Nywele nzuri
Tunatoa Ushauri Wa matunzo ya nywele na kuondoa mba
07/12/2024
K**a Una Ngozi Ya Mafuta Na Inasumbuliwa Na Chunusi Oily & Acne Prone Skin Hakikisha Unafuata Utaratibu Huu
➡️Osha Uso Wako Mara Mbili Kwa Siku
Kwa Kutumia Facial Cleanser/Face wash Hizi Kuwa Nazo Mbili
1️⃣Moja Iwe Ina Treating Ingredients K**a Benzoyl Peroxide Au Salicylic acid Kutegemea Na Aina Ya Chunusi Zako Hii Utatumia Mara Moja Tu Kwa Siku Jioni
2️⃣Gentle Cleanser Hii Utatumia Mara Mbili Kwa Siku Asubuhi Na Jioni
➡️Acne Spot treatment
Hii Utatumia Kupaka Eneo Lenye Chunusi Pekee K**a Utakuwa Unapata Chunusi Moja Moja Kipindi Cha Mzunguko Wa Hedhi Zipo Kulingana Na Aina Ya Chunusi Zako
➡️ Glycolic acid Toner
Ni Aina Ya Exfoliating Nzuri Sana Kutumika Kwa Oily &Acne prone skin Hii Inasaidia Kubalance pH Ya Ngozi Yako Na Kusafisha Pores Zako Ziloziba Na Kupunguza Muonekano Wa Tundu Usoni
Hii Utaitumia Mara Mbili Kwa Wiki Kwenye Utaratibu Wako
➡️ Niacinamide
Hii Ni Powerful Product Ingredients Kwa Oily Skin Na Ni Antioxidant Hivyo Inasaidia Ku Control Mafuta Usoni Inatibu Vipele Na Kung'arisha Ngozi Pia Ni Mbadala Wa Vitamin C Kwa Wewe Mwenye Chunusi
Hivyo Hakikisha Unaitumia Tumia Niacinamide +Zinc Serum Mara Baada Ya Kumaliza Kuosha Uso Wako
➡️ Moisturizing & Hydrating Unyevu Unyevu
Mara Baada Ya Kumaliza Kutumia Niacinamide Serum Paka Moisturizer Kuipa Unyevu Ngozi Yako
Hapa Ni Muhimu Kutumia Moisturizer Yenye Ingredients Moja Wapo Kati Ya Hyaluronic acid, Ceramide, Snail Mucin, Peptides
➡️Clay Mask Hii Utatumia Mara 1 Au 2 Kwa Wiki Itakusaidia Kufyonza Mafuta Usoni
Ni Special Kwa Oily Skin & Combination Skin
Oily Skin: Unapaka Uso Mzima
Combination Skin: Unapaka T Zone Area
➡️ Sunscreen
Mwisho Usisahau Sunscreen Ili Kuilinda NgozI Yako Isifubae Kwa Jua
Kujiunga Kwenye Group Letu Bofya Link Kwenye BIO Yatu
29/08/2024
Nywele Nzuri NI matunzo
Click here to claim your Sponsored Listing.