Elimu Huru ya Mapenzi

Elimu Huru ya Mapenzi

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Elimu Huru ya Mapenzi, Health/Beauty, .

08/04/2024

Sina jambo la kunena kwako Mungu wangu zaidi ya kukushukuru kutimiza Muongo wa tatu siku ya leo, Ahsanteh Mungu wangu 😭😭, Ahsanteh kunifikisha siku ya leo Happy birthday to me

11/01/2024
Photos from Elimu Huru ya Mapenzi's post 07/01/2024

Karibu tukuhudimie Home shopping and retail kwa bei ya kitonga

19/11/2021

Je wajua Afya yako imara ndio Utajiri wako?

16/09/2021

MUME WA MTU UNATAKA ZAA NAYE

K**a unatembea na mume wa mtu na upo huru kumpigia simu wakati wowote, anaweza hata kulala kwako na asiulizwe chochote, anaishi na wewe k**a vile hana mke basi jua kuna mwanamke mwenzako anateseka na kulia kila siku kwaajili yako.

Unaweza kudhani kuwa huyo mwanaume ana upendo lakini ukweli nikuwa ni aina ya mwanaume ambaye ni mnyama kupita kiasi. Usidhani kwamba labda mke wake ni mjinga kwakua anavumilia, wala usije kudhani kua mke wake anamng’ang’ania huyo mwanaume.

Kuna mara nyingi sana mke wake alishajaribu kuondoka lakini huyo mwanaume akamtishia, labda alishamwambia “Ukiondoka niachie wanangu…ukiondoka huna chako... ukiondoka hao watoto utawalea mwenyewe!” Najua unadhani kwamba anakupenda na labda ukimpindua huyo mke wake basi wewe utakua na furaha. Hapana, hata akikuoa leo jua kua mwanaume k**a huyo ashakua teja wa kunyanyasa, mkewe akiondoka akabaki na wewe basi jua kuwa wewe ndiyo utakua mtu wake wa kunyanyasa na atatafuta mwanamke mwingine k**a wewe ili kula naye raha. Ndiyo, mwanaume k**a huyo anamchukulia mke wake k**a choo. anakula raha kwengine lakini takataka zake anaenda kuweka kwa mkewe.

Kwa maana hiyo, hata akikuoa wewe basi jua ataendelea kula raha kwengine na wewe utakua ndiyo choo chake. Huna ujanja wowote, sio k**a una uzuri wa ziada, tena pengine mkewe nyumbani ni mzuri kuliko hata wewe, wala hivyo viuno au mganga uloenda havijamchanganya, hiyo ndio tabia yake, kumfanya mkewe k**a choo. hivyo basi, wakati ukifurahia na kujiona umemk**ata wakati mwanamke mwenzako analia😭😭 na watoto, usidhani ukichukua nafasi yake hiyo furaha itaendelea, utabakia kua choo tu kwake punde atakapompata mwingine, hapo ndo utakapojua kwanini kipilipili ni nywele lakini kisukari ni ugonjwa.
👌👌👌

Amka, zinduka, muombe Mungu akupe mume mwema💏💑.
's upoo.🙄🙄🙄🙄

Share

Website