Tatu Omari

Tatu Omari

Share

Natoa huduma za afya ya uzazi kwa kina baba na kina mama bila kusahau urembo wa ngozi pia

11/08/2026

Full package ndogo 35,0000
Full package kubwa 65,0000
Malesma 180,000

Wasiliana nami kwa namba hii 0672342933 WhatsApp pia inapatikana

Tatu Omari

06/08/2026
06/08/2026

Bado siku 2 ofa ya nane nane iishe.

Jiwahie ofa yako sasa

0672342933 Whatsap pia inapatikana

04/08/2026

Aya wahi ofa yako bosi wangu, mama MAOFA sinaga hiyana.

Wasiliana nami kwa 0672342933 Whatsap pia inapatikana

Tatu Omari @

30/07/2026

Package ndogo 35,000
Package kubwa 65,000
Melasma 180,000

Wasiliana nami kwa 0672342933 Whatsap pia inapatikana

19/07/2026

Bosi wangu usiendelee kuteseka na changamoto za ngozi, hii ndio habari ya full package ya mama MAOFA .

Full package ndogo 35,000

Full package kubwa 65,000

Package ya kuondoa Malesma 180,000

Tunakufikia popote pale ulipo duniani

Wasiliana nasi kwa 0672342933 Whatsap pia inapatikana

18/07/2026

Habari followers wangu.

Wengi wameniomba kwa muda mrefu nitoe hii huduma ya masuala ya mahusiano, nilikuwa nasema nipo busy hii kazi inahitaji sana niwe na muda lakini maombi yamezidi sana leo nimeona nikubali.Tunaanza na hiki kitabu (ebook).

"Siku 14 za Kufuta Machozi: MWONGOZO MADHUBUTI WA KUPONA BAADA YA ya KUACHWA AU KUKATALIWA KWA KINA BABA NA KINA MAMA".

Najua unahisi nini kwa sasa. Unahisi kuna kitu kizito kimekaa kifuani kwako, pumzi haitoki vizuri, na chumba chako kimekuwa kirefu sana tangu neno hilo lilipotamkwa: "Mimi na wewe basi."

​Umeangalia simu yako mara mia moja leo ukihisi labda atatuma meseji ya kusema 'Ilikuwa utani,' lakini simu imebaki kimya. Moyo wako unauma kiasi kwamba unaona k**a mwili unaungua moto, na mawazo yanakwambia hutaweza kupenda tena, wala hutaweza kuwa na furaha bila yeye.
​Sikiliza kwa makini: Hiyo ni uwongo wa ubongo wako ulioumia.

​Mimi ni Mama Mshauri wako, na niko hapa kukuambia kuwa haukufungwa kifungo cha maisha kwenye hilo jeraha. Kitabu hiki siyo cha kukupa pole za kinafiki. Hiki ni kitabu cha vitendo. Hii ni ambulansi ya kihisia iliyokuja kukuondoa kwenye eneo la ajali.

Ndani ya siku 14 zijazo, mimi na wewe tutashika darubini ya ki-FBI, tutausafisha moyo wako, tutafuta hayo machozi, na utashangaa jinsi utakavyoinuka ukiwa imara, mrembo, na mwenye thamani kubwa kuliko walivyokuacha.

Usithubutu kuikosa ebook hii nione WhatsApp 0672342933 kupata ebook yako na huduma zingine za ushauri wa changamoto za mahusiano.

11/07/2026

Sikiliza clip hii hadi mwisho ujinyakulie ofa yako mama.

Wasiliana nami kwa namba hii 0672342933 Whatsap pia inapatikana.

Leo dawa ya kuondoa uchafu ukeni, miwasho sugu, UTI sugu utaipata kwa 45,000 tu badala ya 60,000 unasubiri nini tena?

Tunakufikia popote pale ulipo duniani.

# followers
Tatu Omari

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Temeke?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address

Lindi, Tanzanian
Temeke