Bfsumaproducts04

Bfsumaproducts04

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Bfsumaproducts04, Health/Beauty, .

Photos from Bfsumaproducts04's post 12/04/2023

*TANGAZO TANGAZO*

*MZIGO MPYA WA DUVERT SHUKA 1 UMEKUJA SOON NITAPOST MAUWA*

*LAKINI NI MCHACHE SAANA SASA BASI WEKA HELA KWENYE SIMU CHAP*

*KULIPIA KWAKO NDIO KUPATA KWAKO*

*MZIGO MZURI NA QUALITY NYIE NDIO MTASIMULIA*

*DUVET 1*

*SHUKA 1*

*FORONYA 2*

*TSH 36000 jumla kuanzia pic 3. Wasiliana nasi 0659781104

Photos from Bfsumaproducts04's post 12/04/2023

*NAPOST COTTON YA TYLAND SIZE 6 KWA 6*

*SHUKA 2*

*FORONYA 2*

*SIZE 6 KWA 6*

*TSH 20,000 JUMLA* . Piga 0659781104

11/04/2023

*FAIDA ZA ARTHROXTRA,ZAMINOCAL PLUS & GLUZOJOINT CAPSULE

✅Hizi ni bidhaa za asili zilizotengenezwa kwa kutumia vyakula vile vile tunavyo kula ila ni mahususi kwa ajili ya maungio *_@Maumivu kwenye magoti, mgongo kuwaka moto,kushindwa kuinama kutokana na maumivu kwenye,miguu kuwaka moto nk_*

🔥kazi zake
☑️Huzuia maumivu ya viungo ☑️Huongeza ute ute kwa maungio
☑️Huzuia kulika kwa maungio ☑️Huzuia kulika na kusagana kwa maungio kwa kuzalisha ute ute,
☑️Huondoa maumivu ya maungio,kiwiko,mgongo shingo
☑️Huwafaa sana walio sagika viungo kwa kuzalisha ute ute ☑️Huwafaa sana wazee na watu wa GYM
☑️huzuia mifupa kusagana kwa kuzalisha ute ute kwenye maungio

https://chat.whatsapp.com/JIeSEk0JG8U57aNGMnrwL8
Karibu kwa ushauri wa afya. PIGA 0659781104 au njoo inbox

10/04/2023

Happy Easter to everyone

09/04/2023

💥💥💥SABUNI YA RANGI MOJA NA OFFA KABAMBE⚜️⚜️⚜️💥💥
💥Offa ni ya siku 2 pekee Ukichukua sabuni 4 unapata 2 niongeza. USIJE KUSEMA HUKUONA OFFA, NA HII OFFA UTAIPATA KWANGU TU😁😁😁🥰🥰
-Tunavyosema rangi moja tuna maanisha, je ni wewe unaesumbuka kutaka rangi moja mwilini, basi ondoa shaka. Ambatana nani ili uweze kupata sabuni hii🥰🥰
**KWA SASA IMEPEWA JINA K**A DAKTARI WA NGOZI SABAB YA KAZI YAKE MWILINI. HVYO WAHI OFFA HII KIPINDI HKI UIPATE SABUNI HII.

*DAKTARI_WA_NGOZI ANATIC_HERBAL ESSENCE SOAP

0% chemical
-Ni sabuni ya mitishamba iliyotengenezwa na viambata asili k**a ifuatavyo.

💯INGREDIENTS(VIAMBATA)*

1. Wild honey..( asali mwitu)
2. Green tea ...(mchai chai)
3. Grape fruit..(mbegu za mzabibu)

📌KAZI MUHIMU
1. Hupamabana na uzee
na kuondoa makunyanzi
2. Hufanya ngozi kuwa na unyevu unyevu na kuonekana nadhifu
3. Huondoa mapunye, chunusi na mafuta yaliyozidi kwenye ngozi
4. Inafuta uchafu uliopo ndani ya ngozi na uchafu unaosababisha chunusi pamoja na vipele
5. Inaondoa madoa/makovu kwenye ngozi
6.Inaondoa seli za ngozi zilizokufa hvyo kufanya ngozi iwe laini na nyororo
7. Inazibua njia za jasho kwenye vinyoleo hvyo kuthibiti tatizo la harufu mbaya mwilini
8. Inatibu vidonda vya kuungua, jeraha pamoja na vidonda vya kisukari
9. Inatumika k**a mafuta ya kupaka pia
10. Inatunza ngozi ya mtoto

https://chat.whatsapp.com/JIeSEk0JG8U57aNGMnrwL8
Wasiliana nasi 0659781104

09/04/2023

PURE & BROKEN
Baadhi ya kazi zake ni zifuatazo👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼

