sakina herbs
a healthy nation is a wealthy Nation
30/07/2023
23/05/2023
JE, WAJUA PID NI UGONJWA UNAOSUMBUA SANA?*
PID ni maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke na mara nyingi husababishwa na magonjwa ya zinaa k**a gonorrhea na chlamydia, Ila kuna aina ya maambukizi mengine mbali na magonjwa ya zinaa yanaweza kusababisha maambukizi ya PID.
JE! MWANAMKE HUAMBUKIZWAJE PID?
✍🏻Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na:
➡️K**a una ugonjwa wa zinaa na haujatibiwa kwa muda mrefu.
➡️Kufanya ngono zembe isiyo salama (yani kulala na wanaume tafauti tofauti)
➡️Kuwa na mpenzi ambaye ana wanawake wengi nje.
➡️Kuwa na historia ya PID hapo nyuma
➡️Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)
➡️Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage).
➡️Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango.
➡️Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID
DALILI NA UTAMBUZI WA PID
✍🏻Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni:
👉Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu.
👉Kupata maumivu ya mgongo.
👉Mwanamke kupata dischage chafu sehemu za siri. Zilizoambatana na harufu mbaya.
👉Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa.
👉Kupata maumivu au kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa.
👉Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi.
👉Kupata homa
👉Kupata damu nje ya siku zako zako za kawaida kupata damu ya hedhi
👉Wakati fulani kuhisi kichefuchefu k**a mwanamke mjamzito na kutapika.
N.B Kwa experience, tumekuwa tukiwasaidia watu wengi na kutupatia shuhuda karibu tuzungumze.
P.I.D SOLUTION NDIO SULUHISHO KAMILI
23/05/2023
KIBOKO YA VITAMBI "
DAWA ASILI YA KUPUNGUZA UZITO,KITAMBI,MWILI KWA UJUMLA
"KIBOKO YA VITAMBI "
Ni dawa inayotakana na mimea tiba maalumu kwa ajili ya kuyeyusha mafuta mwilini na kuondoa sumu katika mwili.
Zifuatazo ni katika faida za dawa hii ya KIBOKO YA VITAMBI :
1-inaondoa kitambi kwa siku 30 pekee
1. Inayeyusha mafuta mwilini kwa haraka zaidi
2. Inaondoa chorestrol
NB
Dawa hii ni herbal na haina madhara yeyote 100% herbal
23/05/2023
UGONJWA WA KIFAFA NA TIBA YAKE (EPILEPSY)
Kifafa huelezewa kuwa ni degedege la kujirudia rudiarudia, degedege hili husababisha mwili kojongesha misuli bila hiaria mithiri ya mtu aliye na pepo au kupigwa na shoti ya umeme.
Kifafa kinaweza kuwapata watu wakubwa, watoto wadogo, jinsia yeyote na katika umri wowote.
VIHATARISHI VYA KUPATA KIFAFA
1-Kukosa usingizi kwa muda mrefu
2-Kuwa na historia ya kifafa kwenye ukoo au familia
3-Msongo wa mawazo
4 -Taa za kimurimuri mfano televisheni, Taa za Disko
5-Kutokunywa dawa za kifafa k**a ulivyopangiwa na mtaalamu wa afya
6-Matumizi ya pombe na dawa za kulevya k**a vile kokeini
7-Kiwango kidogo cha sukari mwilini
VISABABISHI VYA KIFAFA
A-Sababu za kimaumbile
B-Kasoro/matatizo wakati wa kuzaliwa mfano kukosa hewa oksijeni wakati wa kuzaliwa
C-Homa ya Uti wa mgongo
D-Majeraha ya wakati wa kuzaliwa
E-Matatizo ya mishipa ya fahamu
F-Saratani au uvimbe ndani ya fuvu la kichwa
H-Homa kali za mara kwa mara
KWA VIJANA NA UMRI WA KATI
X-Jeraha kichwani
X-Saratani ya ubongo
X-Magonjwa ya mfumo wa fahamu
KWA WAZEE
1-Kiharusi
2 - Matatizo katia mfumo wa neva
3-Saratani ya ubongo
4-Majeraha kichwani
DALILI ZA KIFAFA
@-Kuchanganyikiwa kwa muda
@-Mijongeo ya misuli ya mwili isiyo ya hiari
@-Kupoteza fahamu
@-Kutoelewa mazingira
DALILI ZA UKICHAA K**A HOFU , SHAUKU KUU
DALILI ZINAZO AMBATANA NA KIFAFA
Dalili zingine zinazoambatana ni
A-Mkojo au kinyesi kutoka chenyewe
B-Kutokwana povu mdomoni
KWA WENYE TATIZO HILI WASIFE MOYO KWANI SHIFAA HERBAL TUNAYO DAWA KWA JINA LA (KIFAFA POWDER) AMBAYO INA TIBU NA KUKOMESHA KABISA UGONJWA WA KIFAFA
23/05/2023
TATIZO LA KUKOJOA KITANDANI/KIKOJOZI:NA TIBA YAKE
Kikojozi ”bedwetter” ni mtoto wa miaka 5 mpaka 6 anayejikojolea bila hiari yake – ana tatizo la kukojoa kitandani. Anaweza kujikojolewa wakati wowote ,iwe usiku au mchana. Makala hii inalenga kuzungumzia zaidi kujikojolea wakati wa usiku.
