kulwa health solution
MTAALAM WA AFYA KWA WANAWAKE NA WANAUME.
17/11/2023
Wasiliana nasi whatsapp:+255 768 126 617 kupata elimu, ushauri na tiba
12/11/2023
TUNAZO FULL PACKAGE YA UZAZI NZURI MNO UKIITUMIA MAFANIKIO LAZIMA.........
Fertility Cleanse Kit Tuliyonayo inafanya Yafuatayo
1.inasaidia kupevusha mayai,wanawake wengine wanapata period ila HAWAPEVUSHA KAYAI,wanapata ANOVULATORY CYCLES
2.inasafisha mirija,ready kabisa kupitisha Yai/mayai(kwa mapacha),na mbegu za kiume zinapita vizur kabisa 3.inaweka kizazi vizuri kabisa,ready kupokea mtoto na kusaidia Mimba Isitike ukijapata,lakin hapa inasaidia kusinyaisha,ku SHRINK uvimbe ndogo ndogo
4.inaweka PH ya uke,vagina ile nzur inafaa kupitisha mbegu za kiume bila kuziua.
5.inakufanya mwanamke upate ule UTE special unaovutika k**a ute mweupe wa mayai ukiwa siku za hatari,huu ute ni muhimu maana ndio ute special mbegu za kiume zinapitia kuingia ndani.... 6.zinaweka hormones Zikae sawa ka bisaaaaaa zinazofanya upevushe mayai,udake mimba na ukipata mimba,Isitoke.
7.INATIBU PID.inasafisha infection na uchafu wote.
Na k**a imeonekana hupati MIMBA,lakin shida haijaonekana,basi unahitaji sanaaaa sanaaaa hii kit,package...Ni NZURI sana,inasaidia wanawake Wengi wanapata Mimba.
WhatsApp/Call:+255652218556
12/11/2023
Mara nyingi mimba zinazotunga nje ya kizazi huwa haziwezi kukua mpaka mwisho wa ujauzito, huweza kuleta hatari kwa afya ya mama hasa pale inapopasuka na kuvujisha damu tumboni mwa mama.
JINSI INAVYOTOKEA
Kwa kawaida mbegu ya kiume na yai la k**e hukutana katika mirija ya uzazi (Fallopian tubes) na mimba hutungwa. Kiinitete husafri polepole kwenda kwenye mji wa uzazi ambako hujipandikiza kwenye ukuta wa uzazi na mimba huanza kukua. Katika ugonjwa huu wa mimba kuwa nje ya kizazi (ectopic pregnancy) mbegu ya kiume na yai huungana kutengeneza kiinitete. Badala ya kupandikizwa kwenye tumbo la uzazi.
Mara chache sana mimba zinazotunga nje ya kizazi huweza kukua mpaka mwisho, nyingi huishia kupasuka na kuondolewa kwa upasuaji.
SABABU ZA MIMBA KUTUNGWA NJE YA KIZAZI
1.Umri wa zaidi ya miaka 40 kwa mwanamke
2.Uvutaji sigara
3.Matumizi ya vijiti vya mji wa uzazi (intrauterine devices)
4.Kutoa mimba zaidi ya 3
5.Upasuaji wa mirija ya maji ya uzazi
6.Ugonjwa wa PID
Ingawa wakati mwingine zinazoweza kutokea bila sababu maalum kujulikana.
DALILI ZAKE NI ZIPI?
Kufuatia wiki kadhaa baada ya kukosa siku zako za hedhi, unaweza kuanza kupata maumivu ya tumbo chini ya kitovu au kiuno, ambayo yanaweza kuwa upande mmoja. Maumivu yanaweza kuja na kuacha, kuwa makali sana kiasi cha kushindwa kuvumilia hii inatokana na unene pia wa mwili wako.
Hali hii inaambatana na kutokwa damu ukeni, mara nyingi ikitoka kidogo kidogo. Inaweza kuwa nyepesi au nzito nyeusi.
Je, una tatizo gani? Tuambie, tunaweza kuwa sehemu ya suluhisho kwako!..
-
Leo nimetoa upendeleo wa kipekee Niko Online DM/ Inbox Najibu messange zote una changamoto yoyote ya UZAZI nitumie Ujumbe DM/ inbox au Whatsapp no: 0652218556
12/11/2023
Nini Kinapelekea Ukavu ukeni?
Kupungua kwa homoni ya estrogen ndipo chanzo kikubwa cha ukavu ukeni.
Wanawake wote hupungua uzalishaji wa estrogen kadiri wanavozeeka na kukaribia kukoma hedhi yaani menopause.
