Afya na Asili yetu.

Afya na Asili yetu.

Share

Tiba na Masomo ya Afya

13/12/2025

28/07/2025

Unakulaga Mapema?.Je,? Unafahamu Faida zakee?

29/06/2025

Je,?Wajua Ulaji wa mboga kwawingi ni kinga na tiba kwa maradhi mengi k**a yafuatayo.
1.Matatizo ya mmeng,enyo wa chakuala
2.Magonjwa ya Moyo na shinikizo la damu
3.Husaidia kupambana na matatizo ya figo pamoja na mishipa ya damu
4.Husaidia kupambana na sumu za Vyakula pamoja na Nadawa, Nk.

13/12/2023

LEO TUJIFINZE CHEMBE YA MOYO.

Chembe moyo husababishwa na nini
chembe moyo
maumivu ya chembe ya moyo
Chembe moyo au kwa kitaalamu stable angina au angina pectoris. Ni aina ya maumivu ya kifua yanayatokea baada ya kupungua kwa mzunguko wa damu kwenye moyo. Kupungua kwa mzunguko wa damu husababisha kukosa hewa safi ya oksijeni kwenye moyo.

Maumivu hutokea baada ya mwili kufanya kazi flani ama pale unapopata msongo wa mawazo.
Mumivu haya ya chembe moyo husababisha mtu kukosa raha, kuhisi k**a kifua kimejaa na kubana kwa kifua eneo la katikati.

Chembe Moyo Hutokea Wakati gani?
Chembe ya moyo hutokea pale misuli ya moyo inapohitaji damu ya kutosha zaidi kuliko kawaida. Mfano wakati unafanya mazoezi, au unapokuwa na msongo wa mawazo. Unapokua umetulia mfano umekaa kwenye kitu kiwango cha hewa ya oksijeni kinachohitajika ni kidogo. Lakini unapokuwa kwenye shughuli k**a kupanda mlima au kukimbia moyo unahitaji kiwango kikubwa cha hewa na ndio matokeo ya chembe moyo.

Dalili za Chembe Moyo
Pamoja na maumivu na kubana kwa kifua dalili zingine za chembe ya moyo ni k**a
Kushindwa kupumua vizuri
Kupata kichefuchefu
Mwili kukosa nguvu na kupata ganzi
Kutokwa na jasho na
Msongo wa mawazo
Mazingira na tabia Hatarishi Zinazopelekea kupata Chembe moyo
Kuwa na uzito mkubwa na kitambi
Kuwa na historia ya kugua magonjwa ya moyo
Kuwa na kiwango kikubwa cha cholesterol au shinikizo la damu kuwa juu
Mgonjwa wa kisukari
Uvutaji wa sigara
Kutofanya mazoezi au kushugulisha mwili
Kula mlo mkubwa na
Mazingira ya joto kali au baridi kali
Vipimo kwa ajili ya chembe ya moyo
Kabla ya kufanyiwa vipimo daktari aatakuuliza kuhusu historia ya tatizo lakona kisha kufanya vipimo hivi
Electrocardiogram: kipimo hichi hufatilia umeme ndani ya moyo na kuchambua uwiano.
Angiography: Kipimo cha x-ray ambacho huchunguza mishipa ya damu na kupima mzunguko wa damu kwenye moyo.

Vipimo hivi vinasaidia kujua k**a moyo unafanya kazi vizuri na k**a mishipa ya damu inapitisha damu vizuri.Kwa Ushauri piga 0686284301.

05/12/2023

Kula korosho kwa afya

11/10/2023

Tumia DETOX.Tiba Kwaajili ya kuondoa Sumu mwilini na kusafisha Damu.Pia Dawa detox ni maarufu katika kutibu Maradhi ya Fuatayo.

1.Vidonda vya tumbo,
2.Maumivu ya Viungo vya mwili k**a!,Magoti,mgongo nk.
3.Maradhi ya presha, sukari nk,
4.Hutengeneza uwiano Mzuri wa hormones,
5.Inaondoa Uchovu unaoletwa na Uwepo wa baadhi ya Sumu za Vyakula vinywaji na Baadhi ya madawa.
6.Detox huondoa Usugu wa baadhi ya Dawa
7.Husafisha Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula,Figo na kibofu Cha mkojo.
Karibu Inapatikana, Arusha, Dar, manyara, Kilimanjaro, Singida, Babati na Iringa wasiliana nasi kwa namba 0686284301,0767220508.

11/09/2023

Kula Asali na zega lake.

10/09/2023

Usiku kula Vyakula Laini au unaweza Kula tu sahani ya matunda,kwakua Unapokua umelala na mmeng'enyo nao hauchakati chakula kwa Kasi.

30/08/2023

K**a na wewe ni miongoni Mwa wanao sumbuka na Vidonda vya tumbo.Nak**a Unadalili zifuatazo Tumbo kujaa gesi,Kiungulia,Maumivu ya Tumbo nk.Sasa Tiba ni hii hapa.Hii humaliza Vidonda Kabisa Inapatikana Arusha,Dar es salaam, Babati -Manyara,Singida nk.Wasiliana nasi kwa namba 0686284301 au 0767220508.

Telephone

Website