Nywele nzuri

Nywele nzuri

Share

Tunatoa Ushauri Wa matunzo ya nywele na kuondoa mba

07/12/2024

K**a Una Ngozi Ya Mafuta Na Inasumbuliwa Na Chunusi Oily & Acne Prone Skin Hakikisha Unafuata Utaratibu Huu

➡️Osha Uso Wako Mara Mbili Kwa Siku

Kwa Kutumia Facial Cleanser/Face wash Hizi Kuwa Nazo Mbili

1️⃣Moja Iwe Ina Treating Ingredients K**a Benzoyl Peroxide Au Salicylic acid Kutegemea Na Aina Ya Chunusi Zako Hii Utatumia Mara Moja Tu Kwa Siku Jioni

2️⃣Gentle Cleanser Hii Utatumia Mara Mbili Kwa Siku Asubuhi Na Jioni

➡️Acne Spot treatment
Hii Utatumia Kupaka Eneo Lenye Chunusi Pekee K**a Utakuwa Unapata Chunusi Moja Moja Kipindi Cha Mzunguko Wa Hedhi Zipo Kulingana Na Aina Ya Chunusi Zako

➡️ Glycolic acid Toner
Ni Aina Ya Exfoliating Nzuri Sana Kutumika Kwa Oily &Acne prone skin Hii Inasaidia Kubalance pH Ya Ngozi Yako Na Kusafisha Pores Zako Ziloziba Na Kupunguza Muonekano Wa Tundu Usoni

Hii Utaitumia Mara Mbili Kwa Wiki Kwenye Utaratibu Wako

➡️ Niacinamide
Hii Ni Powerful Product Ingredients Kwa Oily Skin Na Ni Antioxidant Hivyo Inasaidia Ku Control Mafuta Usoni Inatibu Vipele Na Kung'arisha Ngozi Pia Ni Mbadala Wa Vitamin C Kwa Wewe Mwenye Chunusi

Hivyo Hakikisha Unaitumia Tumia Niacinamide +Zinc Serum Mara Baada Ya Kumaliza Kuosha Uso Wako

➡️ Moisturizing & Hydrating Unyevu Unyevu

Mara Baada Ya Kumaliza Kutumia Niacinamide Serum Paka Moisturizer Kuipa Unyevu Ngozi Yako

Hapa Ni Muhimu Kutumia Moisturizer Yenye Ingredients Moja Wapo Kati Ya Hyaluronic acid, Ceramide, Snail Mucin, Peptides

➡️Clay Mask Hii Utatumia Mara 1 Au 2 Kwa Wiki Itakusaidia Kufyonza Mafuta Usoni

Ni Special Kwa Oily Skin & Combination Skin

Oily Skin: Unapaka Uso Mzima

Combination Skin: Unapaka T Zone Area

➡️ Sunscreen
Mwisho Usisahau Sunscreen Ili Kuilinda NgozI Yako Isifubae Kwa Jua

Kujiunga Kwenye Group Letu Bofya Link Kwenye BIO Yatu

29/08/2024

Nywele Nzuri NI matunzo

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Zanzibar?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address

Zanzibar