Menopause siyo chanzo pekee kwani kuna vitu vingine vinavyopelekea uwe na uke mkavu.
Mambo mengine yanayopunguza uzalishaji wa estrogen ni pamoja na
• kunyonyesha
• kuvuta sigara
• kuzaa
• Upasuaji kuondoa mifuko ya mayai(ovary)
• stress kupita kiasi
• maozezi makali sana
• Baadhi ya tiba k**a chemotherapy na radiotherapy.
Matibabu ya Tatizo la Ukavu Ukeni
Kuna aina nyingi za tiba ambazo waweza kuzipata famasi ya karibu yako ili kulainisha uke.
Tiba hizi zinakuwa kwenye mfumo wa jelly mfano KY jelly ni maarufu sana.
Hakikisha unatumia vilainishi vya maji siyo vya mafuta. Vilainihsi hivi visiwe na manukato wala kemikali hatarishi.
Kamwe usitumie mate k**a kilainishi wakati wa tendo la ndoa kwani unaweza kupata maambukizi ya bakteria.
Usitumie mafuta ya kujipaka k**a kilainishi kwani utaharibu kuta za uke.
Nawezaje Kuzuia Tatizo Hili Kujitokeza Mara Kwa Mara
• Kunywa maji ya kutosha kila siku
• Usitumie sabuni wa marashi ukeni
• Ongea na mwenzi wako kuhusu tatizo ili akuvumilie wakati unatafuta tiba.
Je kuna madhara yoyote kutumia jelly na vilainishi vya pharmacy?
Jibu ni ndio, vilainishi hivi vya kununua pharmacy siyo vya kuzoea kutumia. Vitumike mara moja moja sana.
Madhara yake ni makubwa endapo zinatumika mda mrefu. Athari hiyo ni kuvurugika mazingira ya uke na kuugua fungus na bakteria mara kwa mara.
Pia uke kuanza kunuka vibaya na kutokwa na uchafu usio kawaida.
Ndio maana tunashauri kulenga kutibu chanzo cha tatizo ambalo ni kurekebisha homoni.
Umejifunza kitu, Save post hii Itakusaidia kwa Matumizi ya Baadae,
Kwa msaada wa haraka wa changamoto zote za Afya ya Uzazi kwa Mwanamke,
NITUMIE UJUMBE WHATSAPP 0652218556
0652218556
Kumbuka huu ni mwezi nilio zaliwa lazima mimba zitumgwe uu mwez za kutosha 🤸🏿♂️🤸🏿♂️💃💃💃
Piga 0652218556
Wasup 0652218556
Hii ni special kwa mama vijacho 😋
12/11/2023
Embu Niambie, Utajisikiaje na wewe ukaitwa mama flani? Au kuongeza Mtoto mwingine🤱🥰
Furaha yangu kulwa health solution ni kuona Kila Mwanamke Ni MAMA🤱,
Bado nahitaji kupokea shuhuda nyingi. Na jambo jema ni kwamba una nafasi ya kuwa mmoja wapo,
Lakini huenda labda Wewe ndiye Huyu?!👇🏾
✅ Imeshindikana Kabisa kubeba Ujauzito.
✅ Unatokwa na uchafu, harufu mbaya sehemu za Siri.
✅ Mzunguko wako wa hedhi haueleweki Tena.
✅ Unasumbuliwa P.I.D Fangasi, na U.T.I sugu.
✅ Unahisi Maumivu Makali wakati wa Tendo la Ndoa au kukosa hamu ya tendo Kabisa.
✅ Maumivu wakati wa kukojoa.
✅ Kiuno kuuma Sana wakati wa hedhi.
✅ Maumivu chini ya kitovu.
✅ Nimepima vipimo vyote vya Uzazi sina Tatizo lolote lakini sipati Mimba!
✅ Unahisi Maumivu wakati wa tendo la Ndoa, Ukeni panakuwa pakavu Sana.
✅ Mimba kuharibika mara kwa mara kabla ya muda wa kujifungua
Usijali Kabisa, HABARI YAKO NJEMA HII HAPA👇🏾
▶️ Uzazi Special Offer:-
Hii ni special offer maalumu kwako mwanamke/ Dada, Unayeangaika Na matatizo ya uzazi kwa muda mrefu,
Au ambaye Umejaribu/ unajaribu Kila namna kupata Mtoto lakini la!.., umetumia madawa mengi Bila mafanikio 😥
👉 NDANI YA OFFER HII UTAPATA MAMBO HAYA BURE KABISA.