⏺ Hupandisha CD4 mwilini
⏺ Huongeza Kinga mwilini
⏺ Ni nzuri kwa walio ugua mda mrefu
⏺ Ni nzuri kwa wenye shida ya homa ya ini
⏺ Ni nzuri kwa waliokuwa na shida ya kutanuka kwa Moyo
⏺ Ni nzuri kwa waathilika wa VVU
⏺ Huongeza nguvu Mwilini
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya shinikizo la damu
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya Kisukari
⏺ Huondoa Sumu mwilini
⏺ Huondoa uvimbe mwilini
⏺ Huondoa goita ikitumika na Zaminocal plus
⏺ Huondoa Maumivu makali wakati wa hedhi
⏺ Huondoa Maumivu makali ya viungo mwilini
⏺ Huongeza uwezo wa mwili kutengezeneza damu
⏺ Huimarisha seli za ubongo hivyo hudhibiti hali ya kusahau
⏺ Huimarisha macho
⏺ Huongeza nguvu za kiume
⏺ Huondoa vimelea vya Saratani
⏺ Huimarisha ngozi yako
⏺ Hutibu magonjwa katika mfumo wa upumuaji
⏺ Hutibu Ugumba
⏺ Huondoa changamoto ya kukosa hedhi
⏺ Huondoa hernia Aina zote ikiwa na Yunzhi pamoja na ( novel au Prostatrelax capsules) kulingana na eneo ilipo na kwa jinsia husika
⏺ Hujenga Kinga ya mwili dhidi ya magojwa mbalimbali

Uyoga mwekundu unakazi nyingi Sana kuziorodhesha zote hatutaweza kuzisoma zote

Kwa ubora wa afya na Kinga ya mwili tumia Uyoga mwekundu mara moja hata kwa miezi mitatu wewe Mwili wako utakuwa imara hii ni dawa iliyotengenezwa kwa ubora mkubwa zaidi na inakazi Kubwa kuliko vile tunavyoiona

Uwe unaumwa au huumwi pure ni kitu sahihi na Ni mhimu kwako kuitumia.

https://chat.whatsapp.com/JIeSEk0JG8U57aNGMnrwL8
Tupigie 0659781104

09/04/2023
08/04/2023

🚘

Photos from Bfsumaproducts04's post 04/04/2023

*JINSI YA KUPUNGUA UZITO NA KITAMBI BILA YA
KUFANYA MAZOEZI.*

✅LOSS WEIGHT PROGRAM.
-Hii ni program mahususi ambyo dhumuni lke ni kuwasaidia wale wote wanaotaka kuondoa kitambi, kupunguza uzito na nyama zembe.

💥sababu ya mfumo wa maisha yetu, watu wengi wamekuwa wamekuwa hawali vyakula bora na hvyo kupelekea matatizo mbalimbali kuwakumba k**a uzito kuongezeka, vitambi na magonjwa kam pressure n.k

💥Mazoezi ni muhimu sana kwetu sisi na Ndio maan wataalamu wansema angalau kila sku upate dk 30 ufanye mazoezi. Lkin sababu ya kazi na maisha kubana mtu anakosa muda wa mazoezi na wengine ni sababu ya uvivu tu.

🔥Ukiendekeza mwili pasipo kupata muda wa mazoezi itapelekea kupata maradhi yafuatayo.
1. Kwanza uzito kuongezeka pasipo kawaida.
2. Kuwa na kitambi. Unkuta kijan mdgo tu tyari Ana kitambi NA SIKU HIZI HASA WANAWAKE.
3. Magonjwa ya pressure.
4. Magonjwa ya moyo
5. KISUKARI n.k

🔥Tafiti zinaonyesha waAfrika wengi wamekumbwa na hli tatizo, hii ni sababu ya ulaji mbovu wa chakula , mfumo mbaya wa maisha na kukosa mazoezi.

✅Hvyo basi, bright future company kwa kuona hli imeandaa virutubisho muhimu sana vya kupunguza uzito na kuondoa kitambi ndani ya sku chache sana.

🔥Uzuri hii program wengi imewasaidia na wamepata matokeo mazuri kbisa baad ya kutumia virutubisho hvi.

💥Hvyo basi kam unhitaji, mkereketwa na unatmani kuingia kwenye program hii ili kuondokana na hlo tatizo, nichek whatsap kwa namb hpo chini Au Nipigie 0659781104.

https://chat.whatsapp.com/JIeSEk0JG8U57aNGMnrwL8

01/04/2023

⛰Ugonjwa wa Kisukari ni Nini? Chanzo, Dalili na tiba yake


🕋KISUKARI NI NINI HASWA?

