Elimu ya Afya na Matibabu

Elimu ya Afya na Matibabu

Share

Elimu ya Afya na Matibabu pekee.

01/10/2023

SARATANI YA MATITI (BREAST CANCER), FANYA UCHUNGUZI MAPEMA WAHI MATIBABU MAPEMA.

Wanawake Tafadhali angalia matiti yako mara kwa mara, Wanaume pia mnaweza kuwasaidia katika hili.

Angalia k**a kuna uvimbe usio wa kawaida, K**a Kuna ugumu usio na maumivu katika matiti yako.

Chunguza k**a kuna mabadiliko yenyote katika rangi ya ngozi karibu na chuchu zako, ikiwa kuna rangi nyekundu na uvimbe ni dalili za saratani ya matiti.

Fanya hivi kila mwezi baada yakuona siku zako, Jiangalie kwenye kioo, Papasa matiti yako kwa kuzunguka chuchu,

Fanya kubinya chuchu k**a zinatoa usaha au majimaji yasiyo ya kawaida, Endaoo utaona dalili zisizo za kawaida wahikituo cha afya. ZINGATIA ⚖

Mawasiliano:0763707878
Eternal clinic

01/10/2023

KAA MBALI NA HIVI VITU K**A UKOO WENU UNA MAGONJWA HAYA.

1. Pumu: kaa mbali na Sigara, moshi na hewa chafu.

2. Magonjwa ya akili. Kaa mbali na Bangi, madawa ya kulevya na Punguza stress.

3. Kisukari: usinenepe na punguza sana wanga kwenye chakula.

4. Saratani: Epuka Sigara na pombe.

5. Sikoseli: Fanya vipimo binafsi lakini Mpime na mchumba Kabla ya kuzaa naye.

6. presha na magonjwa ya moyo: usinenepe, epuka junk foods.

Kumbuka: ukitoka ukoo wenye magonjwa fulani na wewe Una nafasi kubwa ya kuugua lakini you can still beat genetics kwa kuchukua hatua fulani fulani za kiafya.

06/04/2023

K**A HUPATI UJAUZITO JIULIZE MASWALI YAFUATAYO:-

1• Je, mzunguko WA Siku zako upo vizuri?

2• je, unapata Maumivu ya Tumbo Wakati WA hedhi?

3• Je, una Uvimbe kwenye kizazi?

4• Je, unapata Maumivu ya tumbo chini ya kitovu upande WA kulia na kushoto?

5• Je, unatokwa na uchafu WA aina yeyote ile ukeni?

6• Je, unapata Siku zako vile inavotakiwa? Yaani mzunguko WA Siku zako upo sawa?

7• Je, unapata Maumivu Wakati WA tendo la ndoa?

8• Je, unapata Ukavu Wakati WA tendo la ndoa?

9• Je, unakosa hisia za tendo la ndoa?

10• Je, huwa unapata ute WA uzazi Siku za habari (ovulation days)?

11. Je, ulishawahi kutoa ujauzito.

12. Je, umeshawahi kuugua P.I.D (mashambulizi ya bakteria kwenye kizazi)?

SABABU hizo zinaweza kuzuia kupata ujauzito kiafya ukiacha nà mapenzi ya Mungu kumbe ni vema kumpunguzia Mungu kazi kwa kuhakikisha kiafya tupo vizuri ili yeye amalizie sehemu inayobaki...

+255763707878

23/10/2022

*ZINGATIA HILI*

"Ulaji wa mboga mboga husaidia kuona vizuri na kuongeza kinga ya mwili, hii yote ni lishe bora, zingatia ulaji wa mbogamboga katika kila mlo wako."

25/09/2022

TAFITI: Iliyofanyika West Bengal, nchini India kwa wagonjwa 1,266 waliokuwa na mawe kwenye figo ilidhiirisha kuwa sio ubora wa maji bali wingi wake (kunywa maji pungufu ya lita 3 kwa siku) ndio muhimu zaidi katika kupelekea mawe kwenye figo.

20/09/2022

Wanaume wenye kiuno zaidi ya inchi 40 (101.6 cm) na wanawake wenye kiuno zaidi ya inchi 35 (88.9 cm) wako kwenye hatari kubwa ya kupata kisukari, magonjwa ya moyo na kiharusi kwasababu ya wingi wa mafuta ya Tumbo.

20/09/2022

'DONDOO YA AFYA'

©upungufu wa nguvu za kiume unaweza kuwa dalili ya awali ya magonjwa ya moyo na mishipa. Hivyo ni vyema ukajua chanzo cha tatizo kabla ya kutibu dalili pekeyake. Kabla hujanywa dawa muone Daktari!®

19/09/2022

.DONDOO YA AFYA.

©Tangawizi imeonekana kuwa yenye msaada bora zaidi katika kupunguza kichefuchefu na kutapika katika kipindi cha ujauzito ikilinganishwa na "placebo" na yenye matokeo ya wastani ikilinganishwa na "Vitamin B6"®

05/10/2021

*Saratani ya mlango wa kizazi ndiyo inaongoza katika kuathiri wanawake wengi zaidi nchini Tanzania kuliko aina nyingine za saratani. Ni muhimu kupima walau mara moja kwa mwaka, pamoja na kupata chanjo yake ambayo chanjo hii ipo kwa vijana wenye miaka kati ya 9-26*

Kwa matibabu
👇🏾👇🏾👇🏾

FIKA ETERNAL INTERNATIONAL CLINIC
0763707878
DAR ES SALAAM
BANANA.

0629433332
MOROGORO
NANENANE

17/09/2021

SULUHISHO LENYE KULETA FURAHA KATIKA HESHIMA YA NDOA*

➡️Kukosa hamu ya tendo la ndoa
➡️kukosa nguvu za tendo la ndoa
➡️kufikia mshindo kabla ya muda bora
➡️ kukosa uwezo wa kutungisha mimba(kutotungishq mimba)
➡️kukosa kuzalisha mbegu bora na nyingi za kiume

*CHITOSAN* Ni tiba na suluhisho la kudumu na yenye kukurejeshea heshima ya ndoa.

BEI: TSH 60,0000/= TU.

◽Sasa unaweza kupata tiba hii toka ETERNAL CLINIC TANZANIA.

SIMU:0626433332




*AFYA NI UHAI*SULUHISHO LENYE KULETA FURAHA KATIKA HESHIMA YA NDOA*

➡️Kukosa hamu ya tendo la ndoa
➡️kukosa nguvu za tendo la ndoa
➡️kufikia mshindo kabla ya muda bora
➡️ kukosa uwezo wa kutungisha mimba(kutotungishq mimba)
➡️kukosa kuzalisha mbegu bora na nyingi za kiume

*CHITOSAN* Ni tiba na suluhisho la kudumu na yenye kukurejeshea heshima ya ndoa.

BEI: TSH 60,0000/= TU.

◽Sasa unaweza kupata tiba hii toka ETERNAL CLINIC TANZANIA.

SIMU:0626433332
0763707878
MOROGORO TANZANIA




*AFYA NI UHAI*

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Morogoro?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address

Morogoro

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00