baba anakuwa na positive (+)

Hupelekea shida ya kuharibika kwa mimba kila mara hasa kuanzia mtoto wa 2 hivyo ni vema kufika hospitali ilikuweza kusaidiwa na sindano ya Anti-D

🍃Matumizi ya dawa kali bila ushauri wa daktari

Hasa hizi dawa za antibiotic zinazotibu malaria katika umri huo wa mimba chanaga ni hatari

🍃Magonjwa kwa mama mjamzito pia

*P.S* Hatari ya kuharibika kwa mimba baada ya hapa hupungua

*Sababu baada ya miezi mitatu na kuendelea*

🍬Kulegea kwa shingo ya kizazi

Hapa mimba huanza kukua hivyo huhitaji kizazi Imara ambacho kitaweza kuibeba, wakati huu Shingo ya kizazi inatakiwa iwe imekaza, k**a imelegea mimba itaporomoka

🍬Maambukizi ya magonjwa ya zinaa k**a PID, kaswende, pangusa, Uti, na mengine lakini pia shida za kisukari au malaria makali huleta madhara

🍬Shinikizo la juu la damu ( High blood pressure) hapa miezi mitatu hasa ya mwisho

🍬Vilevile watalamu wanasema hewa chafu inaweza kupelekea hiyo hali

*🍇DALILI YA MIMBA KUHARIBIKA*

⚙️Maumivu makali ya tumbo, kichwa na mgongo wa chini kwa pamoja

⚙️Mafua makali , kutapika mno, kuishiwa maji na kikohozi

⚙️Kupata damu ya bleed ( damu hii huwa tofauti na damu ya kawaida)

⚙️Kutokwa na uchafu unaoaminika kidogokidogo kutoka ukeni

⚙️Kupungua dalili za kuwa na mimba, kujiskia kawaida na k**a mimba imeharibika kabisa dalili hizi hukoma

*MHIMU:* Unapokuwa na mimba jaribu kuweka ukaribu zaidi na mhudumu wako wa Afya ili kuepuka madhara makubwa ya tatizo hilo

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Temeke?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Mlimani City
Temeke