Habari za michezo duniani kote
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Habari za michezo duniani kote, Health/Beauty, Kevin, Bujumbura.
13/07/2026
Harrison bettoni ndani ya Chelsea akitokea academy ya Wigan athletic baada ya mkataba wake Kuisha.Anacheza nafasi ya kiungo wa mbele
13/07/2026
Man utd imekamilisha usajili wa Tielemans akitokea Aston villa kwa kitita cha €41M
Tukumbuke pia man utd imesibitisha rasmi usajili wa andrey santos kutoka Chelsea
01/01/2026
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mwandishi David Ornstein, Chelsea imepanga kumtambulisha kocha wake mpya siku chache zijazo na mpaka sasa anayeongoza orodha ya makocha wanaotakiwa ni pamoja na kocha wa Strasbourg, Liam Rosenior ambaye ni kocha raia wa Uingereza mwenye miaka 41.
Kocha huyo ambaye ni mchezaji wa zamani wa Brighton mpaka sasa ameshakuwa kocha kwa timu tatu ambazo ni Derby County alipokuwa kocha wa muda mara baada ya Wayne Rooney kutimuliwa, amekuwa kocha wa Hull city na sasa yupo Strasbourg.
Kumekuwa na tetesi kwamba Chelsea pia inamtaka kocha wa Crystal Palace, Oliver Glanser ingawa mwandishi David Ornstein amepinga taarifa hizo.
01/01/2026
Enzo Maresca ameondoka chelsea kwa Hali isiyofaamika
Tangazo rasmi linatarajiwa kuachiwa ivi karibuni
Viongozi wa Chelsea wanajipanga kumtafuta kocha mpya karibuni iwezekanavyo
01/01/2026
Enzo Maresca ameomba apewe udhibiti kamili wa timu
Anataka yeye ndiye:
anayepanga mipango ya timu
anayechagua na kununua wachezaji.
anayejenga kikosi kwa maono yake
Hataki tena kudhibitiwa au kuingiliwa na wamiliki wa Chelsea 🙅🏿♀️
ANATAKA KILA KITU AFANYE YEYE K**A YEYE, HATAKI KUULIZWA KWA NINI NANI HACHEZI
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Kevin
Bujumbura