Shufaa
Beauty and health
05/11/2025
06/02/2023
KUTOKWA DAMU KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO HUSABABISHWA NA NINI!?
Leo ningependa tuiongelee kidogo maada ya utokaji wa mimba (Abortion) ikiwa ni moja ya sababu ya utokaji damu kwa mwanamke kwenye mimba changa.
KUTOKA/KUTOLEWA MIMBA (Abortion)
Hiki ni kitendo cha kutoa mimba kabla haijafikisha wiki ya 28 kutokana na sababu mbalimbali. Ikumbukwe kuwa katik anchi yetu kitendo cha kutoa mimba kwa makusudi ni kosa la jinai.
Ili kuzitambua sababu za kutoka kwa mimba ni vyema tukajua kwanza aina za utokaji wa mimba na ndipo tutajua na sababu zake.
AINA
MIMBA INAYOTAKA KUTOKA (Threatened abortion)
Hii ni mimba inayotihia tu kutoka ila haitatoka k**a tahadhari zitachukuliwa mapema. Hii huwa na sifa zifuatazo;kutoka damu kidogo ukeeni na maumivu ya tumbo lakini njia (cervix) inakuwa haijafunguka.
Aina hii mara baada ya kuigundua inatakiwa mama huyu awe na mapumziko (bed rest) atumie dawa ya kutuliza maumivu na asifanye mapenzi.
MIMBA AMBAYO NI LAZIMA ITOKE ( Inevitable abortion)
Hii ni mimba ambayo kwa namna yoyote ni lazima itatoka kwani njia ya kizazi huwa tayari imekwisha funguka na hivyo inaweza pelekea masalia ya mimba kutoka yote au kubakiza baadhi.
MIMBA ILIOTOKA LAKINI IMEBAKISHA MASALIA YAKE (Incomplete abortion)
Huwa na sifa zifuatazo kwasababu ya yale masalia yaliyobakia;kutoka damu ya mabonge ukeni,maumivu ya tumbo,njia huwa imefunguka na mfuko wa uzazi huwa ni mdogo kuliko umri wa mimba
MIMBA ILIOTOKA YOTE
(Complete abortion)
Hii huwa imetoka yote bila kubakiza kitu
MIMBA ILIOTOKA NA KUBAKI UCHAFU AMBAYO IMESHAMBULIWA NA WADUDU HUSUSAN BACTERIA
(Septic abortion)
Hii inaweza tokana na mabaki ya mimba ambayo hajatolewa kitaalamu au kufanyika katika mazingira machafu na hivyo mama huyu atakuwa na homa, kutokwa damu kwa wingi, njia ya kizazi itakuwa wazi na atakuwa anatokwa na uchafu wenye harufu sehemu za siri.
MIMBA KUTOKA MARA KWA MARA ZENYEWE
( Arbitual abortion)
Aina hii mara nyingi mimba zinakuwa zinatoka zenyewe na ni lazima iwe imejirudia zaidi ya mara 3 ktk historia ya mama.Ni muhimu sana kwa kila mama mjamzito kuhudhuria kliniki bila kujali hadhi yako.
MIMBA AMBAYO IMEPOTEZA
DALI LI ZAKE
( missed abortion)
Inatokea kwa mama mjamzito kupoteza dalili za mimba wakati alikuwa mjamzito na tumbo lake la uzazi likawa dogo kuliko umri wa mimba.
MIMBA INAYOTOLEWA KWA UTARATIBU WA KITIBA
( therapeutic arbotion)
Hizi ni mimba ambazo zinatolewa kwa kitiba ili kunusuru maisha ya mama ama kutokana na magonjwa mbalimbali ambayo yanaonekana kuhatarisha maisha ya mama. Hii inategemea sana maamuzi ya daktari na jinsi alivyoona.
UTOAJI MIMBA USIO SALAMA/JINA I/
(UNSAFE/CRIMINAL ABORTION)
Utoji mimba hauruhusiwi katika nchi yetu na ndio maana unaitwa jinai lkini kitaalamu tunaita utoaji usio salama. Aina hii hufanyika kwa njia mbalimbali ambazo sitazitaja hapa kwasababu za kimaadili.
Makundi makubwa wanao fanya aina hii ambayo ni hatari kwa mtoaji na mtolewaji huwa ni wake za watu wasio waaminifu kwa ndoa zao, wanafunzi, wanaotumia vibaya uzazi wa mpango, waajiriwa wapya k**a masharti ya kazi yamekataa, wanaotoka familia zenye misimamo mikali ya kidini lakini wao imani zao na wale wa mimba zisizotarajiwa.