KIKOJOZI NI NANI ?
Dalili kuu ni kukojoa bila hiari ,hasa wakati wa usiku, na hutokea angalau mara mbili kwa mwezi.
KUKOJOA KITANDANI USIKU HUSABABISHWA NA NINI ?
@-Kila mtoto huacha kuwa kikojozi katika umri tofauti. Mara nyingi kuacha kukojoa kitandani usiku ni hatua ya mwisho kabisa ya mafuzo ya kutumia choo. Watoto wa miaka 5,6 au zaidi wanapokojoa kitandani huitwa vikojozi.
@-Watoto ambao waliacha kukojoa kitandani kwa takribani miezi sita au zaidi na kisha wakaanza tena kukojoa wana ”secondary enuresis”. Kuna sababu nyingi za mtoto kuanza kukojoa tena baada ya kuwa mkavu kwa kitambo. Sababu inaweza kuwa ya kimwili, kihisia, au mabadiliko ya muda wa kulala.
@-Watoto ambao hawajawahi kuacha kabisa kukojoa kitandani usiku wana primary enuresis.
@- Hii mara nyingi hutokea kwa sababu, mwili hutengeneza mkojo mwingi zaidi kuliko uwezo wa kibofu na mtoto haamki kibofu kinapojaa. Ubongo wa mtoto bado haujajifunza kuitikia ishara kwamba kibofu kimejaa. Hili si kosa la mtoto au mzazi.
@-Matatizo ya kuzaliwa nayo ya mfumo wa mkojo, maambukizi kwenye mfumo wa mkojo na kisukari.
@-Kukojoa kitandani ni tatizo linaloweza kurithiwa kwenye familia.
@-Takribani wavulana 9% na wasichana 6% wenye umri wa miaka saba hukojoa kitandani. Namba hii hupungua kidogo wanapofikia umri wa miaka 10. Ijapokuwa tatizo hili huondoka lenyewe kadri umri unapoongezeka, kuna watu kadhaa huwa vikojozi hadi utu uzima.
KATIKA KITUO CHETU CHA SHIFAA TUNAZO DAWA ZA KUTIBU NA KUMALIZA KABISA TATIZO LA MTOTO KUKOJOA KITANDANI KWA SIKU 30 PEKEE
23/05/2023
📖"GLAUKOMA SOLUTION "
💟-KAZI NA FAIDA ZA GLAUKOMA SOLUTION KWA MAGONJWA YA MACHO
1-Kuimarisha afya ya mishipa midogo ya damu , kuondoa maumivu na ukavu wa macho
2-Kutibu changamoto za mtoto wa jicho, macho kuwa mekundu(conjunctivitis) , kushindwa kuona usiku, na pia kushindwa kuona mbali (myopia)
3-Inasaidia kulipa jicho virutubisho vinavyohitajika ili kuimarisha mzunguko wa damu kwenye macho.
4-Inaimarisha uwezo wa kuona na ubora wa macho.
5-Inatibu na kumaliza kabisa presha ya macho na ukavu wa macho
6-INATIBU
Waathirika wa kisukari na kupelekea macho kushindwa kuona vizuri
7- kukinga macho na kuzuia macho kuzeeka mapema
Wanaotumia vifaa k**a kumpyuta kwa muda mrefu
8-Kazi na faida za Vitamin C kwa Mgonjwa wa Macho
Kuimarisha ufanyaji kazi wa lenzi ya macho. Tafiti zinasema matumizi ya Vitamin C yanaimarisha mzunguko wa damu kwenye macho na hivo macho kuona vizuri.
9-Kuondoa maumivu na muwasho kwenye macho
Kuimarisha uwezo wa mwili kujisafisha na kutoa sumu (detoxification)
💹-Dawa hii ni asilia na haina madhara yeyote (no side effects)
✅-DAWA HII NI MUJARAB KWA WATU WOTE WADOGO KWA WA KUBWA
23/05/2023
"LA STROKE SOLUTION"
✅-DAWA HII HUTIBU NA KUMALIZA KABISA UGONJWA WA KIHARUSI
⚠️-Leo ninataka kukuonesha ndugu msomaji kuwa ugonjwa wa kiharusi (stroke), ni tatizo linaloweza kupata ufumbuzi kupitia bidhaa za shifaa clinic.
