afya_rijal
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from afya_rijal, Health/Beauty, .
15/06/2022
SAFARI YA MBEGU ZAKO
Mbegu za Mwanaume zinatengenezwa kwenye testicle 1 :utengenezwaji wake unahitaji
- [ ] Madini joto
- [ ] Protein
Vitamin,maji na viinilishe vingine .zikisha tengenezwa zinaenda kwenye
epididymis 2 :hapa huwa Ndiyo zinatunzwa vizuri na kukomazwa (maturity process)vizuri
Vasdeference 3 :hapa hupita tu kwa ajili ya Kwenda kwenye seminar vesicles 5:hapa Namba tano mbegu huongezwa maji maji ambayo yanasaidia mbegu kuogelea vizuri na kuifanya mbegu Isife haraka
Maji maji haya ni protein muhimu sana
Maji Yanayo ongezwa hapa yanatoka kwenye Tezi Kwahiyo ni muhimu sana Mwanaume kutunza afya ya Tezi yako Tezi inaonekana hapo Namba 4
Unajuwa Mwanaume Akipata kuvimba kwa Tezi inamfanya ashindwe Kutengeneza mbegu vizuri .hapa Namaanisha Mwanaume Akipata Kansa ya TEZI (prostate cancer)
Tunaenaendela MBegu zikisha pita hapo kwenye seminal vesicles Ndiyo utoka ndani ya mwili Wa Mwanaume na kuingia kwenye uke .zikisha fika UKENI kuna safari Nyingine mpya inaanza hapo :
ZINGATIA
Utengenezwaji wa mbegu za Mwanaume Asilimia Zaidi ya 80% unahitaji viinilishe Lakini pia TEZI ya mwaume ili isivimbe na kuleta shida inaitaji kutunzwa vizuri
15/06/2022
MADHARA YA PUNYETO KWA MWANAUME
1️⃣punyeto humfanya uume kua lege lege na kuonekana mdogo/kibamia na usio jaza kuwa mdogo k**a wa mtoto
2️⃣ mwanamume kutoa mbegu haraka kipindi cha tendo la ndoa na kushindwa kumfikisha mwanamke kileleni.... (Premature ej*******on)
3️⃣Ni moja ya chanzo Kikuu cha kupoteza nguvu za kiume, uume kusinyaa na kukosa nguvu
4️⃣Hupunguza idadi ya mbegu za kiume (low s***m count) hivyo ni mbaya sana kwa watu wanaotafuta mtoto na huleta infection na kusababisha,manii kuwa nyepesi
5️⃣Husababisha mtu kusahau sahau sana na kushindwa kufanya vitu kwa makini zaidi
6️⃣Huleta utumwa wa kifikra kwani ukishaanza huwezi kuacha kirahisi (addiction)
7️⃣Punyeto husababisha mwanaume kukosa kabisa hamu ya kufanya tendo la ndoa na mwanamke
8️⃣Punyeto ni chanzo kikuu cha ngono za jinsia moja shuleni na vyuoni
9️⃣punyeto humpelekea mwanaume udhaifu wa mwili na kutokujiamini katika kufanya maamuzi, na stress zisizo isha na maradhi
🔟Husababisha msongo mkubwa wa mawazo kwani mara nyingi kila umalizapo tendo hilo unajuta sana na kuapa kwamba hutorudia tena lakini ikifika mida Fulani sabuni k**a kawa
madhara ya punyeto ni mengi sana kwa mwanaume na hayo ni machache hichi kitendo hakifai ni adui wa afya ya uzazi wa mwanaume na afya nzima kiujumla,,, usikae mbali post ijayo ntaelezea mambo makuu ya kufanya kuacha punyeto na kurudi katika hali yako ya uwanaume
Kwa ushauri zaidi ni namna gani unaweza kuacha na kuimarisha afya yako
14/06/2022
Tatizo la kupungukiwa au kuishiwa nguvu za kiume linasababishwa na vitu vingi ikiwemo matatizo katika mfumo wa mwili au magonjwa mbali mbali, Matatizo ya kisaikolojia na uvutaji wa sigara pia ni adui mkubwa wa nguvu za kiume.
K**a tunavyofahamu Kemikali aina ya Ni****ne iliyomo ndani ya sigara hupelekea kuharibika kwa kuta za mishipa ya damu na hivyo kuathiri mzunguko wa kawaida wa damu katika maeneo mbali mbali ya mwili ikiwemo kwenye uume.
Sasa ili uume usimame inahitajika mishipa ya damu ya kwenye uume itanuke ili kupokea damu nyingi baada ya kupokea taarifa kutoka kwenye ubongo Damu inapojaa kwenye mirija hii ndipo uume husimama.
Shida inakuja Uvutaji wa sigara una madhara mengi sana mwilini na unaweza kuharibu sehemu mbali mbali za mwili, Kemikali zilizomo ndani ya sigara husababisha kuharibika kwa kuta za mishipa ya damu na kuzifanya kuwa ngumu hali inayopelekea mishipa ya damu kutoweza kutanuka na kusinyaa hivyo hupelekea Damu kutoweza kutiririka Kwa Kasi kwenye Uume na ule Uwezo wa Kufanya Tendo la ndoa Kupungua.
Hivyo basi hata k**a mfumo wa neva (nervous system) kwenye UBONGO unafanya kazi vizuri uume hauwezi kusimama k**a mishipa ya damu ya uume haiko imara au haifanyi kazi vizuri.
Kemikali hizi za Sigara pia zinaweza kusababisha madhara kwenye ubongo,moyo,figo nk.
TAFITI ZINASEMAJE?
Wakati tatizo hili la nguvu za kiume linawakumba zaidi watu wenye umri mkubwa, utafiti uliofanyika mwaka 2015 na shirika la AMERICAN JOURNAL OF EPIDEMIOLOGY unaonesha kwamba asilimia kubwa ya wanaume waliokumbwa na tatizo hili wamewahi kuvuta sigara. Utafiti unaonesha kwamba unapokua mvutaji wa sigara basi hatari ya wewe kupata tatizo la nguvu za kiume ni kubwa sana.
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA 👇🏽👇🏽👇🏽
0773195830