HATARI ZA UTOAJI MIMBA
zinazofahamika ikiwa ni pamoja na kupasua tumbo la uzazi, kutokwa damu nyingi na kupata maambukizi
MATIBABU
Ni muhimu sana kumwona daktari hospitali au kliniki inayofahamika kisheria na utaratibu na si maduka ya madawa.
KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ABDUL 0737602102
06/02/2023
KUKOSA USINGIZI (INSOMNIA/SLEEPLESS NIGHT) NA TIBA YAKE
Leo ninapenda tuongelee suala zima la kukosa usingizi.
Kwa kawaida mtumzima anatakiwa kulala masaa7-8 kwa usiku mzima. Lakini kuna watu hushindwa kulala kabisa au hulala kwa masaa machache sana kutokana na sababu mbalimbali.
KUKOSA USINGIZI(INSOMNIA) ni tatizo la kukosa usingizi japokuwa una fursa ya kuweza kulala. Tatizo hili linaweza kuwa ni la muda mfupi au ni la muda mrefu, yaani tatizo sugu ambapo mtu hushindwa kulala au kupata usingizi mzuri kwa miezi sita(6) au zaidi.
Tatizo hili husababishwa na mambo mbalimbali lakini zaidi nitazungumzia jinsi tatizo hili linayosababisha kwa kuwa na UPUNGUFU WA MELATONIN HORMONE.
Melatonini hormone ni vichocheo vinavyotengenezwa au kutolewa na pineal gland. Homoni hizi husaidia kuucontrol mzunguko wetu wa kawaida wa kulala na kuamka, hurekebisha saa ya mwili(biological clock) hivyo ukiwa na hormone hizi za kutosha utaweza kulala usingizi mzuri wala hautachukua muda mrefu sana kitandani pasipo kupata usingizi k**a hauna shughuli maalumu ya kufanya.
Melatonini hormone hupunguzwa uzalishwaji wake kwa asilimia 10%-15% kila baada mtu akifikia umri wa miaka 35 na kuendelea.
SABABU ZINGINE ZINAZOSABABISHA KUKOSA USINGIZI
Sababu ziko nyingi sana zikiwemo;
1-Magonjwa hapa ni magonjwa mbalimbali k**a Miguu kuwaka moto, pumu, shinikizo la damu, matatizo ya moyo, kipanda uso na kuwashwa au mzio.
Baadhi ya matibabu hii inahusisha matumizi ya baadhi ya dawa kali zenye kemikali
2 - Upungufu wa hormone za kijinsia (estrogen).
3-Msongo wa mawazo.
4-Ugomvi na kelele.
5-Mazingira
6-Kuishi au kufanya kazi za usiku katika mazingira yenye mwangaza kwa muda mrefu, hii huathiri sana.
ATHARI ZA KUKOSA USINGIZI
A-Uchovu wa mwili au kuhisi mwili hauna nguvu.
Kuwa na hasira au mkali bila sababu za msingi.
B-Maamuzi mabovu
C-Kupoteza kumbukumbu au kusahau sahau.
D-Kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi
E-Kupatwa na magonjwa ya shinikizo la damu au kisukari n.k
MATIBABU
@-· Badili mfumo wako wa maisha hapa ni katika ulaji wa vyakula pendelea kula zaidi vitu asilia k**a mboga za majani na matunda na punguza vyakula au vinywaji vyenye caffein.
@-· Kunywa maji kwa wingi
@-· Tumia Asali mbichi vijiko viwili usiku
@-· Weka mazingira mazuri ya mtu kulala
@-· Tumia dawa zinazofanya uwe na hormone za melatonini katika kiwango sitahiki
KWA TIBA YA KUKOSA USINGIZI NA MAGONJWA MENGINE K**A UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, MATATIZO YA HORMON, VIDONDA VYA TUMBO, BAWASIRI, MATATIZO YA MIGUU KUWAKA MOTO, PRESSURE NA MENGINE MENGI; WASILIANA NA DR ABDUL 0737602102
06/02/2023
MIMBA KUTOKA MARA KWA MARA NA TIBA YAKE
Mimba kutoka mara kwa mara ni tatizo linalotokea kwa wajawazito ambapo mimba tatu au zaidi ambazo ni chini ya wiki 20 zimewahi kutoka. Hujulikana k**a recurrent miscarriage au recurrent pregnancy loss. Karibu asilimia moja ya wanawake wenye uzazi hukumbwa na tatizo hili. Hatari ya tatizo hili kutokea huongezeka kadri umri wa mwanamke unavyoongezeka.