♻️- Lakini ikumbukwe kuwa ugonjwa wa kiharusi una aina kuu tatu,na dawa zetu zinaweza kufanya kazi vizuri kwa kutibu aina zote tatu ambazo ni Ischemic na Transient Ischemic stroke.
🆎- Hapa mtu hupata kiharusi kutokana na kuziba mishipa ya damu pale damu inapoganda na kutengeneza bonge (plaque) linalozuia damu kupita.
1-Huboresha utengenezwaji wa nishati kwenye seli za mwili,hususani seli za misuli ya moyo (Myocardial cells) na seli za neva
2-Huboresha kinga na kuimarisha viungo vilivyo pooza
3-Huzuia na kuondoa magonjwa ya ubongo na moyo
4-Huboresha stamina na uimara wa mwili kwa ujumla
5-Hupunguza kiwango cha mafuta (lipid)k**a vile cholestrol na Triglycerides yanayozunguka kwenye damu
6-Hupunguza mrundikano wa chembe za damu (platelet aggregation);huzuia kuganda kwingi kwa damu
7-Hutanua na kutuliza mishipa ya ateri;huzuia ateri kuvimba
8-Hufanya damu kuwa nyembamba na kupunguza kiwango cha cholesterol (lehemu)
9-Hulinda mifumo ya moyo na ubongo kutokana na tabia yake ya kushusha presha
10-Huimarisha mfumo wa neva na kuboresha ubongo
11-Huongeza utengenezwaji wa nishati kutokana na mafuta kwa kasi na kusaidia kupambana na maradhi
🆎-Dawa hii husaidia kufungua mishipa ya damu iliyoziba na kuondoa damu ilioganda na kuzuia damu isitembee vizuri. K**a wewe au unaye ndugu aliyepooza,usisite kupata msaada kupitia dawa hii ya LA STROKE SOLUTION
🌴-KUMBUKA KUWA DAWA HII NI YA HERBAL NA HAINA MADHARA YEYOTE
23/05/2023
MAXY BOOSTER "
DAWA YA KUONGEZA UNENE WA MWILI MZIMA.
-Ni dawa pekee ambayo imetengenezwa kutokana na virutubisho muhimu mbalimbali kwa ajili ya kuongeza unene na kujenga afya nzuri ya mwili.
@-UMUHIMU WA HII DAWA.
-Dawa hii inaumuhimu mkubwa sana k**a ifuatavyo:-
1.Hufanya kazi ya kuongeza unene wa mwili kwa saizi ya unene utakao hitaji kwa haraka.
2.Huongeza virutubisho asilia mwilini kwa ajili ya kujenga afya nzuri kwa mtumiaji wa rika lolote.
3.Husaidia kuupa mwili nguvu na stamina nzuri na kufanya kuwa na muonekano mzuri wenye afya tele.
4.Husaidia kurudisha mwili haraka kwa wagonjwa ambao wanakosa hamu ya kula.
5.Hufanya kazi ya kuzalisha virutubisho vya protini kwa wingi mwilini ili kujenga mwili kwa haraka zaidi.
@-MATOKEO.
-Dawa hii ni dawa pekee ambayo hutumiwa na watu wa rika lolote yani Watoto na watu wazima na kukupa uhakika wa matokeo kwa 100% kwa kila mtumiaji.
-Ni dawa pekee ambayo haina masharti ya matumizi.
@-UPATIKANAJI WA DAWA.
@-PIA TUNATUMA KWENDA COUNTY ZINGINE KUPITIA MABASI YA ABILIA KWA HARAKA NA USALAMA WA HALI YA JUU.
23/05/2023
BABA CARE"
KAZI NA FAIDA ZAKE
1-Huboresha mzunguko wa damu kwenye tezi dume
2-Huzuia kuzaliana na kukua kwa wadudu wabaya ndani ya tezi dume
3-Huondoa dalili za matatizo yote ya tezi dume.
🅿️-HUFAA KWA:
🚹-Wanaume wote wenye matatizo ya tezi dume
✴️-MAELEZO MUHIMU
▶️-Tezi dume ni tezi ndogo yenye ukubwa k**a karanga ambayo pamoja na seminal vescles hutoa maji yanayochanganyika na mbegu za kiume. IKo chini kidogo mwa kibofu cha mkojo na imeuzunguka mrija wa urethra ambao hutoa mkojo nje ya mwili.
⏭️-Matatizo ya tezi dume huhusiana kwa karibu na umri: mwanaume mwenye umri mkubwa huwa katika hatari kubwa ya kukumbwa na matatizo ya tezi dume.
