Habibu Healthy Services
Tunawasaidia Watoto Wenye Umri wa Miezi 6 hadi miaka 5 Wasiopenda Kula, Wasioongezeka Uzito, Wenye Ukuaji duni na Wenye Ufahamu mdogo wa Akili.
Ushauri Bure 0777107666 Dr. Habibu
Wewe ni Muuguzi?
Unapenda kazi yako… lakini ukweli ni huu:
➡️ Muda mwingi uko kazini
➡️ Uchovu mwingi
➡️ Kipato hakilingani na juhudi zako
Vipi k**a ungeweza kupata kipato cha ziada bila kuacha kazi yako ya uuguzi?
✔️ Hakuna kuathiri shift zako
✔️ Hakuna mtaji mkubwa
✔️ Unafanya kwa muda wako wa ziada
✔️ Unasaidia watu kiafya huku ukiongeza kipato
🔥 Hii ni fursa kwa wauguzi wanaotaka:
Kujikwamua kifedha
Kuwa na uhuru wa kipato
Kujiandaa na maisha bora ya baadae
📲 Nitumie neno “INFO” WhatsApp 0777107666 au Gusa link hii wa.me/+255777107666 Tukuelekeze hatua kwa hatua, Usikose nafasi hii… wenzako tayari wameanza! WEWE UNASUBIRI NINI?
*Unasumbuliwa na weusi kwenye mapaja, kwapa, shingo au chini ya matiti?*
_Usikae kimya... hii ni shida inayowakumba watu wengi lakini wachache wanajua suluhisho sahihi!_
❌ Usifiche tena
❌ Usipoteze pesa kwa bidhaa zisizofanya kazi
🌿 Pata suluhisho la asili, salama na lenye matokeo
✨ Ngozi inarudi kwenye rangi yake ya asili
✨ Inakuwa laini, safi na yenye afya
*Watu wengi tayari wameona mabadiliko… wewe unasubiri nini?*
📩 Niandikie “NATAKA” kwenda WhatsApp +255 785 660 692 au gusa link hii wa.me/+255785660692 tuma neno nataka upate muongozo👏
Dalili za nimonia huanza taratibu lakini huja kuwa hatari! Tambua mapema, chukua hatua 👶⚠️
Massage hii, mazoezi, Lishe tutakazokupatia zitamsaidia mtoto kuondosha Matege...
TUMA NENO MTOTO WhatsApp no. 0777107666
Je, mtoto wako amekamilisha chanjo zote? 👶💉
Chanjo humlinda mtoto dhidi ya magonjwa hatari k**a Polio, Measles na Tuberculosis.
Usisubiri mtoto aumwe mkinge mapema kwa kufuata ratiba ya chanjo kliniki. Afya ya mtoto wako iko mikononi mwako!
Karibu tukushari kuhusu afya ya mtoto wako kwa changamoto yoyote
Afya ya mtoto ni jukumu la mzazi.
Ukizingatia lishe bora, usafi, usingizi wa kutosha na chanjo kwa wakati, unamsaidia mtoto wako kukua akiwa mwenye afya na kinga imara.
Swali:
Mtoto wako anakumbana na changamoto gani kiafya mara nyingi?
ISHARA ZA ONYO KWA MTOTO AMBAZO MZAZI HAPASWI KUPUUZA 🚨
Wazazi wengi husubiri mtoto awe mgonjwa sana ndipo wachukue hatua…
Lakini ukweli ni kwamba, mwili wa mtoto huanza kutoa dalili mapema kabisa.
Kupungua uzito, kukosa hamu ya kula, kuumwa mara kwa mara au kukosa nguvu — hizi si hali za kupuuzwa.
Mzazi makini haangalii tu mtoto analia… anaangalia hata mabadiliko madogo ya tabia na mwili wake.
🎯 Usisubiri hali iwe mbaya. Chukua hatua mapema.
👉 Follow kwa elimu zaidi ya afya ya watoto.
👉 Share video hii mzazi mwingine naye ajifunze.
Hivi ni miongon mwa vyakula vya mtoto ukitumia pamoja na unga tutakaokuelekeza ndani ya siku 14 mtoto atasnza kuongezeka uzito vizury
Je unapenda kufahamu na Vyakula vyengine?
Ilikuwa siku ya kipekee na yenye furaha asante kwa wote walohudhuria
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Michenzani
Zanzibar City
7011