SABABU ZA MIMBA KUTOKA MARA KWA MARA
Kuna sababu mbalimbali za mimba kutoka mara kwa mara, hizi zinajumuisha:
1=>Matatizo ya mji wa mimba ya kuzaliwa nayo (congenital malformation). Kizazi huwa hakina umbo au nafasi ya kutosha kuruhusu mtoto akue mpaka kuzaliwa.
2=>Vivimbe vya mji wa uzazi (uterine fibroids)
3=>Shingo ya Uzazi kulegea (cervical incompetence). Kadri mimba inavyokua, shingo ya uzazi hushindwa kuhimili na hivyo mimba hutoka.
4=>Kushikana kwa kuta za mji wa mimba. Hujulikana k**a Asherman’s Syndrome.
5=>Kisukari
6=>Ugonjwa wa vivimbe vya ovari (polycystic ovarian syndrome)
7=>Kuvuta sigara
8=>Upungufu wa homoni ya tezi shingo (hypothyirodism)
9=>Ugonjwa wa thrombophilia.
10=>Vichochezi kutokaa vizuri (hormonal imbalance)
DALILI ZA MIMBA KUTOKA
Mara nyingi tatizo hili hutokea hasa mimba ikiwa bado changa, dalili zikijionesha wiki ya 10 au kuendelea kidogo. Mimba inayofuata kuharibika huwa katika wastani wa umri uleule wa mara ya kwanza au chini ya hapo kidiogo.
DALILI KUU HUWA ;
A-Kutokwa na damu ukeni
B-Maumivu ya tumbo hasa chini ya kitovu na kiunoni
C-Kutoa uchafu au sehemu ya mimba iliyoharibika.
D-Wakati mwingine homa na kutapika vinaweza kuambatana na dalili hizo.
UCHUNGUZI NA VIPIMO
Unapopata dalili zinazoashiria tatizo hili wahi uonane na daktari. Uchunguzi na vipimo hufanyika ili kuweza kugundua chanzo cha tatizo hili. Ingawa mara nyingine inakuwa ni ngumu kujua chanzo halisi cha tatizo, hii isikukatishe tamaa.
MATIBABU
Tatizo hili huleta msongo wa mawazo na kukatisha tamaa kwa wenza wanaopitia hili. Ni muhimu kushirikiana kutiana moyo kwa karibu.
Karibu robo tatu ya wanawake wanaopata tatizo hili hupata ujauzito wa kawaida bila matibabu yoyote.
Baada ya vipimo na uchunguzi na chanzo cha tatizo kujulikana, basi linaweza kutibiwa kisha tatizo likaisha.
TIBA KAMILI
Kwa wenye tatizo hili wasi hofu kwani shifaa clinic tunazo dawa ambazo zinatibu na kumaliza kabisa matatizo ya mimba kutoka kabla ya wakati wake
KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ABDUL 0737602102
06/02/2023
TATIZO LA KUTAPIKA NYONGO NA
TIBA YAKE
Nyongo ni majimaji yanayozalishwa na ini kisha kuhifadhiwa kwenye kibofu cha nyongo kinapatikana chini kidogo ya ini. Maji ya nyongo huwa na rangi yake ya kijani inayoelekea njano kwa kuwa huwa na chumvi, bilirubini, kolestro, madini yenye chaji na maji. Mtu alapo chakula nyongo hutolewa kuingia tumboni ili kusaidia umeng’enyaji wa vyakula vya mafuta.
K**a unatapika majimaji ya kijani yanayoelekea kuwa njano ni dhahiri inaweza kuwa ni nyongo.
Kuna visababishi kadhaa vya kutapika nyongo, vinaweza kuwa visababishi vya kawaida au vile vya kuhitaji matibabu ya dharura.
VISABABISHI
1-Kutapika wakati tumbo halina kitu
2-Kunywa pombe nyingi
3-Kula sumu ya chakula
4-Homa ya asubuhi
5-Kuziba kwa utumbo
6-Ugonjwa wa kucheua nyongo
KINGA
A-Acha kuvuta tumbaku au sigara ili kujiondoa kwenye hatari ya saratani ya utumbo mpana
B-Kula mlo kamili wenye matunda na mboga za majani kwa wingi ili kujikinga na hatari ya saratani ya tumbo na magonjwa ya kuziba kwa utumbo
C-Tumia njia njema ya kunyanyua vitu vizito ili kujiking ana hatari ya kupata henia
D-Acha unywaji wa pombe
WAKATI GANI UONANE NA DAKTARI i HARAKA ?
Endapo unatapika nyongo na kupata dalili zifuatazo unapaswa kuonana na daktari haraka;
@-Homa
@-Kupumua kwa shida
@-Kupungua uzito
@-Kutopata haja kubwa kusiko kawaida
@-Kutapika kusikoisha
@-Kutojamba au kushuta
@-Kuvimba kwa tumbo
@-Matapishi ya rangi nyekundu au rangi ya unga wa kahawa(nyeusi)
@-Maumivu makali ya tumbo
@-Maumivu ya kifua
TIBA YAKE
Kwa wenye ugonjwa huu wana takiwa kuwahi matibabu mapema iwezekanavyo kwani ugonjwa huu sio wa kudharau kwani una madhara makubwa sana..
NB
KATIKA KITUO CHETU CHA SHIFAA TUNAZO DAWA AMBAZO ZINATIBU NA KUMALIZA KABISA MATATIZO HAYA, DAWA ZETU NI ZA ASILI NA HAZINA KEMIKALI YEYOTE
KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR TATIZO LA KUTAPIKA NYONGO NA
TIBA YAKE
Nyongo ni majimaji yanayozalishwa na ini kisha kuhifadhiwa kwenye kibofu cha nyongo kinapatikana chini kidogo ya ini. Maji ya nyongo huwa na rangi yake ya kijani inayoelekea njano kwa kuwa huwa na chumvi, bilirubini, kolestro, madini yenye chaji na maji. Mtu alapo chakula nyongo hutolewa kuingia tumboni ili kusaidia umeng’enyaji wa vyakula vya mafuta.
K**a unatapika majimaji ya kijani yanayoelekea kuwa njano ni dhahiri inaweza kuwa ni nyongo.
Kuna visababishi kadhaa vya kutapika nyongo, vinaweza kuwa visababishi vya kawaida au vile vya kuhitaji matibabu ya dharura.
VISABABISHI
1-Kutapika wakati tumbo halina kitu
2-Kunywa pombe nyingi
3-Kula sumu ya chakula
4-Homa ya asubuhi
5-Kuziba kwa utumbo
6-Ugonjwa wa kucheua nyongo
KINGA
A-Acha kuvuta tumbaku au sigara ili kujiondoa kwenye hatari ya saratani ya utumbo mpana
B-Kula mlo kamili wenye matunda na mboga za majani kwa wingi ili kujikinga na hatari ya saratani ya tumbo na magonjwa ya kuziba kwa utumbo
C-Tumia njia njema ya kunyanyua vitu vizito ili kujiking ana hatari ya kupata henia
D-Acha unywaji wa pombe
WAKATI GANI UONANE NA DAKTARI i HARAKA ?
Endapo unatapika nyongo na kupata dalili zifuatazo unapaswa kuonana na daktari haraka;
@-Homa
@-Kupumua kwa shida
@-Kupungua uzito
@-Kutopata haja kubwa kusiko kawaida
@-Kutapika kusikoisha
@-Kutojamba au kushuta
@-Kuvimba kwa tumbo
@-Matapishi ya rangi nyekundu au rangi ya unga wa kahawa(nyeusi)
@-Maumivu makali ya tumbo
@-Maumivu ya kifua
TIBA YAKE
Kwa wenye ugonjwa huu wana takiwa kuwahi matibabu mapema iwezekanavyo kwani ugonjwa huu sio wa kudharau kwani una madhara makubwa sana..
NB
KATIKA KITUO CHETU CHA SHIFAA TUNAZO DAWA AMBAZO ZINATIBU NA KUMALIZA KABISA MATATIZO HAYA, DAWA ZETU NI ZA ASILI NA HAZINA KEMIKALI YEYOTE
KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ABDUL 0737602102
06/02/2023
UGONJWA WA KANSA (SARATANI) – AINA, CHANZO, DALILI & TIBA
Kansa ni ugonjwa unaotokea baada ya kuharibika pia kubadilika kwa seli na kuanza kuzaliana katika mili nazo huitwa seli za kansa, Kansa hutokea kwa binadamu, wanyama na viumbe hai wengine. Seli huharibika,hurekebishika au kufa, ila seli zisipokufa au zisipo rekebishika huwa seli zisizo za kikawaida (hazihitajiki mwilini) ndipo huanza kuzaliana na kuwa seli za kansa. Seli za kansa hutumia seli za kawaida kuzaliana, kusafiri kwa kutumia damu na lymph. Seli za kansa huzaliana na kuhama tokea upande mmoja wa mwili kwenda mwingine hii hali huitwa metastasis
Kansa ni ugonjwa unaouwa kwa kiasi kikubwa duniani, idadi ya watu millioni 8.2 walikufa (Ikiwa ni asilimia 22% ya vifo vyote; Hizi ni taarifa kutoka Shirika la Afya duniani (World Health Organization,2016)). Na ikikadiriwa kufika mwaka 2030 idadi ya vifo kuwa million 13.1. Aina ya kansa zinazoongoza kuua kila mwaka ni pamoja na kansa ya mapafu, kansa ya tumbo, kansa ya ini, kansa ya utumbo, kansa ya matiti
AINA ZA KANSA
Kuna aina zaidi ya 100 za kansa,
Aina za kansa na idadi ya Vifo iliyofanyika na Taasisi ya kansa duniani (National Cancer Institute 2016)
CHANZO CHA UGONJWA WA KANSA
Kuna vyanzo vingi vya ugonjwa wa kansa, viashiria vinavyoweza kuharibu seli na kujiunda mwilini kwa kasi huweza sababishwa na mazingira pamoja na mitindo ya maisha, hivyo vyanzo ni pamoja na;
A-KEMIKALI AU SUMU KUINGIA MWILINI :
Huingia kwa mifumo tofauti k**a chakula, hewa, vimiminika. Kemikali zenyewe ni k**a Benzene, asbestos, nickel, cadmium, vinyl chloride, benzidine, N-nitrosamines, Sigara au tumbaku (huwa na kemikali zaidi ya 66 zinazofahamika k**a kemikali za carcinogenic na sumu), asbestos, na aflatoxin
Mnururisho au mionzi hatari
B-(IONIZING RADIATION ):
Uranium, radon, ultraviolet kutoka kwenye miale ya jua, mnururisho (radiation) kutoka kwenye alpha, beta, gamma, na mionzi ya X-ray
C-MAGONJWA YANAYO AMBATANA NA VIRUSI NA BACTERIA
Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
Kuvuta sigala
Kukaa sehemu kwa mda mrefu bila kuufanyisha kazi mwili
Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi, sukari nyingi na vyenye kemikali nyingi
Utumiaji wa vinywaji hatari; pombe, vyenye kemikali
DALILI ZA UGONJWA WA KANSA
Dalili hutofautiana kidogo kulingana na aina ya kansa, ila hulingana baadhi ya tabia kwakua zote huwa ni seli zisizohitajika mwilini na kuzaliana mwilini na kusambaa, baadhi ya hizo dalili ni;
1-uchovu au Kuwa na mabonge au nundu au uvimbe mwilini hasa sehemu iliyoathirika hasa kwenye ngozi
2-Uzito kubadilika bila mpango hasa kupungua uzito, kuongezeka ni asilimia ndogo
3-Ngozi hubadilika; yaweza kubadilika rangi kuelekea unjano kiasi, weusi, wekundu kiasi, na ngozi kutokuwa na hisia
4-Mkojo na choo kubadilika
5-Kikohozi cha mda mrefu na kupata maumivu au shida wakati wa kupumua
Kupata shida au kushindwa kumeza chakula
6-Kubadilika kwa sauti
7-Kupata homa isiyoeleweka na kutokwa na jasho usiku
8-Kutokwa na michubuko na kutokwa na damu
9-Kuwa na maumivu ya misuli na viungo yasioeleweka
10-Waweza pata tatizo la mmeng’enyo na kusumbuka baada ya kula
JINSI YA KUEPUKANA NA UGONJWA WA KANSA
1-Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku
2-Usile vyakula vyenye kemikali nyingi, mafuta mengi na sukari nyingi
Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol)
3-Balansi usito wako
Usitumie sigara
Punguza au acha kunywa pombe
4-Punguza mawazo
Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
5-Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9
TIBA YA MAGONJWA YA KANSA
Ugonjwa wa Kansa unatibika kwa hali tofauti, pia kufuatana na mda wa tatizo, mara nyingi wagonjwa wamekuwa wakikata tamaa na kuwa wabishi, hii hufanya wengi kufa kutokana na kuto kuwa makini na kile wanacho elezwa . Wakati huo wengi huendelea kutumia dawa pamoja na vitu vyenye kemikali na hii hufanya wengi kuendelea kuumwa zaidi.
Tiba zinazotumika pamoja Kemikali kali (chemotherapy), mionzi (radiation), au upasuaji (surgery).
Tuna dawa ya kutibu Ugonjwa wa Kansa ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa. Dawa hiyo hutibu kwa mda kulingana na mda wa tatizo, ukianza kutumia baada ya wiki mbili hadi mwezi huonyesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa autumie kwasababu kuna mtindo wa maisha unaendelea kuongeza tatizo pia kuna mtindo unapunguza hatari ya ugonjwa. Hizo dawa zinaondoa ugonjwa kabisa k**a ukifuata maelekezo yanayotolea.