✳️-AINA ZA MATATIZO YA TEZI DUME
Matatizo ya tezi dume huonekana kuangukia katika aina tatu hivi: Maambukizi kwenye Tezi Dume-Prostatitis au Inflammation of the gland; Uvimbe wa Tezi Dume-Benign Prostatic Hyperplasia (BPH) na Kansa ya Tezi Dume (Prostate cancer)
☑️-DALILI ZA MATATIZO YA TEZI DUME
🔴-Dalili za matatizo yote matatu hufanana,na dalili mojawapo huweza kuonyesha kuwepo kwa tatizo lolote la tezi dume:
1-Maumivu wakati wa kukojoa
2-Maumivu k**a moto wakati wa kukojoa
3-Maumivu ya nyonga
4-Kukojoa mara kwa mara
5-Maumivu ya tumbo
6-Kushindwa kuzuia mkojo
7-Ugumba
8-Kuhisi kibofu kimejaa muda wote
9-Kushindwa kukojoa ghafula
10-Upungufu wa damu (Anemia)
11-Kuamka kukojoa mara kwa mara usiku
〽️-DAWA YA BABA CARE
INASAIDIAJE
❌-Bidhaa hii inazuia na kuondoa dalili za matatizo ya tezi dume k**a vile maumivu wakati wa kukojoa,kukojoa mara kwa mara,kushindwa kukojoa kwa haraka. Huboresha mzunguko wa damu kwenye tezi dume,huzuia kuzalian ana kukua kw awadudu wabaya ndani ya tezi dume.
🔰-Nunua baba care sasa na utafurahi sana:
23/05/2023
FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI HEMORRHOIDS (piles) NA TIBA YAKE AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA
WATU wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospitali kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.
~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles
~tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50
AINA ZA BAWASIRI
~Kuna Aina mbili za bawasiri
(A) BAWASIRI YA NDANI
~Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
~Aina hii imegawanyika katika madaraja manne
(1)DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pale panapohusika
(2)DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyewe ndani baada ya kujisaidia.
(3)DARAJA LA TATU :hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe.
(4)DARAJA LA NNE :hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi
(B)BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS
CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI
~matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka ni kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula hata hvyo tiba hii si nzuri kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi kujirudia hivyo tiba nzuri ni kutumia dawa kubandika mahali penye tatizo na kuondoa tatizo Hilo
~PAMOJA NA HAYO BAWASIRI NI UGONJWA UNAOWEZA KUEPUKIKA KWA KUZINGATIA
👉KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA, NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA
👉KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GRASS 6/12 Kwa siku
👉EPUKA KUKAA CHOONI KWA MUDA MREFU
MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimili choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali
Dawa hii ni kiboko sana na inatibu na kumaliza kabisa bawasiri bila upasuaji wowote kwa siku 30 pekee
21/05/2023
DAWA YA ASILI YA KUTIBU NGIRI/HERNIA BILA UPASUAJI
Dalili za ugonjwa huu wa ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.
NAZO NDIZO HIZI ZIFUATAZO ?
1?Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.
2?Kupiga mingurumo tumboni.
3?Kujaa gesi tumboni.
4?Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5?Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6?Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7?Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8?Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9?Nuru ya macho hupotea taratibu.
10?Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11?Huvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12?Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13?Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14?Uume kusimyaa na kunywea k**a wa mtoto
15 ?Maumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto /kupata ganzi
16? Kupata maumivu katikati ya kifua mithili ya chembe ya moyo (hiatal hernia)
17? Tumbo kujaa na kuonekana k**a una kitambi kumbe ni gas.
18? Ukila vitu vyevye sukari nying k**a soda nk tumbo huunguruma sana na kujaa gas
19? Kuvimba kwa korodan ama korodan kupanda juu(moja ama zote kwa pamoja)
MADHARA YA KUKAA NA NGIRI KWA MUDA MREFU
•Kukaa na Ngiri/hernia kwa muda mrefu inaweza kupelekea matatizo yafuatayo:??????
1? Inaweza kusababisha Utasa ( Kushindwa kutungisha Ujauzito)
2?Kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurejea tendo kwa wakati
3?Dhakari kurudi ndan na kuwa na dhakari ndogo k**a ya mtoto mdogo
4? Kushindwa kumridhisha mke wakati wa tendo la ndoa kutokana na ulegevu na udogo wa dhakar
5?Dhakar kusimama kwa ulegevu na hufikia hatua dhakar hushindwa kabsa kusimama.
6?Kuathirika kisaikolojia hivyo inaweza kumsababishia mhusika kupata matatzo mengine kutokana na mawazo ,k**a vile magonjwa ya moyo(CVDs),Vidonda vya tumbo(PUD) nk
7?Upungufu wa nguvu za kiume.
TIBA YAKE
Katika kituo chetu tunazo dawa nzuri sana za kutibu na kumaliza kabisa mshipa wa ngiri au hernia bila upasuaji dawa hii inatibu na kumaliza kabisa bila upasuaji
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
23
Mombasa