Boresha AFYA NA Mr.paul

Boresha AFYA NA Mr.paul

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Boresha AFYA NA Mr.paul, Health/Beauty, .

10/11/2022

MAMBO MHIMU YA KUZINGATIA ILI KUWA MWENYE AFYA BORA ZAIDI✨🔥

Kuwa na changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume siyo ugonjwa ili ni ukosefu wa maarifa pamoja na virutubisho katika mwili wako....

Unatengeneza ukubwa wa tatizo pindi utakapo kuwa na tatizo na kuanza kutumia njia ambazo siyo sahihi katika kulitatua hilo tatizo lako...

Nakushauri kupata Elimu kwanza kabla ya kuanza kujichukulia sheria mkononi yaani kuanza kutumia madawa ambayo hujua faida zake na madhara yake...

Jifunze kujua vyanzo vya changamoto kabla ya kupata na tamaa ya kufanya maamuzi pale unapokutana na kitu kinacho lenga tatizo lako....

Kwa mda mrefu sasa nimekuwa nikiwasaidia wanaume wengi sana kuondokana na changamoto k**a ya upungufu wa nguvu za kiume kwa kujua visababishi kwanza kabla ya kumpa huduma yake....

NAHITAJI WATU WACHACHE SANA AMBAO WAPO SERIOUS KATIKA KUTATUA TATIZO LA AFYA YA UZAZI NA KUJUA VITU MHIMU ZAIDI VYENYE KUWAFANYA KUENDELEA KUWA NA AFYA BORA ZAIDI...

NITUMIE UJUMBE WA NENO..... NGUVU.... KUJA WHATSAPP NAMBA(+255) 0622936745 AU UNAWEZA KUPIGA CM MOJA KWA MOJA ILI KUPATA ELIMU ZAIDI... AU NITUMIE NAMBA YAKO MDA HUU KWA MAELEZO ZAIDI......

10/11/2022

Leo katika zama hizi za sayansi na teknolojia, tatizo la kupungua nguvu za kiume limekuwa kubwa sana, siyo Tanzania tu, bali duniani kote.
Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri.

DALILI TANO ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

Dalili za kuonesha kuwa Mwanaume ana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni k**a;

1.HUKOSA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA ~huwa Hana uwezo wa kutamani kufanya tendo la ndoa, tatizo hili husababishwa na msongo wa mawazo

2.KUTOKUA NA UWEZO WA KUSIMAMISHA UUME ~Hali hii hutokea kutokana na kutoa kuwepo kwa mzunguko wa damu wa kutosha Kwenye uume

3.UUME HUSINYAA KATIKATI YA TENDO~uume wa mwanaume husinyaa na kuwa mdogo na kurudi ndani hivyo huwa Hana uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa, Hali hii husababishwa na upigaji punyeto kwa muda mrefu

4.KUFIKA KILELENI MAPEMA ~mwanaume hushindwa kufanya mapenzi kwa dakika hata 15 hivyo huwahi kupeez ndani ya dakika 5.

5.KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA ~mwanaume hushindwa kurudia mzunguko wa pili hivyo akifika mzunguko wa kwanza anakuwa Hana uwezo wa kuendelea, Hali hii husababishwa na kutokua na msukumo wa damu wa kutosha.

Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za Kiume k**a umeziona moja ya dalili hizo usipuuze, na k**a unamfaham mtu mwenye Changamoto hii usipuuze mpatie taarifa hii atakushukuru sana, kumbuka hilo tatzo likiwa sugu utapata shida Sana kurejea ubora wa mwanzo itakuwa ngumu sana na utadhalilika. Jenga Afya yako sasa hivi kwa nini usubiri kesho?
Kwa mawasiliano zaidi tuma neno afya bora kuja WhatsApp no.+255622936745

# kesho

27/10/2022

KUNA SIRI KUBWA IMEJIFICHA KWENYE KULEGEA KWA MISULI YA UUME NA USIPO FANYIA KAZI HIII HARI BASI JUA UNAJIWEKA KWENYE HATARI KUBWA SANA