Tunamshukru Mungu kwa uumbaji wake na kutupa dawa ambazo alizileta ili kutuimarisha na kutibu , Mungu hakuumba dawa nyingine zaidi ya mimea na vitu virutubisho vya asili
KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ABDUL 0737602102
06/02/2023
MAUMIVU YA PUA NA TIBA YAKE
Maumivu ya pua huweza kutokana na sababu mbalimbali, ni rahisi kwa pua kuumia na kupata maambukizi kutokana na kuwepo kwa matundu mawili ambayo hupitisha hewa pamoja na vimelea k**a bakteria virusi na fangasi.
VISABABISHI
A-Ajali
B-Sinusaitizi (sinusitis)
C-Nazo fyuronkyurosisi
D-Sarkoidosisi
E-Kutoboka kwa septamu ya pua
F-Saratani
AJALI
Ajali ni moja ya sababu kuu ya maumivu ya pua, mara nyingi hutokea wakati wa michezo, kupigana ngumi, kuanguka au ajali ya vyombo vya moto.
SINUSAITIZI
Ni hali ya kuvimba na maambukizi kwenye uwazi wa sainazi karibu na pua ,macho na chini ya mashavu ,mtu mwenye sinusaitizi huweza kuwa na dalili zifuatazo;
X-Kukohoa
X-Kuchoka
X-Homa
X-Maumivu ya kichwa
X-Kukosa uwezo wa kunusa- anozimia
X-Kutokwa na maji puani
X-Kuziba kwa pua
NAZO FURONKUROSIS
Ni maambukizi eneo la ndani la pua ambako kuna shina la nywele. Maambukizi huweza kuhama kutoka kwenye mfumo wa juu wa upumuaji na kuja puani au maambukizi ya bakteria mabo wapo kwenye pua. Vimelea vya kwenye pua vinaweza kusababisha maambukizi endapo kuta za pua zimeharibika kutokana na kuchokonoa pua au kuingia kwa kitu kigeni.
DALILI ZINGINE NI K**A
A-Pua kuwa na jalada k**a kutu
B-Kuwa nyekundu
C-Kutoa harufu mbaya kwenye pua
D-Kuvimba
E-Sarkoidosisi
Ugonjwa huu husababisha dalili ya maumivu ya pua na kuziba, ugonjwa huu hutokea kwa mara chache, ukitokea husabababisha kuvimba kwa tishu za pua na kutengeneza uvimbe kwa ndani.
DALILI ZINAZOAMBATANA NI PAMOJA NA ;
1-Kutokwa na damu puani
2 -Kubadilika kwa rangi ndani ya pua
3 -Anozimia (kushindwa kunusa)
4-Kuziba kwa pua
5-Kuvimba kwa pua
6-Kutoboka kwa septamu ya pua
Ni tundu ambalo huonekana katika sehemu ya mfupa unaotenganisha matundu mawili ya pua ,tundu hili husababisha maumivu ya pua na hupelekea kuonekana kwa dalili zingine k**a hali ya ukutu kwenye pua, kuongezeka kwa shinikizo la damu la pua , Kuhema kwa shida na mlio wa filimbi unapohema
SARATANI
Mara chache maumivu ya pua huweza kuashiria saratani kwenye pua au vyumba vya sainazi, uvimbe wa saratani huweza kutokea kwenye upande zote au upande mmoja wa pua.
BAADHI YA DALILI ZINGINE NI ;
1-Macho kuchomoza nje
2-Ganzi ya usoni
3 -Maumivu ya kishwa
4-Kukosa uwezo wa kunusa
5-Kubana kwa pua
6-Pua kutoa damu
7-Kutokwa na usaha kwenye pua
8-Kutokuona vizuri
9-Kutokwa na uchafu kwenye macho
KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ABDUL 0737602102
06/02/2023
UGONJWA WA KIPINDUPINDU (CHOLERA) NA TIBA YAKE
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuambukiza ambao unahusiana na kuharisha maji maji.
Usipo tibiwa mara moja na kwa haraka, mwathirika anaweza kufa ndani ya masaa machache.
SABABU NA MAAMBUKIZI
Ugonjwa wa Kipindupindu unasababishwa na bakteria anayeitwa Vibrio cholerae.
Kwa kawaida hupatikana katika chakula au maji machafu na kinyesi kutoka mtu aliye na maambukizi. Kwa hiyo, huambukizwa kwa njia zifuatazo:
1-Usambazaji wa maji machafu
2-Barafu iliyotengenezwa kwa maji machafu
3-Vyakula na vinywaji vilivyo na bakteria
4-Mboga zilizopandwa kwenye maji taka
5-Samaki na dagaa (omena) waliovuliwa kwenye maji machafu
HATUA ZA UGONJWA
Vimelea vinapoingia mwilini, vinatoa sumu yake ndani ya matumbo. Sumu hiyo, husababisha kuwashwa kwa matumbo na matukio mbalimbali k**a kuharisha na kutapika ghafla. Hali hiyo hupelekea upungufu wa maji mwilini na hatimaye inaweza kusababisha kifo kwa mwathirika wa kipindupindu.