Sukari mwilini hutokana na vyakula pamoja na vinywaji tunavyotumia kila siku na hutumika kuupa mwili nguvu. Glukosi ni aina ya sukari ambayo huzipa chembe za mwili nishati. Hata hivyo ili glukosi iingie ndani ya chembe hizo inahitaji insulini. Insulini ni kemikali (Homoni) ambayo hutokezwa na kongosho (Pancrease).

Kisukari ni ugonjwa unaotokana na mtu kuwa na sukari nyingi kupita kiasi kwenye damu. Ugonjwa huo huvuruga utaratibu wa kuingiza sukari ndani ya chembe kutoka kwenye damu kwa kuwa chembe huhitaji sukari ili kupata nishati.

Ugonjwa wa Kisukari hutokea pale ambapo tezi ya kongosho inaposhindwa kutengeneza kichocheo (Homoni) aina ya insulin au pale mwili unaposhindwa kutumia vizuri kichocheo hicho na kusababisha kuongezeka kwa sukari (Hyperglycemia) au kushuka kwa kiwango cha sukari (Hypoglycemia). Ugonjwa wa kisukari unaweza kusababishwa na kuwa na kiwango kidogo cha insulin mwilini, mwili kutosikia kichocheo

🕋NINI CHANZO HASA CHA KISUKARI?

Ili kuelewa vyema ugonjwa wa kisukari ni muhimu kwanza kuelewa namna chakula kinavyovunjwa vunjwa na kutumiwa na mwili ili kuzalisha nguvu. Wakati chakula kinapoyeyushwa matukio kadhaa hutokea. Moja ni sukari inayoitwa glucosi ambayo ni chanzo cha nishati/nguvu mwilini huingia katika damu. Tukio la pili ni kiungo kinachoitwa kongosho (Pancrease) kutengeneza kichocheo cha insulini. Kazi ya insulini ni kuondoa glucosi katika damu na kuingiza katika misuli, seli za mafuta na ini, ambako hutumika
DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI

~ Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila wakati.
~ Kwenda haja ndogo mara kwa mara. Watoto kukojoa kitandani.
~ Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na kujisikia mchovu kila wakati.
~ Kupungua uzito au kukonda licha ya kula vizuri.
~ Kusikia njaa kila wakati na kula sana.
~ Wanawake kuwashwa ukeni.
~ Kutoona vizuri.
~ Kupungua nguvu za kiume au hamu ya kujamiiana kwa wanawake.
~ Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu, viganja na vidole.
~ Miguu kuoza na hata kupata gangrini.
~ Kukaukwa na ngozi na pia kupata ganzi

30/03/2023

🚨Takwimu hizi zitadumu takribani miaka kadhaa

➔ Messi: mabao ana 800 na (Pasi za Mabao) 353 katika michezo 1017.
➔ Cristiano: mabao ana 830 na (Pasi za Mabao) 236 katika michezo 1,156.
➔ Messi: Ana Ballon d'Or 7.
➔ Cristiano: Ana Ballon d'Or 5.
➔ Messi: Ameshinda Viatu 6 vya Dhahabu.
➔ Cristiano: Ameshinda Viatu 4 vya Dhahabu.
➔ Messi: Ameshinda mataji 42 ya pamoja.
➔ Cristiano: ameshinda mataji 34 ya pamoja.
➔ Messi: bingwa wa dunia na bingwa wa mara nne wa Ligi ya Mabingwa.
➔ Cristiano: bingwa mara tano wa Ligi ya Mabingwa.
➔ Messi: Mfungaji bora wa muda wote wa Argentina.
➔ Cristiano: Mfungaji bora wa muda wote wa Ureno.
➔ Messi: Mfungaji bora wa muda wote wa FC Barcelona.
➔ Cristiano: Mfungaji bora wa muda wote wa Real Madrid.
➔ Messi: Mfungaji bora wa muda wote kwenye Ligi(Laliga).
➔ Cristiano: Mfungaji bora wa muda wote katika Ligi ya Mabingwa.
➔ Messi: Mfungaji bora wa Amerika Kusini katika soka ya timu ya taifa.
➔ Cristiano: Mfungaji bora wa muda wote katika soka ya timu ya taifa.
➔ Messi: Mfungaji bora wa muda wote katika raundi za kufuzu za Amerika Kusini.
➔ Cristiano: Mfungaji bora wa muda wote katika mechi za kufuzu Ulaya.
➔ Messi: misimu 13 na mabao zaidi ya 30.
➔ Cristiano: misimu 12 na malengo zaidi ya 30.
➔ Messi: Ameingia mara 16 Katika Kikosi Cha FIFA/FIFPro World 11.
➔ Cristiano: Ameingia mara 15 Katika Kikosi Cha FIFA/FIFPro World 11.

- Mbuzi 🐐🐐 Wawili Wamejua kufurahisha Macho yetu na hatujajutia Kuwatizama 🇵🇹. chambueni hpo

Website