NIPE MUDA WAKO PLEASE SOMA CAPTION 👇

✍_*Erectile Dysfunction*(ED) ~ Hali Ya Uume Kulegea Na Kushindwa Kusimama Imara Au Kushindwa Kusimama Kabisa Wakati Wa Tendo. Husababishwa Na Mzunguko Hafifu Wa Damu Katika Mfumo Wa Uzazi. Uume Hauna Mfupa Bali Una Misuli Inayo Ushikilia Misuli Hii Ni " *Corpus Canarvosum* " na " *Corpus Spongiosum* " na Ndani Ndio Mishipa Ya Damu Imetawala Mfumo Huu. Macho Yako Mwanaume Unapo Ingia Kwenye Ile Hali Ubongo Wako Una Signal Damu Inaruhusiwa Kuingia Kwenye Mishipa Ile Ya Uume Na Kufanya Misuli Ile Ya Uume Ikaze na Kusimama Imara. Inaamaana Unapokua Na *Poor Blood Flow* Obvious Uume Lazima Ushindwe Kusimama Imara Na Utashindwa Kufanya Lile *TENDO* maana Hautaweza Kumuingia Mwanamke. Hio Hali Ndo Inaitwa *Erectile Dysfunction* na Husababishwa Na Vitu Wakadha Wakadha Kwanzia Stress Mpaka Lifestyle Mtu Anayo Ishi. *Combination* Ya Bidhaa Za Package Zetu Zitakusaidia Kumaliza Kabisa Hii Hali Ya Kupatwa Na *ED*. *📥KARIBUNI📥*_

KWA USHAULI ZAIDI KUHUSU AFYA YA UZAZI NA MATATIZO MBALI MBALI YA KI AFYA WASILIANA NAMI NAMI KWAKUTUM neno afya kuja WhatsApp no.+255622936745

22/10/2022

MADHARA ya kupiga punyeto

Yafuatayo ni madhara ya kupiga punyeto au wengine huita puli(masturbation)

❤1. punyeto humfanya uume kua lege lege na kuonekana mdogo/kibamia na usio jaza yaani mwembamba kabla ya awali

❤2. Husababisha mwanamume kutoa mbegu haraka kipindi cha tendo la ndoa na mwanamke na kushindwa kumfikisha mwanamke kileleni.... (Premature ej*******on)
anaweza akajikuta akigusa tu nanii ndani ya dakika cha he mheshimiwa anatapika.

❤3. Ni moja ya chanzo Kikuu cha kupoteza nguvu za kiume, uume kusinyaa na kukosa nguvu kwa sababu ya kuharibu mishipa ya fahamu wakati MTU akijisugua katika kulitafuta bao

❤4. Hupunguza idadi ya mbegu za kiume (low s***m count) hivyo ni mbaya sana kwa watu wanaotafuta mtoto na huleta infection na kusababisha,manii kuwa nyepesi na unapofanya jimai manii kutoka kwa mkewe badala ya kuingia ukeni na huweza kuwa sababu ya kutopata mtoto

❤5. Husababisha mtu kusahau sahau sana na kushindwa kufanya vitu kwa makini zaidi

❤6. Huleta utumwa wa kifikra kwani ukishaanza huwezi kuacha kirahisi (addiction)

❤7. Punyeto husababisha mwanamke au mwanamume kukosa hamu kabisa na mwenza wake hivyo kuleta usumbufu kwenye mahusiano.

❤8. Punyeto ni chanzo kikuu cha ngono za jinsia moja shuleni na vyuoni ambazo huambukiza magonjwa ya Zinaa k**a Gono, kaswende na Ukimwi kirahisi sana.

❤9. Husababisha msongo mkubwa wa mawazo kwani mara nyingi kila umalizapo tendo hilo unajuta sana na kuapa kwamba hutorudia tena lakini ikifika mida Fulani sabuni k**a kawaida.

Wapo wengi sana waliojaribu kuyatibu madhara yake lakini ni wachache walio fanikiwa kutokana na wengi kuto kujua namna sahihi ya kukabiliana na madhara haya.

Tuma neno lishe na AFYA Whatsapp no.0622936745 kupata nafasi ya kuzungumza moja kwa moja na mshauri wetu wa afya na kukusaidia kutatua Changamoto zitokanazo na kujichua.

Website