Makundi yanayoweza kuambukizwa kwa haraka:
A-Wasafiri
B-Sehemu zenye mikusanyiko ya C-watu wanaokula k**a hotelini, harusini na kadhalika.
D-Waandaji wa vyakula mtaani (Mama nitilie).
E-Wakazi wa makazi duni
F-Watoto
DALILI ZA KIPINDUPINDU
Dalili za ugonjwa wa kipindupindu zinaweza kuonekana ndani ya masaa machache au siku tano baada ya maumbukizi.
Dalili hizo ni:
1-Kuharisha maji maji (maji yanayofanana na maji ya mchele)
2-Kutapika
3-Mapigo ya moyo kwenda haraka
4-Upungufu wa maji mwilini unaosababisha kusinyaa kwa ngozi, 5-ukavu wa mdomo, koo, na pua
6-Kushuka kwa shinikizo la damu
7-Maumivu ya misuli
8-Kiu mara kwa mara
MAZINGIRA HATARISHI YA UGONJWA WA KIPINDUPINDU
Maambukizi ya kipindupindu ni kawaida kwa makazi ya mijini na vijijini au katika mazingira yenye upungufu wa maji safi. Yafuatayo ni baadhi ya mambo hatarishi:
@-Ukosefu wa vyoo bora au @-matumizi wa vyoo duni inachangia maambukizi ya kipindupindu.
@-Kambi zilizo na msongamano mkubwa zinaweza kuongeza hatari ya maambukizi ya kipindupindu
@-Ukosefu wa maji safi na salama pamoja na kutozingatia njia za usafi k**a kunawa mikono na maandalizi ya vyakula
@-Mabadiliko ya hali ya hewa, kwa mfano, Msimu wa kiangazi unaoendana na uhaba wa maji na msimu wa mvua nyingi unaoambatana na mafuriko
@-Upungufu wa Kinga mwilini kwa watoto, watu wenye utapiamlo, wazee, akina mama wajawazito, VVU / UKIMWI miongoni mwa wengine.
@-Ukosefu wa kutambua ugonjwa mapema na matibabu sahihi
Utafiti wa hivi karibuni umeonyesha kuwa watu wenye kundi la damu O wana hatari Zaidi kuathirika kwa sababu zisizojulikana.
UTAMBUZI (JINSI YA KUTAMBUA UGONJWA WAKIPINDUPINDU)
Uchunguzi unaofanywa ili kuthibitisha maambukizi ya kipindupindu ni pamoja na:
X-Kupima Damu
X-Kupima Kinyesi
TIBA
Lengo la matibabu ni kurejesha maji na chumvi zilipotezwa wakati wa kuharisha.
Kuharisha na kupoteza maji inaweza kukithiri, na kuwa vigumu kurejesha kiwango cha maji mwilini.
Kulingana na hali ya mgonjwa, anaweza akapewa maji kupitia mdomoni au kwenye mishipa (IV). Dawa za Antibiotics zinaweza kupunguza muda wa ugonjwa.
Shirika la Afya Duniani (WHO) wamegundua njia nafuu na rahisi ambayo husaidia kurejesha maji mwilini.
JINSI YA KUZUIA UGONJWA WA KIPINDUPINDU
Njia zifuatazo husaidia kuzuia ugonjwa wa kipindupindu:
X-Kuzingatia njia sahihi za usafi.
X-Kunawa mikono kwa sabuni mara kwa mara, hasa baada ya kutumia choo na kabla ya kushika chakula.
Matumizi ya vyoo wakati wote.
X-Tumia maji safi na salama yaliyo chemshwa, ama yaliyo changanywa na kemikali ya kuua wadudu, au maji
ya chupa kwa matumizi yafuatayo:
Q-Kunywa
Q-Kuandaa chakula au vinywaji
Q-Kutengeneza barafu
Q-Kusafisha meno
Q-Kuosha uso wako na mikono
Q-Kuosha vyombo
Q-Kuosha matunda na mboga
USITUMIE / USILE CHAKULA KIBICHI, K**A VILE:
&-Matunda na mboga ambazo hazijamenywa
&-Maziwa ambayo haijachemshwa
&-Nyama na Samaki ambao hawajapikwa
KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ABDUL 0737602102
06/02/2023
*JE UNAFAHAMU MADHARA YA KUWA NA SUMU MWILINI*
Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao. Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.
*VYANZO VYA SUMU*
Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;
1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe na mlo kamili.
5. Matumizi ya madawa makali.
6. Uzito mkubwa
7. Mitindo ya maisha
8. Njia za uzazi wa mpango za kisasa
9.Matumizi ya vyakula,nyama na mboga mboga ambazo zimekuzwa kwa madawa.👉hili ndilo kubwa sana na watu wengi hupata madhara haya bila kujijua mwisho wasiku mtu huanza kuugua magonjwa ambayo hayaeleweki n.k
10.Matumizi ya vitu vya kusindikwa na vitu vya processed kutoka viwandani.
*DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI*
1. Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele nk.
2. Kuwa na uzito wa kupindukia
3. Kutopata choo au kupata choo kigumu
4. Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza
5. Kichwa kuuma kila mara
6. Kupata miwasho 👉mzio/allergy
7. Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti, nyonga
8. Kuwa na hasira mara kwa mara.
9. Tumbo kujaa gesi na matatizo ya tumbo
10.Kuwa na upungufu wa damu mara kwa mara nk
*MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU*
1. Kukosa hamu ya tendo la ndoa
2. Kupata maambukizi ya figo
3. Kupata maambukizi ya Ini
4. Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5. Husababisha uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke.
6. Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)
7. Mvurugiko wa homoni na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.
8. Husababisha vimbe mbalimbali mwilini.
9.Saratani au kansa mbali mbali
10.Matatizo ya moyo,kongosho na mfumo mzima wa damu ikiwemo kuganda ovyo kwa damu(arteriosclerosis, atherosclerosis,thromboembolisim) n.k
TIBA YA UHAKIKA
Baada ya utafiti wa mda mrefu SHIFAA CLINIC tumeweza kuandaa na kutengeneza mchanganyiko wa dawa Moja nzuri sana yenye nguvu ya ajabu ya kuondoa na kumaliza kabisa sumu Mwilini Kwa siku 30 pekee dawa kwa jina la
(MAXY DETOX )
kwa anaye hitaji dawa HII WASILIANA NA DR ABDUL 0737602102
01/02/2023
UGONJWA WA KIFAFA NA TIBA YAKE (EPILEPSY)
Kifafa huelezewa kuwa ni degedege la kujirudia rudiarudia, degedege hili husababisha mwili kojongesha misuli bila hiaria mithiri ya mtu aliye na pepo au kupigwa na shoti ya umeme.
Kifafa kinaweza kuwapata watu wakubwa, watoto wadogo, jinsia yeyote na katika umri wowote.
VIHATARISHI VYA KUPATA KIFAFA
1-Kukosa usingizi kwa muda mrefu
2-Kuwa na historia ya kifafa kwenye ukoo au familia
3-Msongo wa mawazo
4 -Taa za kimurimuri mfano televisheni, Taa za Disko
5-Kutokunywa dawa za kifafa k**a ulivyopangiwa na mtaalamu wa afya
6-Matumizi ya pombe na dawa za kulevya k**a vile kokeini
7-Kiwango kidogo cha sukari mwilini
VISABABISHI VYA KIFAFA
A-Sababu za kimaumbile
B-Kasoro/matatizo wakati wa kuzaliwa mfano kukosa hewa oksijeni wakati wa kuzaliwa
C-Homa ya Uti wa mgongo
D-Majeraha ya wakati wa kuzaliwa
E-Matatizo ya mishipa ya fahamu
F-Saratani au uvimbe ndani ya fuvu la kichwa
H-Homa kali za mara kwa mara
KWA VIJANA NA UMRI WA KATI
X-Jeraha kichwani
X-Saratani ya ubongo
X-Magonjwa ya mfumo wa fahamu
KWA WAZEE
1-Kiharusi
2 - Matatizo katia mfumo wa neva
3-Saratani ya ubongo
4-Majeraha kichwani
DALILI ZA KIFAFA
@-Kuchanganyikiwa kwa muda
@-Mijongeo ya misuli ya mwili isiyo ya hiari
@-Kupoteza fahamu
@-Kutoelewa mazingira
DALILI ZA UKICHAA K**A HOFU , SHAUKU KUU
DALILI ZINAZO AMBATANA NA KIFAFA
Dalili zingine zinazoambatana ni
A-Mkojo au kinyesi kutoka chenyewe
B-Kutokwana povu mdomoni
KWA WENYE TATIZO HILI WASIFE MOYO KWANI SHIFAA HERBAL TUNAYO DAWA KWA JINA LA (KIFAFA POWDER) AMBAYO INA TIBU NA KUKOMESHA KABISA UGONJWA WA KIFAFA
KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ABDUL 0737602102
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
001
Mombasa