1️⃣ Utasimamiwa Mwaka Mzima, miezi (12) kwa kuendelea kupewa Elimu zaidi juu ya Afya ya uzazi.
2️⃣ Utafundishwa bure namna ya kuutambua mzunguko wahedhi na siku za hatariii.
3️⃣ Utaweza kuipata package mzima ya kukusaidia kutibu changamoto zote tajwa hapo juu
Kwanini inafanya kazi zote hizo?!,
N:B- Dawa hizi zimetengenezwa na mimea asilia, Matunda Na vyakula Asilia zaidi ya 131,
Hivyo hazina Kemikali, Zimethitishwa na mamlaka zote Husika Kuwa Salama.
Kamwe usikate tamaa! Siku yako ya kufutwa machozi inakuja.🙏🏾🙏🏾
Karibu tukusaidie kwa changamoto yoyote ya uzazi uliyonayo. Kupitia Kimboka Herbal clinic tumegusa maisha ya watu wengi.
USHAURI NI BURE KABISA!
Nipo Online muda huu,Nitumie Ujumbe,
Ikiwemo umri wako, changamoto ambayo Upo nayo, Na Upo nayo kwa muda gani?
Whatsapp no: 0652218556
12/11/2023
FIBROIDS NA MADHARA YAKE.
Fibroid ni uvimbe wa tishu za misuli katika uterasi au kizazi cha mwanamke. Uvimbe huu ni wa aina ya noncancerous, yaani hauhusiani na kansa. Sababu za fibroid hazijulikani kwa uhakika, lakini zinaweza kuathiri wanawake wa umri wowote na zinaonekana kuathiri sana wanawake weusi.
Dalili za fibroid zinaweza kutofautiana kutoka kwa mwanamke mmoja hadi mwingine, lakini zinaweza kujumuisha:
1. Hedhi yenye maumivu makali.
2. Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi.
3. Kuvimba kwa tumbo.
4. Kukojoa mara kwa mara au shida kuharisha.
5. Maumivu ya mgongo chini.
6. Kupata matatizo ya kushika ujauzito au kutoa mimba kabla ya wakati.
Madhara ya fibroid yanaweza kujumuisha shida za uzazi k**a kutoshika mimba na matatizo wakati wa ujauzito. Kwa bahati nzuri, kuna njia mbalimbali za kutibu fibroid ikiwa ni pamoja na dawa, upasuaji, au matibabu ya kisasa k**a vile embolization ya uterini. Ili kupata matibabu sahihi, ni muhimu kuonana na daktari wa wanawake au mtaalamu wa magonjwa ya uzazi.
Wasiliana nasi kwa no 0652218556 kwa msaada zaidi.
Maana Halisi Ya "MAMA" Maumivu Ya Thamani Ya Kuleta Baraka Nyingine Duniani! Kila Mwanamke Atapitia Hii Hali ni Muda tu!.. Aliyepata Amuombee Anayefuata 🙏❤️
12/11/2023
𝗩𝗬𝗔𝗡𝗭𝗢 𝗩𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗠𝗞𝗘 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗨𝗝𝗔𝗨𝗭𝗜𝗧𝗢:
Tafiti zilizotolewa na shirika la afya duniani linasema katika kila familia sita, familia moja inakutana na tatizo la ugumba au utasa, Baadhi ya sababu zinazosababisha ugumba ama utasa kwa wanawake ni:
👉🏾Kushindwa kupevusha yai(40% ya wanawake)
👉🏾Maambukizi sugu k**a PID
👉🏾Mvurugiko wa homoni
👉🏾Uvimbe/majimaji/kuziba katika mirija ya kupitisha mayai
👉🏾Mayai kudhoofika kabla ya umri(POI)
👉🏾Magonjwa au vimbe mf fibroids, cancer, kisukari,
👉🏾Matatizo katika tezi za shingo(hyperthyroidism)
👉🏾Makovu katika mji wa uzazi labda kutokana na utoaji mimba katika njia zisizosalama
👉🏾Kulegea au kuziba kwa shingo ya uzazi👉🏾Uzito kupita kiasi
👉🏾Unywaji pombe au uvutaji wa sigara
👉🏾Magonjwa sugu katika mfumo wa upumuaji ambayo huathiri ubora wa mayai, mzunguko wa damu
Je, una tatizo gani? Tuambie, tunaweza kuwa sehemu ya suluhisho kwako!..
-
Leo nimetoa upendeleo wa kipekee Niko Online DM/ Inbox Najibu messange zote una changamoto yoyote ya UZAZI nitumie Ujumbe DM/ inbox au Whatsapp no: 0652218556
0652 218 556
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Zanzibar City