IJALI AFYA YAKO
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from IJALI AFYA YAKO, Zanzibar City.
14/01/2021
30/07/2020
*Faida za Refined Yunzhi Essence*
● Inaodoa Hari ya kuugua kutokana na kinga ndogo za mwili
● Inaongeza ufanisi wa *ini na mapafu*
● Inapunguza madhara ya mionzi (chemotherapy)
● Inaboresha Nguvu na Afya ya Mwili
● Inaongeza hamu ya kula
● Inadumisha Afya ya Mwili na Akili.
● Inarudisha na kudimisha kinga za mwili kwa waliougua mda mrefu.
● Ina Polysaccharide K (PSK) and Polysaccharide Peptide (PSP) ambazo husaidia kuondoa seli zenye vimelea vya saratani na kuzuia visisambae mwilini.
● Inasawazisha homoni mwilini.
● Inapunguza Maumivu
● Inabolesha Muonekano wa Ngozi yako.
● Hutuliza homa ya typhoid
*Viuongo vyake*
● Refined Yunzhi Essence
*Nani anaweza kutumia Refined Yunzhi Essence*
● Wenye kinga ndogo za mwili.
● Wanaofanyiwa chemotherapy
● Waliougua Mda mrefu
● Wagonjwa wa saratani.
● Wenye matatizo ya homoni
*Matumizi yake*
● Vidonge 2 mara mbili kwa siku.
● Dozi mala 2 kwa wanatibiwa na mionzi (chemotherapy) kisha wanaendelea kwa dozi ya kawaida wik 6 mbele.
28/07/2020
25/07/2020
*X POWER MAN COFFEE*
Hii ni kahawa iliyotengenezwa Kwa mchanganyiko Wa vitu Zaidi ya vinne yani;
*1. Fresh maca*
*2. Ginseng powder*
*3. Tongkat ali*
*4. Epimedium*
Viambata hivi vimetoka nchi za
*KOREA,CHINA,USA,INDIA,PERU*
*INAHUSU*
•Kuimarisha misuli ya uume kuwa bora zaidi na Nguvu mara dufu wakati Wa tendo.
•Kuupa mwili Nguvu zaidi
•Kusaidia kurudia tendo la ndoa mara nyingi zaidi yani ukimaliza mshindo Wa kwanza unauwezo Wa kuendelea zaidi.
•Kumpa mtu hamu ya tendo la ndoa hata k**a iliisha kabisa.
•Kuondoa uchovu na stress,kuzuia hatari ya kupata Magonjwa ya moyo.
•Kuilinda na kuipa afya tezi ya mwanaume
•Kuufanya uume usimame barabara k**a msumari
•Kusafisha mishipa ya damu
•Kuongeza ubora Wa mbegu za mwanaume na kuzifanya ziwe na kasi zaidi
*MATUMIZI*
•Changanya kwenye kikombe sanchet Moja (inaweza kutumika kwa maji ya moto au barafu)
*TAHADHARI*
•Usitumie zaidi ya sachet 5 kwa siku moja
*UTUNZAJI*
•weka mbali na watoto na utunze sehemu kavu
*MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA!!*
P.I.D(pelvic inflammatory disease) na FIBROIDS inavyotesa wanawake na kuwasababishia ugumba.
P.I.D NI NINI??
P.I.D ni maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke. Ugonjwa huu unaweza kupelekea uharibifu mkubwa kwenye mayai,mfuko wa uzazi,mirija ya uzazi nk . Pia ugonjwa huu ni moja ya UGUMBA kwa mwanamke.Huu ni ugonjwa unaosababishwa na kutotibu magonjwa ya zinaa kwa ufasaha na kuacha wale bakteria kuendelea kusambaa kwenye via vya uzazi wa mwanamke.
*Je utajuaje kwamba huenda umeathirika na ugonjwa huu wa P.I.D ????*
*💥DALILI ZA P.I.D*
👉Maumivu ya tumbo sehemu ya chini au ya juu upande wa kulia
👉Kutokwa kwa uchafu ukeni usio wa kawaida na harufu mbaya(wengi hudhani ni fangas kumbe sio)
👉Maumivu makali na kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa
👉Maumivu wakati wa kukojoa
👉Kutapika na homa
👉Uchovu
👉Kutokwa kwa damu nyingi isiyokuwa na mpangilio wakati wa hedhi au wakati sio wa hedhi( hii dalili kubwa na huwa inafanana sana na fibroids)
👉Ugumba( unatafuta mtoto kwa muda mrefu na hupati)
👉Kukojoa mara kwa mara
*FIBROIDS NI NINI??*
*FIBROIDS ni* uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambapo uvimbe huu unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi au nje kwenye ukuta wa kizazi
Je utajuaje k**a una fibroids?? Hebu angalia dalili zake
*💥DALILI ZA FIBROIDS*
👉Kutokwa damu nyingi kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi au wakati wa hedhi
👉Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya(wengi wenu huwa mnakimbilia kwamba mna fangas)
👉Maumivu ya kiuno hasa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe
👉Tumbo kuuma sana chini ya kitovu
👉Hedhi zisizikua na mpangilio na damu hutoka nyingi mpk kupelekea wengine kupungukiwa damu na kutakiwa kuongezewa damu
👉Maumivu wakati wa tendi la ndoa(hii hupelekea achukie tendo la ndoa)
👉Kukosa kwa choo kikubwa au choo kuwa kigumu(constipation)
👉Maumivu wakati wa kukojoa
👉Kukojoa mara kwa mara
👉Ugumba(kuchelewa au kutokupata mtoto)
👉Mimba kutoka mara kwa mara
*💥KWANINI NIMEAMUA KUELEZEA KUHUSU P.I.D NA FIBROIDS?*
JIBU:
👉Ni kwa sababu wanawake wengi wakiona dalili k**a kutokwa uchafu wanahisi ni FANGAS tu
👉 Wakiona mimba zinatoka mara kwa mara wengi hukimbilia kusema ni ushirikina au muhusika alikua anatoa mimba sana siku za nyuma wakati labda sio hivyo
👉Kingine mwanaume akiona mkewe hataki tendo la ndoa anahisi mkewe anamsaliti kumbe mwenzie anaumwa
👉 Lakini kubwa zaidi nimeeleza haya yote sababu dalili za magonjwa haya mawili yanafanana kwa ukaribu sana sana.
*Naamini umejifunza kitu leo, kwa ushauri na tiba karibu*
kwa kufuatilia ukurasa wetu wa Afya,
“JIFUNZE na Chukua Hatua Juu Ya Afya Yako”kwa mawasiliano 0621488985.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Website
Address
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |