AFYA TZ
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA TZ, Health/Beauty, .
05/06/2022
Kitu kikubwa hutawala kichwa chako unapotaka kuanza kujitegemea ni njia ipi ambayo itakukwamua kutengeneza kipato!
Mara nyingii kichwani vitakuja vitu viwili (2) ni kutafuta Kazi au kuanzisha biashara!
Hapo pia yanajengeka maswali mengi kichwani kwako k**a nikutafuta kazi je itakuwa na maslahi haya sawa je nitafanya biashara ipi yenye kulipa!
Je upo tayari kufahamu hayo mambo Matatu?Kama jibu *NDIO!* Basi haya hapo 👇🏾
1.Kufahamu bidhaa/huduma unatoka kuitowa
2.kuchaguwa njia ya kutowa huduma
3.Kujuwa soko lako
Inawezekana haujaelewa vizuri hayo mambo k**a utapenda kujifunza zaidi kwa kina.Nitumie ujumbe neno kwenda what'sApp +255693491551
29/05/2022
UJUE VIZURI MSULI UNAOINUA NA KUIMARISHA UUME
Pelvic muscle ni msuli unaoinua uume .Wakati uume unasimama ndiyo unashikilia ni k**a mzizi wa uume.Pia huwezesha kubana mkojo au kakata mkojo .Vile vile wakati wa kujamiana huwezesha mwanaume kujicontrol asitoe mbegu mapema .Huu msuli ukilegea mwanaume anashindwa kujitawala wakati wa kujamiana ,akijaribu kubana asimwage mbegu anajikuta anashindwa zinaponyoka sekunde chache tu!
Mambo Yanayolegeza msuli huu ni ;
1)Uzito mkubwa.
2)Punyeto yani kujichua Sana
3)Kivimbiwa tumbo/Tumbo kujaa gesi
4)Bawasili.
5)Matatizo Ya Mzunguko wa Damu .
6)Kukohoa Sana/kwa muda mrefu.
Suluhisho: Tuma ujumbe neno KAKA RIJALI kwenda whatsapp namba 0693491551 au piga simu usaidiwe mapema
14/04/2022
😂 shida sio nyundo Ina Saizi gani! Shida ni Matumizi tu 😂🙌🏽
Hofu ya maumbile madogo ya kiume ni mojawapo ya tatizo linachangia woga, wanaume kujihisi kuwa ana maumbile madogo na kumfanya kuwa na dhana kuwa atashindwa kukidhi hisia za kimwili za mwenza wake.
Wanaume wanashindwa kufahamu kuwa umbile dogo si chanzo cha kushindwa kumridhisha mwenza. Mwanamke anaweza akaridhishwa na kufika keleleni hata kwa mwanaume mwenye saizi ya kidole cha mtu mzima ilimradi Uume usimame vizuri na mzunguko wa damu uwe mkubwa.
Karibu tukuhudumie tukupe ushauri na kukupa makala nzuri juu ya afya ya uzazi na tendo la ndoa 📌
𝐂𝐀𝐋𝐋/ 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏 0693491551
10/04/2022
ɴᴊɪᴀ ᴢᴀ ᴋᴜᴀᴄʜᴀ ᴘᴜɴʏᴇᴛᴏ
1. Acha kuangalia video za ponograph: video hizi ndio chanzo kikuu cha punyeto kwa watu wengi hua zinajenga picha nyingi kwenye ubongo na kila picha unayoiona utataka ukaipigie punyeto hivyo kuacha kuziangalia tu ndio nafuu yako.. 2. Weka mipango ya kuzuia kupiga punyeto wakati wa kuoga: bafuni ndio sehemu ambayo inatumika sana na watu wengi kupiga punyeto hivyo ni vizuri kua na mikakati ya kujizuia ukiwa huko kwa kuoga haraka na kuondoka, kuoga maji ya baridi ambayo mara nyingi hayatoi muhemko wa kupiga punyeto.
3. Epuka kukaa nyumbani peke yako; mara nyingi kukaa peke yako kunakufanya ushawishike kufanya tendo hilo, hebu ondoka na ujichanganye na watu wengine au tafuta majirani wa kukaa na kuongelea mambo mengine.
4. Fikiria kuhusu madhara yake: kila aliyewahi kupiga punyeto kuna madhara mabayo ameshayapata hasa madogo madogo k**a uchovu mkubwa, kuumwa kichwa na kusahau sana hii itakupa moyo wa kuendelea kutopiga punyeto.
5.Acha kusema eti hii punyeto ni ya mwisho: siku zote wapiga punyeto wana akili moja ya kufikiria eti sasa leo napiga afu sirudii tena. Hicho kitu hakipo, kwani kesho yake utasema ivoivo, k**a unaacha acha mara moja.
6. Tafuta mpenzi k**a huna kabisa: ukiwa na mpenzi madhara ya punyeto k**a kupungukiwa nguvu za kiume yatakufanya uache kabisa kwani ukiendelea utaaibika siku moja pale uume utakaposhindwa kusimama kabisa mkiwa faragha chumbani na pia utapata nafasi ya kushiriki tendo la ndoa hivyo kuacha kabisa punyeto.
Walio adhirika na punyeto dawa ipo ya kuimarisha nguvu za kiume na kuwa rijali k**a mwanzo.
Whatsapp/Call 0693491551
Message Kaka rijali on WhatsApp. https://wa.me/message/FQUBTBCN4FI4E1
02/04/2022
NILIJUTA MIMI ,NILIJUTA SANA KUPIGA PUNYETO SHULENI BOARDING.
MADHARA YALIYONITESA NI
👉Uume kusinyaa kila nkijaribu kubadilisha style au mtindo.
👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.
👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.
👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza
👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.
👉Uume kutosimama nikiwepo na mwenza wangu lakini akiondoka naona napata hamu na uume unasimama vizuri.
👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika nashindwa kurudia tena.
👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.
👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.
K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO ZILIZOKUA ZINANITESA MIMI USIJIFICHE, K**A MIMI NIMEPONA NA WEWE PIA UNAWEZA KUPONA
Tuma ujumbe neno RIJALI kwenda whatsapp namba 0693491551 au piga simu usaidiwe mapema
06/03/2022
MINI COMBO ITAKUPA UWEZO WA:👇👇👇
° Kusimamisha uume vizuri na kwa muda mrefu zaidi.
° Kuwa na uwezo wa kurudia round nyingi.
° Kuzalisha mbegu nyingi zenye virutubisho vya kutosha na kutungisha ujauzito.
° Kupata hamu ya tendo la ndoa na kulifurahia bila wasiwasi
° Stamina kwenye tendo la ndoa
Kumbuka nguvu za kiume si ugonjwa, bali ni upungufu wa virutubisho lishe mwilini ambavo hufanya mwili ufanye kazi vyema so USITUMIE DAWA TUMIA VIRUTUBISHO
WhatsApp/Call 0693491551 kwa muongozo zaidi
24/01/2022
UNAWAHI KUMALIZA NA HUWEZI KURUDIA WAKATI WA TENDO LA NDOA WASILIANA NASI UPATE SULUHISHO LEO UJIEPUSHE NA FEDHEHA. ..
✔️ k**a .....
▪️kukosa hamu ya tendo la ndoa,
▪️kupata stress ovyo,
▪️kuchoka haraka wakati wa tendo la ndoa
▪️Namengineyo k**a +Uume kusinyaa na kuwa mdogo mno ukiwa ndani ya mwanamke ,+Kuvuja mbegu (s***m leakage)
TUMA SMS What'sApp KAKA RIJALI /PIGA...0693491551
02/12/2021
KWA NINI UTUMIE MULTI-MACA? ANAELEZA:
MULTI-MACA (100% NATURAL) NI KIRUTUBISHO MUHIMU NA MAALUM KWA WANAUME NA WANAWAKE.
HUSAIDIA:
1. Kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume bila kuchoka
2. Ku-balance homoni
3. Kuboresha msukumo wa damu ambayo ni muhimu kwenye nguvu za kiume
4. Kupunguza madhara ya menopause (kukoma kwa hedhi)
5. Kuzuia ukuaji wa tezi dume
6. Kuongeza stamina pamoja na nguvu za kiume
7. Kuongeza idadi, kasi na ubora wa mbegu
8. Kutatua tatizo la vaginal dryness kwa kumuwezesha mwanamke kuwa mnyevu wakati wote wa tendo la ndoa na kulifurahia bila kuwa na mawazo ya michubuko na maambukizi ya magonjwa ya zinaa
9. Kupunguza athari za msongo wa mawazo kwenye mwili
10. Inarutubisha mayai na kuweka sawa afya ya uzazi kiujumla
Tuma ujumbe neno MACA kwenda whatsapp namba 0693491551 au piga simu usaidiwe mapema